International Forum

News and Stories from rest of the World
Hizi ni zama za mitambo tu, hatuchekani kabisa hapo, Duh!
0 Reactions
2 Replies
696 Views
Rais wa Urusi Vladimir Putin mnamo Jumatatu, Aprili 4, alitia saini amri juu ya hatua za kulipiza visasi kwa nchi zisizo rafiki. Hati hiyo ilichapishwa kwenye tovuti rasmi ya mtandao ya habari za...
2 Reactions
11 Replies
813 Views
Wakuu. Hebu leo tuongelee kuhusu mambo ya vita. Tunaona kwamba maendeleo ya mwanadamu katika muktadha wa teknolojia yana faida na hasara. Lakini kuna hasara kubwa sana kwenye upande wa vita na...
1 Reactions
13 Replies
937 Views
Baraza zima la mawaziri la Sri Lanka limejiuzulu kufuatia maandamano makubwa ya kuipinga serikali, yaliyofanyika licha ya sheria ya kutotoka nje iliyotangazwa mwishoni mwa juma lililopita...
0 Reactions
3 Replies
641 Views
Linking the currency to gold and energy is a paradigm shift for the global economy, a precious metals analyst tells RT The Bank of Russia has resumed gold purchases this week, but more...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Mahakama Kuu nchini Pakistan inatarajiwa kuamua hatima ya Waziri Mkuu Imran Khan, kufuatia siku moja ya machafuko ya kisiasa. Bw Khan amekabiliwa na jaribio la kumwondoa madarakani hivi karibuni...
0 Reactions
1 Replies
527 Views
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Haki za Binadamu (UN-OHCHR) limeripoti raia 1,417 kuuawa tangu kuanza kwa vita vya Urusi na Ukraine, Raia wengine 2,038 wamejeruhiwa 121 kati ya...
0 Reactions
3 Replies
690 Views
Ujerumani imetangaza rasmi kuanza kutoa gesi kwa watu wake kwa mgao, huku kukiwepo wasiwasi ya kuacha kuagiza mafuta kutoka Russia. Hatua hiyo imechukuliwa wakati kuna hali ya kutoelewana kuhusu...
7 Reactions
114 Replies
42K Views
China imetangaza maambukizi mapya 13,146 ya #COVID19 ambayo yametajwa kuwa ni makubwa kuliko yaliyowahi kuripotiwa tangu Februari 2020 Kirusi cha Omicron kimesambaa majimbo mengi. Maelfu ya watu...
1 Reactions
3 Replies
715 Views
There are two reason First, Indonesia is a sovereign and independent country that can allow or invite whoever it wants into our country regardless of his or her political affiliation or actions...
3 Reactions
3 Replies
814 Views
Emmanuel Macron aapa kuleta nafuu ya mfumuko wa bei nchini Ufaransa Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron jana amefanya mkutano wa kwanza wa hadhara kabla ya kufanyika raundi ya kwanza ya uchaguzi wa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kwa taarifa zilizopo, China ndio chanzo cha maambukizi na usambaaji wa virusi vya corona- wanapaswa kuwajibishwa namna ile ile iliyotumika kuiwajibisha Uerumani ya Hitler kwa kuwa chanzo cha vita...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Waziri mkuu wa poland amesema vikwazo walivyoiwekea urusi havina maana yoyote,kwani urusi haiathiriki kama walivyotarajia,na thamani ya pesa yake inapanda,fungua screenshort hapo chini,wamarekani...
6 Reactions
26 Replies
2K Views
Binafsi nimependa sana hili jambo. Kwa muda mrefu Tz amekuwa mkwamishaji mkubwa wa mipango ya EAC akijivunia wingi wa watu na ukubwa wa ardhi. Siku zote akidai memba wengine wanataka kunyakua...
12 Reactions
104 Replies
8K Views
Dubai inapitia kipindi kigumu cha hali mbaya joto kali. Eneo hilo ndani ya Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) lina joto kali linalovuka mpaka nyuzijoto 50 na kuhatarisha maisha ya watu zaidi ya...
5 Reactions
36 Replies
4K Views
Safari ya Amir wa Qatar Saudi Arabia May 13, 2021 08:49 UTC [https://media] Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad al-Thani, tarehe 10 Mei alifanya safari chini Saudia Arabia ambapo alikutana na...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amewaonya watu wake mapema leo Aprili 2, 2022 kuwa wanajeshi wa Urusi wanaoondoka katika maeneo yao wanatengeneza kile amesema ni "mazingira ya maafa" nje ya...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Sasa Kama ilivyokuwa mwaka 1991 baada ya hali kuwa mbaya nchini urusi na nchi za kisoviet kipindi cha vita baridi vilipekea raisi wa urusi na kiongozi wa nchi za kisoviet kujiuzulu mwaka 1991 Je...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Mabeberu wenyewe wamekiri kwa mujibu wa CNN ambacho ni chombo Cha mabeberu kuwa thamani ya Rouble imepanda ghafla baada ya Putin kusisitiza kuwa kuanzia 01/04/2022 Kila Nchi inayohitaji gesi ya...
35 Reactions
85 Replies
8K Views
kwa sasa, na kwa mwaka huu wote nchi ya Qatar imetrend na itatrend sana sababu ya fainali za kombe la dunia kufanyika huko. naomba kuelimishwa kuhusu hii nchi. Historia yake, utamaduni, watu...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Back
Top Bottom