International Forum

News and Stories from rest of the World
USA supports Ukraine, USA condemns Russia's annexation, USA support the EU, USA support the Western world stop pussy footing around and appeasing Putin and a corrupt regime.! "Putin is worth...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Marekani imeliwekea vikwazo jeshi la China kufuatia hatua zake za kununua ndege za jeshi kutoka Urusi pamoja na makombora ya kurushwa kutoka ardhini. Inasema ununuzi kama huo unakiuka vikwazo vya...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Amani iwe nanyi wadau Tanzania ikiwa inaendelea na uchaguzi mataifa wawili yalikuwa vitani(Armenia na Azerbaijan). Armenia ikiungwa mkono na Urusi kwa kuwa na watu wengi wanaozungumza kirusi...
8 Reactions
164 Replies
13K Views
Is this the beginning of the end for the Putin dictatorship? Whenever it will be.. It will be swift... We pray for the continued safety of these brave people.. More than 47,000 people - double...
11 Reactions
105 Replies
11K Views
Wabunge wa Iraq wameshindwa kwa mara ya tatu kumchagua rais mpya wa nchi hiyo, kutokana na ukosefu wa idadi ya kutosha bungeni. Hatua hiyo imerefusha hali ya mkwamo wa kisiasa katika nchi hiyo...
1 Reactions
6 Replies
951 Views
Ndio taarifa za karibuni kabisa kwamba Rais Zelensky wa Ukraine ameafiki wazo la Russia la kuitaka nchi yake iwe Neutral. Hata hivyo Zelensky amesema itabidi ifanyike kura ya maoni kwa wananchi...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Jumatano limepiga kura ya kumuondoa kwenye wadhifa wake waziri wa uchumi Jean Marie Kalumba, likimshtumu kwa mfumuko wa bei ya bidhaa muhimu na uratibu...
0 Reactions
7 Replies
981 Views
Kwa mujibu wa BBC Jiji la Lublin ,Poland lenye wakazi 350,000 lasifiwa kwa kuwahifadhi na kuwatunza kwa kila kitu vizuri wakimbizi 40,000 toka Ukraine Wamewapa wakimbizi makazi mazito,chakula...
1 Reactions
12 Replies
719 Views
Kadri hali ya ukame inavyozidi kuwa mbaya nchini Somalia, Umoja wa Mataifa unasema tishio la baa la njaa linaloweza kusababisha vifo vya mamia ya maelfu ya watoto wenye umri wa chini ya miaka...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Mamlaka inayosimamia vyombo vya habari nchini Burundi Jumatano imetangaza kwamba imeondoa marufuku ya kuikataza radio BBC kupeperusha matangazo yake kote nchini, miaka mitatu baada ya radio hiyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hassan Zhou Tangu kuzuka kwa mzozo wa Ukraine mwishoni mwa Februari, nchi za magharibi na vyombo vya habari vimeshirikiana kushindilia pamoja msumari na kujaribu kugeuza macho ya watu wanaotaka...
13 Reactions
13 Replies
1K Views
Ukisoma kitabu cha Danieli utaona ufunuo wa lile sanamu ambalo nilikua ndio mfano wa Muundo wa Dola ambazo zitaitawala dunia,ulianza utawala wa nebukadreza ambao ulikua na nguvu na imara kama...
4 Reactions
40 Replies
3K Views
Vladimir Putin didn’t just invade the Ukraine on 24/02/2022, he officially ended the petrodollar system. How? Remember, Russians don’t do anything without a plan. They & China have been prepping...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
“Kutoka mtwana kuwa bwana, na kuondokana na umaskini na kuwa na maisha bora, ni mambo mazuri zaidi niliyopata maishani mwangu!” Bibi Shiangchiu Ram mwenye umri wa miaka 77 ni makzi wa kijiji cha...
0 Reactions
0 Replies
556 Views
Siasa ni kitu cha ajabu na kama ni bahati ya mtende bila kutegemea. Hata putin historia inaonekana ni bahati ya mtende kufikia kuwa raisi ya Urusi. Ila vita hii inaweza kuwa neema kwa tajiri...
2 Reactions
8 Replies
927 Views
EAC Heads of State OFFICIALLY admit the Democratic Republic of the Congo (DRC) into the East African Community. H.E Uhuru Kenyatta,Chair of the Summit of EAC Heads of States announces during the...
5 Reactions
64 Replies
4K Views
Jeshi la Urusi, Limethibitisha kwa njia ya video SHAMBULIZI lao huko Magharibi mwa lviv karibu na mpaka wa Poland ambalo shambulizi hilo lilipigwa kwa njia ya Rocket lililenga ghala la mafuta...
5 Reactions
56 Replies
4K Views
Mataifa hayo matatu yaliwatimua wafanyikazi wa kidiplomasia wa Urusi wiki iliyopita, ambayo Moscow inasema haikuwa hatua 'isiyo halali' Urusi imewatimua wanadiplomasia kumi kutoka Estonia, Latvia...
2 Reactions
7 Replies
782 Views
Mara nyingi ninapoangalia taarifa za habari za ndani na nje ya nchi, habari kubwa ni hii vita ya Ukraine na Urusi. Mpaka sasa raia takribani 1119 wameshafariki na wanajeshi 1351 wamepoteza maisha...
3 Reactions
4 Replies
581 Views
Polisi wa kijeshi nchini Uholanzi leo wameshangazwa kumkuta mtu aliyekuwa amejificha chini ya ndege kwenye eneo la tairi la mbele kuwa yuko salama. Ndege hiyo ilisafiri kwa saa 11 kutokea Afrika...
9 Reactions
67 Replies
7K Views
Back
Top Bottom