Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) inapanga kuchangisha $1bn (£759m) katika muda wa wiki moja kusaidia uzalishaji wa kilimo barani Afrika na kulinda bara la Afrika kutokana na uhaba wa chakula...
Rais mtata wa Ufilipino (The Philippines), Rodrigo Duterte, jana amesisitiza kuwa nchi yake itaendelea kuwa nyutro (haitochukua upande wowote) ktk vita vya Russia nchini Ukraine.
"Nchi nyinginezo...
Ndugu wana ukumbi na wafuatiliaji mada za vita vya Russia na Ukrain.
Mimi siiangalii Vita vya Ukrain katika mtazamo wa kivita ,bali mtazamo wa kiuchumi na mgeuko wa mfumo wa uchumi Dunuani...
Wote ni mashaidi wa mfumuko wa bei ya mafuta duniani unaotokana na Urusi kuwekewa vikwazo na mataifa ya magharibi baada ya kuivamia Ukraine.
Madhara yake yamekuwa makubwa mpaka Tanzania, kiasi...
New Delhi inafikiria kuchangamkia ofa ya mafuta yaliyopunguzwa bei kutoka Urusi, mara tu maswala ya bima ya bidhaa hiyo yatakapotatuliwa.
Kwa kawaida India inaagiza takriban 2-3% ya mafuta yake...
Political scientist John Mearsheimer believes the reckless expansion of NATO provoked Russia. Writing in a guest essay for The Economist, he explains why
John Mearsheimer on why the West is...
Jumuiya ya Wanabenki wa Uswizi imetangaza kuwa raia wa Urusi wameweka kati ya Dola bilioni 160 - 213 nchini humo. Fedha hizo ni sawa na Tsh. Trilioni 372 – 495.
Mbali na #Uswizi kusifiwa kwa...
US, Canadian Jets ‘Identified’ Russian Bombers in Airspace Near Canada - NORAD
US, Canadian Jets ‘Identified’ Russian Bombers in Airspace Near Canada - NORAD
11:07 27.01.2019
MOSCOW (Sputnik) -...
Katika waraka uliosomwa live na Pope Francis
Papa Francis amwambia Putin aache mauaji ya kimbari Ukraine . Amlaani kwa kutaka kuigeuza Ukraine kuwa nchi ya makaburi matupu.
Source: skynews...
The Embassy of Ukraine in Nigeria says Nigerians who are willing to travel to Ukraine to fight Russian forces must be willing to provide $1,000 for ticket and visa.
The embassy stated this when...
Umoja wa Mataifa umedai kuwa zaidi ya raia 700 wakiwemo watoto 52 wameuawa nchini Ukraine tangu Urusi ilipoivamia jirani yake wiki tatu zilizopita, lakini idadi hiyo huenda ikawa kubwa zaidi...
Marekani na NATO kumpeleka vifaa na mitambo ya kivita Poland haitapelekea baadaye Urusi kuivamia Poland?
Kama Mrusi ameweza kuizingira Ukraine na kilichobaki ni majeshi kunyoosha mikono tu kisha...
Rais Putin wa Russia anahudhuria Tamasha kubwa la kusherehekea miaka nane tangu walikomboe jimbo la Crimea lililokuwa linatawaliwa na Ukraine.
Putin atahutubia Dunia katika tamasha hilo mjini...
Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, David Cameron yupo njiani akiendesha gari aina ya Lori kutoka Uingereza hadi Poland kwa ajili ya kutoa msaada kwa wakimbizi kutoka Nchini Ukraine
Sehemu ya...
Rais wa Urusi, Vladmir Putin amesema kuwa operesheni yake ya kijeshi nchini Ukraine imefanikiwa na kuwa hatoiruhusu nchi hiyo kutumika kama uwanja wa kuitishia Urusi.
Akizungumza katika mkutano...
Baadhi ya wanajeshi wa Urusi wakataa amri, ndege zao nne zaangushwa - vimesema vikosi vya Wanajeshi wa Ukraine
Wakati Ukraine ikielekea katika siku ya ishirini ya uvamizi wa Urusi katika ardhi...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amealikwa mjini Kiev wakati jiji hilo likiwa katika hatua ya kukaribiwa na hali nyingine ya mashambulizi ya Urusi.
Ofisi ya Papa ya mjini Vatican...
Viongozi wa mataifa ya Magharibi na taasisi za Kimataifa wamekemea vikali mashambulizi dhidi ya Ukraine na kuahidi kuiwajibisha Urusi.
Mara baada ya kuripotiwa taarifa ya milipuko katika miji...
Akizungumza na vyombo vya habari waziri wa mambo ya nje wa China WANG YI alisema,
Nafasi ya China kwenye kupinga vikwazo ipo wazi Marekani (the US) hivi karibuni imekuwa ikitoa kauli /nukuu za...
Watu wanaoshukiwa kuwa wanajihadi walishambulia basi na lori nchini Niger na kuua watu 21 katika eneo la kusini magharibi la Tillaberi, karibu na Burkina Faso, vyanzo vya eneo hilo na vya usalama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.