International Forum

News and Stories from rest of the World
Ndivyo nilivyosoma kupitia ukurasa wa CNN asubuhi hii, Biden amevunja record ya ajira kwa 6.6 million added kuliko marais wote waliowahi kushika madaraka marekani kwa kipindi cha mwaka mmoja toka...
1 Reactions
11 Replies
836 Views
Ukraini imeamua sasa kufundisha wananchi wake na kuongeza jeshi la akiba hata na lisilo na akiba.kwa ajili lolote litakalo tokea na mzozo huu baina mbili kati ya ukraini na vikosi vya Urusi.
14 Reactions
65 Replies
5K Views
Wanajeshi 24 wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa pamoja na mfanyakazi mmoja raia wa umoja huo waliuawa katika mashambulizi ya kuwalenga mnamo mwaka 2021 hii ikiwa ni kulingana na ripoti ya...
1 Reactions
0 Replies
646 Views
Urusi imesema leo kuwa itajibu kwa njia sawa kama Ujerumani itaumaliza mzozo kuhusu vyombo vyao vya habari, lakini itauongeza mvutano huo hata zaidi kama Berlin itaamua kufanya hivyo. Urusi...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
PUTIN ASIFIA UHUSIANO WA KARIBU WA URUSI, CHINA Rais wa Urusi, Vladmir Putin, leo ameyasifu mahusiano ya karibu ya nchi yake na China, katika mkutano na mwenzake wa China, Xi Jinping, kabla ya...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Mara ya kwanza, alikuwa akizungumzia suala la uhamiaji nchini Marekani Mara ya pili, aliwazuia wafuasi wake wasimzomee mfuasi wa Trump aliyekuja kumpinga Evaluate your battles carefully...
10 Reactions
16 Replies
2K Views
The Canadian Truckers’ Association Declaration We, the Truckers Of America, declare that whereas: The “killer virus” is a mild flu The Covid “vaccine” is a gene-modification treatment...
0 Reactions
0 Replies
418 Views
The most virulent HIV variant known to science has been discovered in the Netherlands, according to researchers who said it provided a valuable insight into the way viruses such as the one behind...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Shirika la habari la AFP linaripoti kwamba kiongozi wa kundi lenye msimamo mkali raia wa Tanzania anayehusika kuongoza mashambulizi ameuwawa nchini Msumbiji kwa mujibu wa tangazo la polisi la...
9 Reactions
30 Replies
3K Views
Hatimaye mwaka mpya wa jadi wa China ambao ni mwaka wa chuimilia umefika! Mwaka huu umeanza kwa kishindo, matumaini na macho ya dunia yakielekezwa China. Kwa mara nyingine tena Beijing ni mwenyeji...
0 Reactions
2 Replies
700 Views
Mamia ya wavulana wametoweka kwenye Gereza la Kikurdi nchini Syria ambalo linawazuia wapiganaji wa Kundi linalojiita Dola la Kiislamu - IS na familia zao. Hii ni baada ya wanajeshi wa Kikurdi...
1 Reactions
0 Replies
513 Views
Kuna tetesi za jeshi kumshikilia Rais na Waziri Mkuu wa Guinea-Bisau katika Mji Mkuu Bissau. NB: Ni hivi karibuni jeshi liliipindua serikali ya nchi jirani ya Guinea-Conacry na sasa Guinea-Bissau...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Takriban watu 3000 wanaowadhalilisha watoto kingono wamekuwa wakiendesha maovu yao ndani ya kanisa katoliki nchini Ufaransa tangu mwaka 1950, hii ikiwa ni kwa mujibu wa mkuu wa tume huru...
2 Reactions
42 Replies
5K Views
Hafla ya ufunguzi wa Michezo ya 24 ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing imefanyika leo kwenye Uwanja wa Michezo wa taifa wa Beijing. Rais Xi Jinping wa China atatangaza kufunguliwa kwa...
1 Reactions
0 Replies
503 Views
Riyadh yaomba msaada wa silaha wa Marekani ili kukabiliana na mashambulizi ya jeshi la Yemen Oct 29, 2021 03:47 UTC [https://media] Ripoti imefichua kuwa Saudi Arabia imeiomba Marekani iipatie...
0 Reactions
4 Replies
750 Views
Kadinali mmoja wa Ujerumani ametoa rai kwa Kanisa Katoliki kuondoa kigezo cha useja kwa mapadri wa Kanisa hilo. Katika mahojiano na gazeti la Ujerumani la Sueddeutsche Zeitung, askofu mkuu...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Vyombo vya Habari vya serikali nchini Korea Kaskazini vimetoa picha zinazosema kuwa zilichukuliwa kutokana na majaribio ya kombora lake kubwa zaidi kutoka mwaka 2017. Picha hizo zinaonesha sehemu...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Jeshi la Burkina Faso limetangaza kurejesha katiba, wiki moja baada ya kutwaa mamlaka katika taifa la ukanda wa Sahel. Tangazo hilo limetolewa katikati mwa mazungumzo baina yake na wapatanishi wa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakimbizi zaidi ya 50 wameuawa usiku wakuamkia leo Jumatano katika kijiji cha Ngujona wilayani Djugu katika mkoa wa Ituri. Yamefanyika wakati juhudi zinaendelea za kuwahamasisha waasi...
2 Reactions
16 Replies
950 Views
Kampuni ya nchini Ujerumani ya teknolojia ya biolojia - BioNTech pamoja na mshirika wake wa kimarekani, Pfizer, wameomba kibali cha dharura nchini Marekani, cha matumizi ya chanjo dhidi ya virusi...
0 Reactions
2 Replies
716 Views
Back
Top Bottom