International Forum

News and Stories from rest of the World
NETANYAHU AIONYA MAREKANI NA ISRAEL Aliyekuwa Waziri mkuu wa zamani wa Israel Benjamin Netanyahu amezionya Marekani na Israel kuhusiana na mpango wake wa kuishambulia Iran. Netanyahu amesema...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Kampuni inayotoa chanjo ya Johnson&Johnson imetangaza chanjo yake ya pili ama booster vaccine ambayo itatolewa kwa watu wote waliochanjwa dozi ya awali ili kuupa mwili nguvu zaidi kupambana na...
5 Reactions
40 Replies
4K Views
Corona inaua Wamarekani takribani 1300 kwa siku Dec 18, 2021 13:16 UTC Idadi ya watu wanaofariki dunia kutokana na COVID-19 nchini Marekani ni takribani watu 1,300 kwa siku. Kwa mujibu wa...
1 Reactions
7 Replies
927 Views
Sergei Tikhanovsky ambaye aliongoza maandamano makubwa dhidi ya Rais Alexander Lukashenko amehukumiwa kifungo cha miaka 18 jela kwa hatia ya kuandaa machafuko na kuchochea chuki Tikhanovsky...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Waziri Mkuu Abdalla Hamdok amesema utulivu na umoja wa Sudan uko hatarini. Hamdok ametoa wito wa kuwepo kwa makubaliano ya kisiasa, ili kulinda nchi siku zijazo, wakati taifa hilo likiwa...
1 Reactions
6 Replies
972 Views
Since the start of the Tigray conflict in November 2020, warring parties in Ethiopia have used internet and telecommunication shutdowns as a weapon to control and censor information. The Tigray...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Jeshi la Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), na washirika wake wa Uganda, Jumapili wamesema wamefanikiwa kuharibu ngome muhimu za waasi katika eneo la mashariki mwa DRC wiki hii katika...
0 Reactions
1 Replies
983 Views
Hivi karibuni waziri wa mambo ya nje wa Marekani Anthony Blinken alitembelea nchi tatu za Afrika, Kenya, Nigeria na Senegal. Katika ziara hiyo, alijaribu tena kuichafua matope China ili kuimarisha...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Trump: Mayahudi wa Marekani hawaipendi tena Israel Dec 19, 2021 08:18 UTC [https://media]Donald Trump Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump amesema kuwa Mayahudi wa Marekani hawaipendi tena...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mungu hajawai kuumba vyeo vya watu bali aliumba watu na watu wanayao bila kujali vyeo wala nafasi zao VATICAN CITY (Reuters) - Cardinal Peter Turkson, seen by some as a candidate to become the...
5 Reactions
43 Replies
4K Views
Kikao cha nne cha Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA mjini Vienna; kukubaliwa rasimu mbili za mapendekezo ya Iran kama msingi wa mazungumzo yajayo Dec 19, 2021 10:35 UTC [https://media] Kikao cha nne...
1 Reactions
0 Replies
521 Views
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amepimwa na kukutwa na Covid-19 na anatibiwa kwa dalili zisizo kali. Bw Ramaphosa alianza kujisikia vibaya siku ya Jumapili baada ya kuondoka katika ibada ya...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Expo huwa inafanyika kila baada ya miaka 5 katika mji ambao uliachaguliwa Julia zaidi kutoka link ya Wikipedia Hivyo baada ya miaka michache itafanyika katika jiji la Dubai, na tunapenda...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Mwanafunzi katika Chuo kikuu cha Nigeria kilichopo katika Osogbo, mji mkuu wa jimbo la Osun alichomwa moto na wanafunzi wenzake. Msemaji wa polisi katika jimbo Osun Yemisi Opalola ameithibitishia...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Mashambulizi hayo yasababisha mlipuka mkubwa! Syria’s military said Israeli warplanes fired missiles on the port of the coastal city of Latakia early Tuesday without inflicting any human losses...
4 Reactions
34 Replies
4K Views
Maafisa nchini Ghana wamesema kuwa ndege ambazo zinawasafirisha raia wa kigeni ambao hawajachanjwa ndani ya taifa hilo zitapigwa faini ya dola$3,500 (£2,600) kwa kila msafiri. Makamouni ya ndege...
0 Reactions
4 Replies
885 Views
Majuzi nilisoma uzi wa ndugu yetu Mayala Pascal unaoelezea namna tulivyoingia mikataba ya hovyo kabisa ya Gas yetu ya Mtwara kwa wageni kijinga kabisa. Nimejiuliza sana haya; 1. Nini kilitokea...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
hatimaye ikulu ya marekani imetoa tamko kwa maandishi juu ya kurudishwa kwa justine bieber kwako, wamesema hawawezi kuwavumilia watumia madawa ya kulevya wanao kuja kuleta sifa mbaya juu ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naona wameanza tena....Israel anataka kuishambulia iran... Iran yatoa ramani ya jinsi itakavyo iangamiza Israel iwapo nchi hiyo ya kiyahudi watafanya kosa la kushambulia Vituo vya nyuklia vya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom