Jeshi la Anga la Marekani limetangaza kuwa, huenda maafisa 12,000 wa jeshi hilo wakafutwa kazi baada ya kukataa chanjo ya COVID-19.
Kwa mujibu wa msemaji wa Pentagon John Kirby, amri ya...
Mwakilishi wa Wazayuni achana ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu jinai za Israel
Oct 30, 2021 12:31 UTC
[https://media]
Mwakilishi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika Baraza Kuu la...
Kumbe IRAN walivyosema wapo kwenye mchakato wa kutengeneza hypersonic missile hawatanii ni muda si mrefu wanaenda kutest
Pia tayari kitambo tu RamJet Engine tena ni vijana wadogo tu huko Iran...
Hatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Mabeberu wanalenga kuvuruga usalama duniani
22:06 - October 29, 2021
TEHRAN (IQNA)- Hatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa, harakati...
Mkuu wa Kamati ya Nishati ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) upo chini ya mashinikizo makubwa ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa...
Ijumaa Rais Joe Biden wa Marekani alikutana na kuzungumza na mwenzake wa Ufaransa Rais Emmanuel Macron kuhusu mkataba wa mauzo ya nyambizi kati ya Washington na Canberra, ambao umeikasirisha sana...
Ripoti iliyotolewa na Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) imesema Matukio kama joto kali na mafuriko makubwa sasa ni hali ya kawaida.
Utafiti umebaini miaka saba iliyopita ukiwemo wa 2021 ina...
Taifa hilo limesema Ripoti ya hivi karibuni ya Marekani inayosema huenda janga la COVID-19 lilianzia maabara sio ya kisayansi na inakosa uaminifu.
China imekuwa ikikataa madai kuwa Virusi...
Kundi la Taliban limeitaka Marekani na Mataifa mengine kutambua Serikali yao, likisema kushindwa kufanya hivyo na kuendelea kusitisha Misaada kutaleta matatizo sio tu kwa Afghanistan, bali...
Jaribu kuangalia hii makala iliyoandaliwa na chombo cha habari cha WION
. Tatizo langu halipo kwenye news outlet hii but nashangaa pale serikali inapoamua kuchukua hatua kudhihiti machafuko...
Biden apewa ushauri hatari wa kupeleka mabomu ya atomiki Taiwan ili kukabiliana na China
Oct 19, 2021 07:44 UTC
[https://media]
Taasisi moja ya wanafikra wenye misimamo ya kufurutu mpaka nchini...
Israel ilikua inataka kuishambulia Iran kupitia Azerbaijan ambayo ni nchi jirani ni Iran
Tayari inasekemana ndege za Israel za F-35 zipo ndani ya Azerbaijani tayar kuishambulia Iran
Wakati huo...
Waziri wa biashara wa Marekani Gina Raimondo ameviambia vyombo vya habari vya nchi hiyo kuwa nchi hiyo inapaswa kushirikiana na washirika wake wa Ulaya ili kuzuia China kupata teknolojia ya hali...
Wanaopinga Jeshi kuchukua Madaraka wameitisha maandamano ya Nchini nzima wakitaka kurejeshwa kwa Serikali inayoongozwa na Raia ili kurejesha Taifa hilo katika Demokrasia.
Maelfu ya wananchi...
Kesho Afrika kusini itafanya uchaguzi wa serikali za mitaa(LGE). Ushindani mkubwa ni kati ya ANC, DA na EFF .
Licha ya kuwa na utajiri mkubwa wa rasilimali Kama madini nchi hii ya bondeni mwa...
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema kuwa Kundi la mataifa 20 yaliostawi na yanayoinukia kiuchumi G20 yana uwezo wa kuzuia janga la virusi vya corona kuenea...
Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa Alhamisi ameiomba Marekani kuondoa vikwazo dhidi ya Zimbabwe akisema kwamba vimeongeza janga la kibinadamu pamoja na kudorora kwa uchumi, wakati akipendekeza...
Mwanaharakati Rémy Daillet ashtakiwa kwa kupanga njama ya mapinduzi dhidi ya serikali ya Ufaransa
Mwanaharakati maarufu wa mrengo wenye siasa kali wa kulia nchini Ufaransa ameshtakiwa kwa tuhuma...
Duniani kuna aina za nchi kulingana na mfumo, nguvu zake kiuchumi, kijeshi na kisiasa:
1. Super powers
Hizi ni nchi zinazoitawala dunia. Ndiyo zinashikilia mfumo unaoendesha dunia (ideology)...
Mamlaka nchini Belarus imefungia tovuti ya shirika hili la utangazaji Deutsche Welle, DW, linalomilikiwa na serikali ya Ujerumani. Haya yametangazwa leo na shirika hili katika makao yake makuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.