Kwa mujibu wa Kituo cha Al-Hadath TV, Waziri Mkuu wa Nchi hiyo, Abdallah Hamdok amewekwa katika kifungo cha nyumbani huku Viongozi kadhaa wa Utawala wa Kiraia wakikamatwa
Hali Nchini humo imekuwa...
Marekani jana imesitisha msaada wa dola milioni 700 kwa Sudan, baada ya jeshi kuchukuwa madaraka, huku ikitaka utawala wa kiraia urejee.
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Marekani, Ned Price...
*Tony Blair aogopa kuharibu maslahi yake ya kibiashara huko Liberia
*Aruka kimanga
*Suala la ushoga sina taim nalo, asema
*Mashoga wamkasirikia mtandaoni na kumtuhumu kuwa ni ndumilakuwili.
Blair...
Until recently, Tony Blair had never visited Malawi. Last summer there was a lot of international press coverage on the discovery of oil under Lake Malawi. Since then hes developed an interest in...
Watu saba wameripotiwa kuuawa na wengine 140 kujeruhiwa katika mvutano baina ya Wanajeshi na Waaandamanaji. Watu walikusanyika Mitaani baada ya kuvunjwa kwa Utawala wa Kiraia na kutangazwa Hali ya...
Dalali wa silaha za magaidi nchini Syria afilisika, Canada yampa kinga ya ukimbizi
Mmoja wa madalali aliyekuwa akiyauzia silaha magenge ya kigaidi nchini Syria likiwemo la Daesh (ISIS)...
Shirika la Kimataifa la Amnesty limesema litafunga Ofisi zake zilizopo Hong Kong Nchini China kutokana na Sheria mpya ya Usalama wa Taifa.
Amnesty ambayo imefanya kazi Jijini humo kwa zaidi ya...
Mfanyabiashara wa mashuhuri wa dawa za kulevya aliyekuwa akisakwa huko nchini Colombia na kiongozi wa genge kubwa la uhalifu nchini humo amekamatwa.
Dairo Antonio Úsuga, anayejulikana kama...
Serikali ya Mpito Nchini Mali imetoa saa 72 kwa Mwakilishi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) kuondoka Nchini humo kufuatia vitendo visivyoendana na hadhi yake.
ECOWAS...
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limeonya kuwa Mamilioni ya Raia Nchini Afghanistan watakabiliwa na baa la njaa msimu wa baridi ikiwa hatua za haraka hazitachukuliwa.
Imeelezwa...
Vikiibuka Vita kati ya Iran dhidi mwingereza pamoja na mfarasa wakiungana bado Iran atawatwanga mchana kweupe
Chukua Ufaransa na mwingereza dhidi ya Iran. Hao mabeberu watachapwa mpaka washangae...
HAMAS yapongeza jitihada za kupokonywa Israel uanachama wa AU
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kuunga mkono jitihada zinazoendelea za kuupokonya utawala wa...
Shirika la Afya Ulimwenguni - WHO limetoa wito kwa nchi tajiri kuachana na usambazaji wa chanjo za virusi vya corona kwa faida ya nchi maskini.
Akizungumza katika Mkutano wa Kilele wa Afya...
KHARTOUM– Military forces arrested several members of Sudan’s civilian leadership early on Monday, Al Hadath TV reported, as a prominent pro-democracy group called on Sudanese to take to the...
IS (Islamic State) inatoa upenyo sawia kwa majeshi ya NATO na Marekani kuwepo na kuendelea kuafanya ‘kazi’ zao ndani ya Mashariki ya Kati.
Kila aina ya vita ya Ugaidi, inazalisha mamia kwa maelfu...
Mfanyakazi wa zamani wa Facebook, Frances Haugen amewaambia Wabunge Nchini Marekani kuwa App za Kampuni hiyo kuleta athari kwa Watoto.
Facebook ni Mtandao wa Kijamii unaotumika zaidi duniani...
Wakuu hii habari nimeisoma Yahoo, na nimeC&P baadhi ya habari yenyewe
======
Jennifer Lopez, 58, had jumped at the chance to get the Johnson & Johnson vaccine last March, but soon began feeling...
The Queen, Charles and Prince William warmly welcomed the business leaders and members of the Government including Foreign Secretary Liz Truss, who donned a cobalt blue ensemble, and International...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.