Rais wa Ecuador Guillermo Lasso ametangaza “hali ya hatari” katika magereza yote ya Ecuador, siku moja baada ya mapigano kati ya magenge hasimu ambayo yalisababisha vifo vya zaidi ya watu 100...
Ulishawahi kusikia japo kwa uchache kuhusu Emanuel Macron Rais wa sasa wa ufaransa? Je ushawahi kusikia kuhusu mke wake?
Ni hivi Rais Emanuel Macron wa ufaransa ana miaka 43 ndio rais kijana...
Kambi ya wapiganaji wa ASWJ ya Chitama Jimbo la Cabo Delgado imesambaratishwa katika operasheni ya SADC Msumbiji (SAMIM)
Magaidi 17 wameuawa. Askari 1 aliokuwa katika operasheni hiyo amefariki na...
4 August 2021
Maputo, Mozambique
Chama kikuu cha upinzani RENAMO chahoji katiba kutofuatwa kwa majeshi ya kigeni ya nchi za Afrika kuingia nchini Mozambique. Hoja hiyo imewasilishwa na kiongozi...
Nimesikia Jeshi la Rwanda limeenda Msumbiji na limefanikiwa kurejesha miji iliyokuwa imemilikiwa na waasi huko msumbiji ila katika historia kuna ukweli kwamba kuna majeshi yalisha kwenda huko...
Asante Ndugu Raisi, Asante Katibu Mkuu.
Wacha nikukumbushe jambo ambalo wote hapa, natambua mnalikwepa kama hamlijui vile mabwege, Kundi la Hamas lilishaadhimishwa kidunia kuwa ni Kundi la...
Wanachuo Wanawake na Wahadhiri Wanawake wamekatazwa kuingia Chuo Kikuu cha Kabul Afghanistan, ni utekelezaji wa sheria za Kiislamu ndani ya Nchi hiyo yenye Watu milioni 32+, taarifa imesema...
Mkubwa ni mkubwa tu.
A large explosion damaged an Iranian drone factory in Iran’s Isfahan province last week wounding at least nine people, The Guardian reports. Local residents said the massive...
Kanali Mamady Doumbouya akitoa hotuba kwenye mji mkuu wa Guinea wa Conakry
Kundi la kijeshi lililofanya mapinduzi kwenye taifa la Afrika magharibi la Guinea Jumanne limetoa wakaraka unaoahidi...
Kinyang'anyiro cha kuamua ni nani atakayemrithi Kansela wa Ujerumani, maarufu na ambaye amehudumu kwa muda mrefu zaidi Angela Merkel kinaweza kuwa kikali huku Wajerumani wakianza uchaguzi wa...
More than 80 aid workers including some employed by the World Health Organization (WHO) were involved in sexual abuse and exploitation during an Ebola crisis in the Democratic Republic of Congo...
Jamii ya kabila ya banyamulenge waishio Europe, USA na kwingineko wanaandamana na kulalamika juu ya Maimai na jeshi la congo FARDC inafanya mauaji ya kimya kimya juu ya banyamelenge (Congolese...
Ukipata uongozi kwa njia ya Haki kila mtu atakuheshimu, utaalikwa na kila mwenye akili timamu na hasa kama Utawasamehe wote waliokufanyia unyama, huku ukisisitiza Demokrasia ya kweli kwenye Nchi...
Diplomacy
Image by the courtesy of Google
EAC economy creeps to doldrums and steering to recession if meltdown in Somalia isn’t subdued. Disorder in the GLR and horn of Africa should swiftly...
Kampuni kubwa ya kutengeneza dawa ya hapa Marekani ya Pfizer imesema kwamba imeanza majaribio ya dawa inayolenga kulinda watu wanaoishi na mtu aliyeambukizwa Covid.
Dawa hiyo inalenga kuwazuia...
South Korea imesema kuwa North Korea (NK) imetesti kombora ambalo bado halijafahamika wakati ambao balozi wa NK wa Umoja wa Mataifa (UN) bwana Kim Song akizungumzia/akitetea haki ya nchi yake ya...
Maonesho ya pili ya Uchumi na Biashara kati ya China na Afrika yamefanyika huko Changsha mkoani Hunan, China, na kushirikisha zaidi ya nchi 40 za Afrika na karibu kampuni 900 kutoka China na nchi...
Shule za sekondari zimefungua milango tena nchini Afghanistan, lakini kwa wavulana tu, bila wasichana. Watawala wapya wa nchi hiyo, Taliban wameamuru wavulana na walimu wa kiume tu ndio warejee...
Meet the Ghanaian official who is supposed to be the most grounded warrior in the entire of West Africa, in his straightforward yet enthusiastic moves as he was spotted wearing his uniform.
One...
Karamba Diaby alishinda jimbo la Halle (Saale) kwenye uchaguzi mkuu nchini Ujerumani tarehe 26 Septemba.
Dk Karamba alizaliwa Senegal akafika Ujerumani akiwa mwanafunzi mnamo mwaka 1986. Baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.