New York times imeelezea kwa kina namna Mwanasanyansi wa Irani aliuawa na Mossada
NB:taarifa ni ndefu soma kwa makini ujue OPS za MOSSAD zilivyofanyika ili kutekeleza tukio zima
WARNING: LONG...
Waziri wa Afya, alilihakikishia Taifa kwamba Chanjo za Covid-19 ni salama, baada ya kufanya scientific research.
Leo dunia imeanza kupata majibu ya maswali ambayo wafanyabiashara walizuia watu...
Kiongozi wa juu kabisa nchini Iran Ayatollah Ali Khamenei ameiita Israel kuwa sio taifa, bali ni ngome ya kigaidi huku akiyataka mataifa ya Kiislamu kupambana nayo, katika wakati wanapoadhimisha...
Wanajeshi waliofanya Mapinduzi wamesema hawatakubali kushinikizwa na kumruhusu Rais Alpha Conde ambaye anashikiliwa tangu kupinduliwa Septemba 05, 2021 kuondoka Nchini humo
Rais wa Ivory Coast...
Rwanda imelegeza masharti waliyoweka katika kudhibiti maambukizi ya #COVID19. Baa zitafunguliwa na mikusanyiko itaruhusiwa
Watakaoruhusiwa kuwepo kwenye mikusanyiko kama sherehe na maonesho ni...
Mtoto wa aliyekuwa kiongozi wa Libya Muamar Gadafi, aitwaye Saad Gadafi ameachiwa huru na mahakama nchini Libya.
Saad amewahi kuwa mchezaji wa timu ya taifa ya soka ya nchi hio.
Pia raisi wa...
Rais wa zamani wa Afghanistan Ashraf Ghani ameomba msamaha kwa watu wa Afghanistan baada ya kukimbilia katika nchi za Falme za Kiarabu.
"Kuondoka Kabul ulikuwa uamuzi mgumu zaidi maishani...
Shirika la Kuhudumia Watoto (UNICEF) imesema theluthi moja ya Watoto chini ya miaka 2 katika Nchi zinazoendelea hupata Chakula wanachohitaji kwa ukuaji bora
Ripoti ya UNICEF imesema majanga...
Marekani inajianda kutoa msaada wa chanjo za ziada millioni 500 za Covid 19 za Pfizer kwa mataifa kadhaa kote duniani, na hivo kufikisha jumla ya dozi billioni moja kufikia sasa.
Jumatano, Rais...
Karibu waandamanaji 300 wamevamia bunge la Namibia Jumanne, wakati lilipokuwa likijianda kupitisha msaada wa dola billioni 1 wa Ujerumani kama fidia kutokana na mauaji ya kimbari dhidi ya...
Toleo jipya la Chanjo ya Johson & Johson la Dozi mbili ni madhubuti kwa 94% dhidi ya kirusi cha covid 19 na sasa chanjo hiyo inalinganishwa sawa na Chanjo ya Modena na Pfizer.
---
A two-dose...
Kiongozi wa zamani wa kijeshi wa Misri Field Marshall Mohammed Hussein Tantawi amefariki dunia.
Bwana Tantawi amewahi kuwa waziri wa Ulinzi wa Misri kwa miaka 21. Pia amekuwa Rais wa mpito...
Maafisa wa ujasusi wa kupambana na magendo wamekamata karibu tani tatu za heroin - ambayo inasemekana kuwa ya thamani ya karibu dola biioni 2.7 (£ 1.9bn) - katika operesheni kubwa katika bandari...
Katika maegesho ya gari nchini Thailand katika mji mkuu wa Bangkok, utaona mbogamboga zikiwa zimeota katika paa ya magari ya kukodi ambayo yana rangi mbalimbali za kung'aa.
Vizuizi vikali...
Meya mpya wa Mji Mkuu wa Afghanistan, Kabul, amewaambia Wanawake wanaofanya kazi Manispaa kukaa nyumbani isipokuwa kama kazi zazo haziwezi kufanywa na Wanaume
Hamdullah Nomany amesema Taliban...
Jeshi la Sudani limefanikiwa kudhibiti hali ya Mambo mjin Orduman wakati wanajeshi waasi walipojaribu kuteka vituo vya redio na television
Source: Habari leo
Serikali Nchini humo imesema kumekuwepo jaribio la kufanya mapinduzi ambalo limeshindikana, na hatua zinachukuliwa kudhibiti hali hiyo.
Shirika la Habari la AFP limenukuu chanzo kilichosema...
Ripoti za awali zinasema angalau watu nane wameuawa baada ya Mtu mwenye silaha kufyatua risasi katika Chuo kilichopo Mji wa Perm.
Baadhi ya Wanafunzi na Walimu walionekana kujificha, huku wengine...
Idadi ya watu wasiojulikana huenda wamejeruhiwa katika shambulio la gurunedi usiku wa Jumatatu katika mji mkuu wa kibiashara wa Bujumbura nchini Burundi.
Walioshuhudia tukio hilo wanasema...
Ukimbizi ni Biashara, na masjirika yanatengeneza Biliion of Money, Mtakumbukwa mwaka 2019 kuna shirika la kuhudumia wakimbizi la Danish Refuge Council walikutwa na sare za jeshi.
Yale mashirika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.