Picha za 'Satellite' zimeonesha kituo cha Kijeshi ndani ya Saudi Arabia kikifanya majaribio na kutengeneza Makombora 'Ballistic Missiles'. Hili linakuja baada ya matamko mbalimbali yaliyotolewa na...
1. Ndio waliokuwa na Rais wa kwanza mkatoliki Kennedy.
2. Ndio waliokuwa na Rais wa kwanza mwafrika Obama.
3.Ndio wamekuwa na waziri wa kwanza mwafrika wa mambo ya nje. Powell.
4. Ndio wamekuwa...
(Algiers) Former Algerian President Abdelaziz Bouteflika died on Friday at the age of 84, state television reported.
Posted on September 17, 2021 at
7:07 p.m. Quebec, Canada
FRANCE MEDIA AGENCY...
Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imeweka vikwazo dhidi ya Wanajeshi waliofanya Mapinduzi Nchini Guinea wakitaka Uchaguzi Mkuu kufanyika ndani ya miezi 6.
Wameweka marufuku...
Kwako mheshimiwa balozi wa China Tanzania
Naamini huu ujumbe utakufikia
Mimi nakuuliza swali, kwa nini ndani ya nchi yenu China kumekuwa na kampeni mbaya kabisa za kibaguzi dhidi ya watu weusi...
Sheria ya kwanza ya msamaha inachukuwa kipindi cha kuanzia Agosti 18 hadi Septemba 24, 2020, ikimaanisha kipindi ambapo Assimi Goïta aliendesha mapinduzi ya kijeshi hadi alipotawazwa Bah N'Daw...
Calfonia GDP yao mwaka jana ilikuwa $ 2.75 Trillioni wakati United Kingdoms ilikiwa ni $ 2.62.
Kama Calfonia ingekuwa ni nchi, Basi ingekuwa nchi ya Tano Kwa Utajiri Duniani ikizipiku India...
Israel yalazimika kukiri nguvu kubwa za kijeshi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Sep 13, 2021 02:27 UTC
[https://media]
Waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa droni yaani...
Rais Mohamed Abdullahi Mohamed amemuondolea Waziri Mkuu, Mohammed Hussein Roble, Madaraka ya kuajiri na kufukuza kazi Watumishi akidai Kiongozi huyo amekiuka Katiba.
Amesema kusitishwa kwa...
Women in Afghanistan can continue to study in universities, including at postgraduate levels, but classrooms will be gender-segregated and Islamic dress is compulsory, the higher education...
Mwaka 2022 Kenya itaanza kutengeneza chanjo ya COVID-19 ndani ya nchi kwa kushirikiana na kampuni za dawa katika hatua ya kurahisisha usambazaji wa chanjo kwa watu wengi.
Waziri wa Afya Mutahi...
Wadukuzi wanaojiita Sangkancil wamedai kudukua taarifa binafsi za zaidi ya watu milioni 7 nchini Israel.
Wadukuzi hao wamesema wamedukua taarifa hizo kutoka kwenye tovuti ya CITY4U ambayo...
Taliban na mbwembwe zote zile Sasa hv wanamlilia Tena US awasaidie kuendesha nchi. Saudia kanyuti Kama hawajui
=======
Taliban took Afghanistan but face cash squeeze
By JOSH BOAK...
Umoja wa Mataifa umesema janga la virusi vya corona halikupunguza kasi ya mabadiliko ya tabianchi. Katika ripoti iliyotolewa na umoja huo leo Alhamisi, imearifiwa kuwa utoaji wa hewa chafu ya...
Imekuwa ni kawaida sana tangu Biden aingie madarakani huwa hajibu maswali ya kwenye presss na hakuna accountability anayohukua.
Pia kufanya speech imekuwa mtihani kwake, hasa pale mazingira...
Shirika la Umoja wa Mataifa Linalohudumia Watoto (UNICEF) limesema Watoto Milioni 1 huenda wasiende Shule kutokana na matukio ya utekaji nyara yanayolenga Wanafunzi
Zaidi ya Wanafunzi 1,000...
Ndugu wa Wahanga wa mlipuko uliotokea Beirut Agosti 2020, walionusurika tukio hilo pamoja na Mashirika ya Haki za Binadamu wametaka kufanyika uchunguzi huru chini ya usimamizi wa Umoja wa Mataifa...
Serikali ya Haiti imeendelea kuingia kwenye sintofahamu baada ya Waziri Mkuu, Ariel Henry kumbadilisha Waziri wa Sheria, Rockfeller Vincent
Pia, Afisa wa Juu amejiuzulu akisema hawezi kumtumikia...
Ripoti hiyo inaangazia athari zinazoletwa na mabadiliko ya hali ya hewa, kama vile upungufu wa maji, upungufu wa uzalishaji chakula, ongezeko la maji baharini, masuala ambayo huenda yakasababisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.