International Forum

News and Stories from rest of the World
Rwanda imeanza ujenzi wa Kigali Innovation City (KIC), mradi wa TZS 4.6 trilioni unaolenga kupata eneo la uvumbuzi wa teknolojia Afrika sawa na lile la Silicon Valley, Marekani. Eneo hili la...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Wakati Kimbunga Ida kinaendelea kusogea, maelfu ya watu wanaondoka Jimbo la Louisiana kwasababu ya usalama Watabiri wanasema kinaweza kuwa na nguvu zaidi kuliko Kimbunga Katrina ambacho...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mchungaji Cyril Utomi kutoka Nigeria ameyachoma mawigi na vipodozi vya muumini wa kike kwa madai asingeweza kukutana na Yesu akiwa na nywele na vitu vingine vya bandia ikiwa ni pamoja na viatu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Source BBC14, July 2021 Uingereza inakabiliwa na uhaba wa madereva wa malori, upungufu uliopo ambao unahitaji kuzibwa haraka ni maderava 100,000. Athari zilizotokea mpaka sasa ni Nandos kufunga...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Karibu watu 4,500 wameugua kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia kuvuja kwa sumu kutoka kwa mgodi wa almasi katika nchi jirani ya Angola, waziri wa mazingira anasema. Eve Bazaiba...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Rais Joe Biden amesema Marekani itaendelea kuwaondoa watu Kabul licha ya shambulio lililosababisha vifo vya Wanajeshi hao. Kwa mujibu wa Kituo cha Al Jazeera, Raia wapatao 72 wamepoteza maisha...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Waziri Mkuu, Jacinda Ardern amelitaka Bunge kupitisha Sheria itakayofanya kupanga mashambulizi ya kigaidi kuwa kosa Hatua hiyo inakuja baada ya Mtu mmoja Raia wa Sri Lanka kushambulia kwa kisu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
COVID-19: Five police officers injured after violence breaks out at anti-vaccine protest in London Ten people were arrested after demonstrators clashed with police in Canary Wharf and South...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Margaret Loughrey, 56, from Ballycolman, Strabane, in Northern Ireland, was found dead on Thursday morning eight years after winning £27million on Euromillions Margaret Loughrey was unemployed...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Rais wa Zambia aliyechaguliwa hivi karibuni na kuapishwa juzikati kwa mbwembwe na vigelegele amedai ameikuta Hazina ya nchi nyeupe yaani haina fedha. === Rais mpya wa Zambia ameambia BBC kwamba...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Badiliko hili limelenga kuwasaidia babu na bibi kupata nafasi ya kulea wajukuu na kuwezesha idadi ya watu kuongezeka. Wengi wanaofanya kazi wanapata changamoto za gharama kubwa ya malezi ya...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Taifa hilo limeidhinisha matumizi ya dharura ya Chanjo dhidi ya COVID-19 ya Moderna kwa Watoto wa kuanzia umri wa miaka 12 hadi 17. Kwa mujibu wa takwimu za WHO, Ufilipino imerekodi maambukizi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
BBC hatimaye wamefanya kweli. Wale wenye matusi yao sasa ongezeni BBC baada ya jMali! http://vimeo.com/107867605 Kwa ambao video haionekani hapo juu Direct link hii hapa: Rwanda's Untold Story...
9 Reactions
333 Replies
36K Views
Baadhi ya wakazi wamekwama katika maeneo ya chini ya nyumba zao yaliyofurika maji pamoja na ndani ya magari yao Rais wa Marekani Joe Biden anasema "uwekezaji wa kihistoria " unahitajika...
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Jitihada zinaendelea kujaribu kuwaachilia zaidi ya wanafunzi 70 wa shule ya upili waliotekwa nyara Jumatano katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria. Kisa hiki cha utekaji nyara...
0 Reactions
0 Replies
698 Views
Amesema kwa mazingira magumu ya utawala wa kikandamizaji wa Lungu, quite oppressive regime but he tried very hard to act professionally, alimshangaa sana kwa vipi "this young man" was able to act...
17 Reactions
24 Replies
4K Views
Rais wa Halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen amesema Umoja huo umefanikiwa kuwapa chanjo kamili asilimia 70 ya watu ambao ni zaidi ya watu milioni 250 ndani ya Umoja huo. Katika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Siku ya pili ofisini, Rais wa Zambia anasema ameteua team ya wataalam kuanza kufanya tathmini ya mfumo wa kodi wa nchi hiyo ili ufanyiwe mabadiliko makubwa ili kuondoa kasoro nyingi ambazo...
13 Reactions
24 Replies
2K Views
Serikali ya Ethiopia imefunga Ubalozi wake uliopo Algiers Nchini Algeria, ikiwa ni hatua ya kupunguza gharama za majukumu yake ya Sera za Kigeni Ubalozi wa Ethiopia Nchini humo umesema uamuzi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
“I have closed over 6000 churches and mosques in my country and I am now demanding for a theology degree for every religious leader. Stop playing with people's faith and making it a business...
25 Reactions
79 Replies
8K Views
Back
Top Bottom