Rais Joe Biden ametetea uamuzi wake wa kuondoa Vikosi vya Marekani Nchini Afghanistan. Rais huyo amekosolewa kwa kiasi kikubwa kutokana na namna Vikosi vya Taifa hilo vilivyoondoka.
Hata hivyo...
Rais wa Botswana amemsimamisha kazi kwa mwezi mmoja Waziri Msaidizi wa Afya, Sethomo Lelatisitswe, kwa kukiuka taratibu zilizowekwa ili kudhibiti maambukizi ya COVID19.
Serikali Nchini humo...
Burudi imezuia upelekaji nje aina ya madini adimu ( rare earth) mpaka suala la kupata faida yenye usawa kwa serikali na mwekezaji linafikiwa. Hayo yamesemwa na Waziri wa maji, nishati na madini...
Kundi la kigaidi lililokamata Nchi yote Afghanistan leo wameonekana Wakizunguka angani na Black Hawk Helicopter zilizoachwa na Jeshi la Marekani kwa zamu baada kujifunza kuzirusha kupitia You tube...
Mwakilishi wa WHO nchini Afrika kusini, Maria van Kerkhove amesema kuwa wamegundua uwepo wa virusi vipya vya Corona aina ya C.1.2 na kusema kuwa virusi hivyo vimeonesha tabia ya kuzaliana mara 2...
Watafiti nchini Brazil wamegundua aina ya nyoka ya jararacussu ambaye sumu yake ina protini ambzo zinavyoweza kupambana na #COVID19
Vitu vinavyopatikana katika sumu ya Jararacussu inaweza...
Muda uliowekwa na Rais Joe Biden wa Marekani kuondoa majeshi kutoka Iraq umepita, huu ni muda ambao wamarekani wengi walikuwa wakiusubiria. Kwani kwa muda wa miaka 20, wamarekani wamekuwa...
Serikali ya Tunisia imeidhinisha hati ya kukamatwa kwa aliyekuwa mgombea urais wa nchi hiyo kwa mwaka 2019, Nabil Karoui pamoja na kaka yake ambaye ni Mbunge, Ghazi Karoui kwa kosa la kuvuka mpaka...
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani hivi karibuni ilitoa Ripoti yake ya mwaka 2021 ya Biashara ya Magendo ya Watu, na kwa mara nyingine tena, ilitumia mbinu yake ya kawaida ya kuweka vigezo viwili...
akili ya kawaida unatoa kwanza raia wa marekanj na silaha za marekani ndio jeshi linaondoka ila huyu mluga luga katoa kwanza jeshi sijui alitegemea nini.
kuna mjeshi wa navy seals aliemuaa...
RAIS MPYA WA ZAMBIA AMFURUSHA OFISINI MKUU WA POLISI (IGP), MKUU WA MAJESHI (CDF) na DPP, AAHIDI KUMALIZA UTAWALA KANDAMIZI WA MTANGULIZI WAKE
RAIS mpya wa Zambia Hakainde Hichilema jana Jumapili...
It's a matter of time before those who've betrayed Rwanda face consequences, Rwandan President Paul Kagame said Sunday, nearly two weeks after the killing of a former Rwandan spymaster turned...
Rouhani: Kila mwaka Iran huchimbua tani milioni 590 za madini nchini
Jul 01, 2021 10:55 UTC
[https://media]
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kila mwaka Iran huchimbua...
Ndege ya mwisho iliyowabeba wanajeshi wa Marekani imeondoka jana nchini Afghanistan na kuashiria kumalizika kwa vita vya miaka 20, vinayotajwa kuwa virefu zaidi katika historia ya Marekani...
Swali:
1. Hawa walikuwa wanatekeleza amri za Lungu, sasa unamuachaje Lungu ambaye alikuwa anabariki mateso yote?
2. Kama Lungu alitenda makosa nje ya mamlaka yake, kwa kuvunja katiba na sheria za...
Maajabu ya Rais Mpya wa Zambia Hichilema Ni msabato na Ni Rais wa Saba wa Zambia toka ipate uhuru.
Aligombea mfululizo kwa miaka sita kamili katangazwa mshindi mwaka wa Saba wa kalenda ya...
Mamlaka Nchini Niger zimesema watu 83 wamefariki dunia kutokana na Ugonjwa wa Kipindupindu ikielezwa zaidi ya Visa 2,300 vimeripotiwa tangu Machi 13
Mikoa sita kati ya nane ya Taifa hilo...
6 major figures to lead Taliban through critical process
All eyes now turned on 6 important figures who will guide Taliban's major decisions as group prepares to form government
Bilal Guler...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.