International Forum

News and Stories from rest of the World
Ni kama Series ya Prison break. Wapiganaji wa Kipalestina wa brigade ya AL Aqsa wamefanikiwa kutoroka jela yenye ulinzi mkali liitwalo 'Safe' huko Gilboa Israel. Jamaa Hawa wamechimba shimo chini...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Mwanaume mmoja huko Vietnamese amehukumiwa kifungo cha miaka mitano gerezani kwa kosa la kukiuka masharti dhidi ya kujikinga na Covid-19 na kusambaza virusi vya Corona. Mahakama imemkuta na hatia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimeona sehemu wanasema rais wa Guinea amepinduliwa na wanajeshi waasi na anapelekwa kwenye mahakama ya kijeshi === GUINEA: WANAJESHI WAMPINDUA RAIS Wanajeshi wamefunga mipaka ya Guinea na...
13 Reactions
231 Replies
26K Views
Habari za Hivi Punde Ni Kwamba, Taliban wametangaza serikali mpya ya mpito nchini Afghanistan, itakayoongozwa na mmoja wa waanzilishi wa kundi hilo, mwanamgambo aliyekuwa akisakwa na FBI kama...
1 Reactions
0 Replies
912 Views
Wizara ya Mambo ya nje ya Ujerumani imeinyoshea kidole cha lawama Urusi kuhusiana na jaribio la kutaka kuiba data kutoka kwa wabunge. Msemaji wa Mizara ya Mambo ya nje ya Ujerumani, Andrea Sasse...
1 Reactions
4 Replies
899 Views
Mkuu wa kikosi maalum cha jeshi kilichompindua Rais Alpha Conde amesema maafisa wa serikali ya Guinea sasa hawatoruhusiwa kusafiri nje ya nchi. Kanali Mamady Doumbouya pia amesema marufuku ya...
4 Reactions
17 Replies
3K Views
Jamhuri ya kidemokrasia yaCongo imepokeadozi250,000 za chanjo ya Corona aina yaModerna. Ni mara ya kwanza DRC kupokea chanjo nyingine isioyokuwa ya AstraZeneca. Rais wa DRC, Felix Tshisekedi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Maafisa wa Taliban wamevunja maandamano ya Wanawake kadhaa huko Kabul. Imeelezwa Wanawake hao walikuwa wanadai Haki ya kufanya kazi na kujumuishwa kwenye Serikali. Kundi hilo limesema mabomu ya...
2 Reactions
70 Replies
5K Views
Biden 'anaswa' akisinzia White House katika mazungumzo na waziri mkuu wa utawala haramu wa Israel Aug 29, 2021 13:10 UTC [https://media] Rais Joe Biden wa Marekani amenaswa akisinzia katika...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Natumai u bukheri wa siha njema mwanaJf mwenzangu...Nakusalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania na jina la jamhuri ya kiislam ya Iran Kwa muda wa miaka 40 sasa uwezo wa kijeshi wa...
3 Reactions
61 Replies
4K Views
Wakati Ujerumani ikijiandaa na Uchaguzi wa Bunge unaotarajiwa kufanyika Septemba 26, ripoti mpya ya Taasisi isiyo ya Kiserikali nchini humo ya Avaaz imeonesha kuongezeka kwa matukio ya upotoshaji...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Siku ya kuondoka jeshi la Marekani kwenye uwanja wa ndege wa Kabul, taliban waliingia kwa mbwembwe na furaha ikawajia, baada ya kuona ndege za kivita na helicopters aina Hawks na Magari ya Hunvee...
17 Reactions
214 Replies
17K Views
Huu ni mwaka wa nane tangu China itoe pendekezo la “Ukanda Mmoja, Njia Moja”. Katika kipindi hicho, ujenzi wa miradi ya ushirikiano kati ya China na nchi za Afrika kutokana na pendekezo hilo...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
The United Kingdom changes the classification of COVID-19 from serious infectious epidemics to regular communicable diseases...
0 Reactions
3 Replies
660 Views
Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Antonio Guterres, Jumapili amelaani kile kinachotajwa kama mapinduzi ya kijeshi nchini Guinea, na kuwasihi wanajeshi waliosema wamefanya mapinduzi hayo na kuchukua...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Njia ya Mungu ni fumbo RAIS HAKAINDE HICHILEMA AMUAPISHA ASKARI ALIYEMTENDEA WEMA AKIWA GEREZANI KUWA NAIBU KAMISHNA WA MAGEREZA. KUNA SOMO LA KUJIFUNZA Rais wa Zambia Hakainde Hichilema ameteua...
28 Reactions
40 Replies
5K Views
Mapigano yanaendelea kati ya jeshi na vikosi vinavyomuunga mkono Raisi Alpha konde.mpaka sasa jeshi limeingia ikulu na kumshikilia Bwana Konde. === Guinea's President Alpha Conde addresses the...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Miezi kumi tangu kuanza kwa vita vya Tigray, Umoja wa Mataifa umeonya hali ya kibinadamu katika mkoa huo wa kaskazini mwa Ethiopia inaelekea kuwa mbaya zaidi, ukilaumu kile ulichokiita mzingiro wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jeshi la Marekani limesema limemuua mtu anayedaiwa kupanga shambulizi kwenye uwanja wa ndege wa Kabul baada ya kufanya shambulizi la ndege isiyokuwa na rubani. Operesheni hiyo ya usiku wa kuamkia...
9 Reactions
38 Replies
4K Views
Kwa muda mrefu, baadhi ya wanasiasa nchini Marekani wamefanya kila wawezalo kuchafua jina la China kwa kuisema kama ni hatari na kufanya ukoloni mambo leo ili kuharibu uhusiano kati ya China na...
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom