Mamlaka zimeonya aina mpya za Virusi vya Corona vimeonekana kuwaathiri zaidi Watoto na kutokana na hilo, masomo ya Shule zote za Msingi na Sekondari yataendelea kutoka nyumbani kuanzia Jumatano...
Ukiangalia vita ya israel na hamas miaka iliyopita ni tofauti na mwaka huu. Miaka ya nyuma hamas hamas walikuwa wanarusha mpaka roketi 300 kwa mpigo mmoja na rocket zote zinatungulia bila kuleta...
Kwa propagant za west n kana kwamba rwanda inaendelea sanaaa kuliko sehem nyingine africa!
Ingawa uhalisia wake unaonekana wa kawaida sana ukitoa ishu ya jiji safi kigali
Je ni kweli kua rwanda...
Kama kichwa cha habari kinavojieleza, nimekua nikifuatilia kwa mda mzozo uliopo Mashariki ya Kati yaani Israel na Palestina, nimegundua inawezekana ikawa kweli Israel ni taifa teule kama...
Usaliti nikitu kibaya sana Khashogh alifikiri kuwa ndani ya list ya mashirika ya mabwana wakubwa kutamponya na kuwa safe popote alipo. Sio kwamba hakujuwa siku moja atakufa kwa kazi mbaya...
India imeripoti kushuka kwa maambukizi ya virusi vya corona katika miji yake mikubwa miwili ya Delhi na Mumbai, inayokaliwa na zaidi ya theluthi mbili ya wakazi bilioni 1.4 wa taifa hilo...
Close the menuLIVE
DEVELOPING STORYIsraeli air strikes kill at least 33 people in Gaza CityDEVELOPING STORYDeadliest single attack since the start of bombingDEVELOPING STORYIsrael air force...
Bosi wa Uwanja wa Ndege wa Dubai, Paul Griffiths amesema haoni mbadala wa Hati za Kusafiria ‘Passports’ ambazo zitaambatanisha na chanjo za COVID19 ambao hawatakuwa wamechanjwa hawatasafiri
Hatua...
Inakuwaje wanajamvi!
Jeshi takatifu la Israel IDF Jana liliwadanganya Hamas litaingia Gaza kwa kikosi chake cha ardhini. HAMAS wakaingia kwenye maandaki yao kuwasubiri kuwaambush.
Ndipo hapo...
Zaidi ya wananchi 60%+ wa Seychelles wamepata chanjo ya corona huku maambukizi yakizidi kuongezeka sana zaidi hata ya Tanzania ambako hakuna hata single dose ya chanjo.
CNN wanaripoti kuwa vita...
Jina Palestina linatokana na neno la Kilatini Palaestina na neno la Kigiriki Palaeistine. Maneno haya mawili yanatokana na neno la Kiebrania Pelesheth. Biblia inatumia neno Pelesheth linatafsiriwa...
Kufuatia mataifa mbalimbali ulimwenguni kusitisha matumizi yake, Kampuni ya AstraZeneca imesema hakuna ushahidi wa hatari ya kuganda damu kutokana na Chanjo hiyo
Imesema takriban watu Milioni 17...
Kusema ukweli kama ukabila, udini sasa inatosha. Kitendo cha kufanya watu wa Gaza, Palestina kuwa sehemu ya kuwashuhudia wakipoteza ndugu na jamaa kwa hili si jema. Hizi ni picha ambazo wapo...
China imekuwa nchi ya pili katika historia kufanikiwa kufikisha kifaa katika Sayari Nyekundu au 'Mars'
Kifaa hicho kilichopewa jina la Zhurong ambalo ni jina la Mungu wa Moto wa Kichina kimetua...
Kwa mara nyengine tena Israel imekiri kuzidiwa nguvu na idadi ya vikombora vinavyorushwa na wanamgambo wa makundi tofauti kutoka Gaza. Taarifa hizo zimekuja katikati ya muendelezo wa machafuko...
Mimi huwa ni mhanga wa swali hili,Wayahudi wamezungukwa pande zote na jamii ya kiarabu,lakini huwa nashangaa namna wanavyo wananyanyasa warabu wenzao (Wapalestina)lakini nchi za kiarabu kimya...
Kwa wapenda amani wote wa ulimwengu huu!
Umewahi kujiuliza why Israel infanya jinai with impunity? Yaani hawaogopi lawama wala hawana aibu yeyote ya kibinadamu katika kufanya jinai zao? Unatumia...
Saa 3 zilizopita
Jengo la ghorofa huko Gaza ambalo limeripotiwa kuwa na ofisi ya Hamas limeanguka katika shambulizi la angani lililofanywa na Israeli. Katika kulipiza kisasi wanamgambo huko Gaza...
Adui wa Waafrica ni Waafrica wenyewe, fikiria Wazungu walikombolewa wao na mbwa wao kabla ya watu weusi, yaani Mbwa wa Kizungu alikuwa na umuhimu mkubwa kuliko Waafrica, na mbaya walio fanya haya...
Rais mstaafu wa marekani ndugu Barack Obama, amefiwa na mbwa wake bo.
Akitoa tangazo hilo leo moja kwa mona kupitia cnn. Obama ameonesha pamoja na familia hiyo kusikitishwa na kifo cha mbwa huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.