International Forum

News and Stories from rest of the World
Makamu rais wa Zimbabwe akiwa katika hospitali ya Wilkins kwa ajili ya chanjo ya kupokea chanjo ya Covid 19. Shirikisha Zimbabwe imegundua kesi za kwanza za aina mpya ya virusi vya corona ambavo...
0 Reactions
0 Replies
929 Views
Mamlaka za afya nchini Malawi zinatarajiwa kuharibu zaidi ya dozi 19,000 za chanjo ya Covid 19 kutoka AstraZeneca baadaye siku ya Jumatano. Wanasema chanjo hizo zimepitisha muda wa matumizi na...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Mvutano baina ya Vikosi vya Usalama na Waandamanaji wanaopinga Utawala wa Jeshi umeendelea Nchini humo ambapo Polisi imesema watu kadhaa wamekamatwa. Vikosi vimetumia mabomu ya machozi kutawanya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Israel ni taifa teule Spiritual kwa wakristo nikimaanisha mambo mengi ya kiroho alipitisha kupitia wao, wana baraka nyingi na adhabu pia kwa hiyo sio kweli kwamba Mungu anawapendelea Leo naelezea...
0 Reactions
55 Replies
3K Views
Afisa mwandamizi wa Hamas amesema kuwa anatarajia Israeli na wapiganaji wa Kipalestina huko Gaza kufikia usitishaji wa mapigano "ndani ya siku moja au mbili" wakati mashambulio ya mpakani...
2 Reactions
2 Replies
747 Views
Afisa mwandamizi wa Hamas amesema kuwa anatarajia Israeli na wapiganaji wa Kipalestina huko Gaza kufikia usitishaji wa mapigano "ndani ya siku moja au mbili" wakati mashambulio ya mpakani...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Tarehe 19, Mei, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilifanya mkutano wa ngazi ya juu kuhusu “kuhimiza ujenzi mpya wa Afrika baada ya janga la COVID-19 na kuondoa mzizi wa mgogoro”. Waziri wa...
0 Reactions
0 Replies
476 Views
Ni kuwakumbusha tu Israel anapambana na kikundi kidogo sana cha watu wasiojiweza kabisa , si jambo la kushangiria shangilieni pale tu atapojichanganya kwa taifa kama Syria , Lebanon alafu hakuna...
9 Reactions
120 Replies
6K Views
Wimbi la Wazayuni wanaoikimbia Tel Aviv kukwepa makombora ya muqawama lazidi kuwa kubwa May 19, 2021 03:14 UTC Vyombo vya habari vimetangaza kuwa, wimbi la Wazayuni wanaokimbia mji mkuu wa...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Yafuatayo ni Matukio ya kila chanzo cha vita baina ya Mataifa haya Mawili. 1987 - Hamas inaundwa mwanzoni mwa ghasia (Intifadha) dhidi ya uvamizi wa Israeli wa Ukingo wa Magharibi na Ukanda wa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
63% (watu 61,631) ya raia 97,625 wa ushelisheli wameshapata dozi mbili (Fully vaccinated) ya chanjo ya covid-19, lakini hali ya maambukizi imekuwa mbaya sana kiasi kwamba serikali imeamua...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Kumekuwa na upotoshaji mkubwa sana unaofanywa maksudi na media na sijui kwanini. Mfano mpaka sahivi hamas amesharusha makombora zaid ya 1000+ Israel lakin kinachowasaidia Israel ni kuwepo kwa...
6 Reactions
64 Replies
7K Views
Shirika la Habari linalomilikiwa na Serikali ya Uturuki, Anadolu Agency (AA) limetoa kibali cha kutumiwa kwa ofisi zake katika mji wa Gaza kwa Mashirika ya Habari ya Al Jazeera na Associated Press...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
ISRAELI NI DHIDI YA HAMAS NA SI PALESTINA. Yafuatayo ni Matukio ya kila chanzo cha vita baina ya Mataifa haya Mawili. 1987 - Hamas inaundwa mwanzoni mwa ghasia (Intifadha) dhidi ya uvamizi wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limesema limesikitishwa na taarifa za wakimbizi wanaokimbia mapigano Kaskazini mwa Msumbiji kulazimishwa kurudi nchini kwao baada ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Before the state of palestine, there was a country called Israel but the Nazi, Russians, and Allied members killed and pushed jewish out of their land that was located around mt. Zion, later After...
2 Reactions
6 Replies
933 Views
Vyanzo kutoka Iran, Vinasema kutatua mgogoro wa wa Karne nyingi kati ya Israel na Palestina ni kupiga kura miongoni mwa wakazi wote waishio katika maeno ya mgogoro wa kiuraia, utamaduni au udini...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wana bodi. Nchi ya Afrika Kusini leo imetangaza kusitisha chanjo ya Corona iliyokuwa ikiendelea nchini humo baada ya matukio ya watu kuganda damu kila wanapochanjwa kuongezeka. Nchi ya...
27 Reactions
81 Replies
7K Views
Hivi karibuni, watu kutoka sekta mbalimbali barani Afrika wamezikosoa nchi za magharibi kwa kutoa shutuma zisizo na msingi dhidi ya hali ya haki za binadamu nchini China. Hii ni kwa sababu China...
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Mamlaka Nchini Belarus zimevamia Ofisi za Chombo cha Habari cha Tut.by pamoja na makazi ya Mhariri ambapo Tovuti hiyo imetolewa hewani. Maafisa wamesema ni kutokana na Kesi ya ukwepaji mkubwa wa...
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Back
Top Bottom