International Forum

News and Stories from rest of the World
Israeli imefanya mashambulizi kadhaa alfajiri ya leo katika Ukanda wa Gaza, baada ya wanamgambo wa Palestina kurusha makombora ya roketi katika miji iliyopo kusini mwa Israeli. Mashambulizi ya...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Nchini Canada katika jiji la Montreal waungaji mkono wa Palestina na wale walio dhidi yao wanaounga mkono Israel wamepigana wakati wa maandamano na kupelekea waziri mkuu wa nchi hiyo kutoa tamko...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema takriban watu Milioni 5 Tigray Nchini Ethiopia wanahitaji msaada hususan wa Chakula na wengi wanapoteza maisha kutokana na njaa. Mkuu wa Shirika hilo, Dkt...
0 Reactions
1 Replies
920 Views
Naona mambo yanazidi kuchacha Tayari Israel ashaliwa kichwa muda kwa meli yake kulipuliwa na Hamas More updates to come
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Chama kikuu cha wauguzi nchini Marekani kimeshutumu tangazo la karibuni la Vituo vya kudhibiti magonjwa kwamba watu waliopatiwa dozi kamili ya chanjo za Covid hawana haja ya kuvaa barakoa katika...
1 Reactions
3 Replies
843 Views
Shirika linalofuatilia upatikanaji wa huduma ya intanet la NetBlocks limesema huduma ya intaneti kwa majukwaa ya Facebook, WhatsApp na Instagram imerudi nchini Ethiopia baada ya kukosekana...
0 Reactions
0 Replies
595 Views
Idara ya Mambo ya Ndani nchini Afrika Kusini imependekeza sheria mpya ambayo itawaruhusu Mwanamke kuolewa na mume zaidi ya mmoja (polyandry) kama ilivyo kwamba wanaume nao wanaruhusiwa kuoa zaidi...
0 Reactions
59 Replies
6K Views
Israel inatumia gesi ya sumu dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza May 16, 2021 04:31 UTC Msemaji wa wizara ya afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza amesema, utawala haramu wa Kizayuni wa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mpaka tunaingia mitamboni miji hii kinawaka sasa 1. Paris 2. London 3. Berlin Jana ilikua New York na pia Lebanon kunawaka moto kati ya polisi na waandamanaji wanaopinga uonevu wa Israel kwa...
10 Reactions
106 Replies
8K Views
Maambukizi Nchini India yamefikia Milioni 25, ikiwa ni Taifa la pili ulimwenguni kufikia idadi hiyo baada ya Marekani. Visa vipya 263,533 vimerekodiwa katika saa 24 zilizopita na kupelekea jumla...
0 Reactions
0 Replies
808 Views
Silaha kuu wanayotumia Magaidi wa Palestina (HAMAS) ni raia wema na makazi yao, Ni ngumu sana kupigana na mtu anaetumia maisha ya raia wema kama ngao. Pale Israel napopanga shambulizi huwa...
7 Reactions
12 Replies
2K Views
Mashambulizi ya makombora katika eneo la Gaza yanaingia siku ya sita mfululizo, huku idadi ya vifo ikiongezeka kufikia watu 140, wakiwamo watoto 39. Israel imeendelea kutumia makombora...
4 Reactions
115 Replies
11K Views
KWA wale wataalamu wa siasa za kimataifa tunaomba kujuzwa kwa lugha nyepesi kiini cha mgogo wa GAZA baina ya Israel and Palestine uliozuka tena juzi na kupelekea zaidi wapalestina 174 kuuwawa...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Kila nikiangalia video kinachoendelea hapo Gaza nashangaa sana, Waarabu wako kimya kama hawaoni. Afu Waafrika na unafiki wa kulaani kwenye media, inasaidia nini sasa? Hakuna mzozo utakaotikea...
4 Reactions
135 Replies
8K Views
Palestine issue is a none event as compared to the brutality being faced by people of colour throughout this continent, 21palestines killed recently cant be compared to hundreds of blacks dying in...
2 Reactions
3 Replies
537 Views
kesi ya Jacob Zuma hiyo South Africa's ex-president says he is ready for graft trial JOHANNESBURG (AP) — Former South African President Jacob Zuma says he is ready for his trial on...
1 Reactions
4 Replies
810 Views
Habar wadau mimi toka juzi Baada ya Vyombo vya Habari Kuanza kuripot vita Baina na Izrael na Palestinian sijaona kabisa sehem hata Moja chombo chochote Kiki ripot kua Izrael imeshambulia...
4 Reactions
80 Replies
6K Views
Breaking: Palestian Foreign Minister issues address over escalation of violence in middle east Gaza An attack on Al Aqsa mosque is atack on Arabs & Muslims We need the International Court to...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Zimbabwe's justice minister has accused the judiciary of overreach and said it had been "captured" by "foreign forces" in order to destabilise the county. It came after the high court ruled that...
0 Reactions
0 Replies
544 Views
Back
Top Bottom