Maziko ya Waliokufa kwa Mlipuko wa Bomu Afghanistan Yafanyika.
Mazishi yameanza kwa waathirika wa milipuko kadhaa karibu na shule ya sekondari huko Kabul Jumamosi, ambayo sasa inadaiwa kuua zaidi...
The British government has finalised GBP 1 billion worth of trade and investment with India, creating over 6,500 jobs in Britain, ahead of the virtual summit between UK Prime Minister Boris...
Mlipuko huo ulisababishwa na mshambuliaji wa kujitoa mhanga aliyevalia vazi la kujilipua ambaye aliwaendea maafisa hao nje ya kituo cha wilaya ya Waberi majira ya saa tatu na nusu usiku kwa saa za...
Utawala wa kijeshi wa Myamar umelitangaza kundi pinzani la serikali ya Umoja wa kitaifa kuwa kundi la kigaidi na kulishutumu kuhusika na mashambulizi ya mabomu, uchomaji moto na mauaji. Kumekuwa...
Aina mpya ya Virusi vya COVID19 kutoka India na Uingereza imegunduliwa nchini Afrika Kusini, Wizara ya Afya imeeleza.
Visa 11 vya maambukizi ya aina ya Virusi vya B.1.1.7 (Uingereza) na visa 4...
WHO imetoa idhini ya dharura kwa Chanjo dhidi ya COVID19 iliyotengenezwa na Kampuni ya China ya Sinopharm. Imeshauri itolewe kwa dozi mbili kwa walio na miaka 18 na kuendelea.
Japokuwa Chanjo...
Kwa mujibu wa mtandao wa globalfirepower korea ya kaskazini ndo inaongoza kwa kua na submarine kali na nyingi kuliko nchi yoyote ile
1 North korea 73
2 CHINA 66
3 USA. 62
4 RUSSIA. 33
5 IRAN. 17...
Gavana wa Jimbo la Tanganyika ambaye pia ni mdogo wa aliyewahi kuwa Rais wa Nchi hiyo, Joseph Kabila, amepigiwa kura ya kuondolewa madarakani akituhumiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka
Zoe...
U.S. military has ‘no plan’ to stop falling Chinese rocket debris
Josh K. Elliott 1 hour ago
The U.S. military — including its brand-new Space Force — has no plans to shoot down the...
Habari Wana Jamvi,
Habari za hivi punde zinasema kwamba Rocket Ya Uchina (Space Rocket) iliopata hitilafu juu ya anga, nje ya anga ya dunia, inatarajiwa kuanguka katika dunia weekend hii.
Licha...
An armed man was shot by FBI agents Monday after a standoff of several hours at the entry gate to the CIA headquarters, the federal investigation agency said.
The unidentified man was prevented...
Baada kuleta hasara kubwa ya maisha ya watu na kuharibu mali kwa miaka takriban 10,Hatimae Marekani imeamua kuondoka nchini Afghanistan ikiwa ni sharti muhimu katika makubaliano yake na wanamgambo...
Habari zenu wakuu. Kwa wale wapenzi wa Korean dramas huyu ndiye Rais wa Korea.
Jina lake ni Moon Jae In. Alipata urais mwaka 2017 baada Park Geun Hye kuponzwa na rafiki yake Soon Sil hivyo...
Raisi matata wa Philippines ,Rodrigo Duterte amesema amejuta kuchanjwa kwa chanjo ya kichina iitwayo Sinopharm huku akihofia afya yake.
Wakati huo huo raisi Duterte ameutaka ubalozi wa China...
New Zealand ipo kwenye mchakato wa kupiga marufuku uuzwaji wa sigara na bidhaa nyingine za tumbaku kwa Mtu yoyote aliyezaliwa baada ya mwaka 2004
Ni juhudi za kuondokana kabisa na matumizi ya...
Inaelezwa kuwa kuongezeka huko kumeanza baada ya watu kutakiwa kukaa majumbani ili kuzuia maambukizi zaidi ya ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona.
Taarifa ya Ofisi ya Taifa ya...
Ikiwa ni takriban wiki mbili tangu akutwe na hatia katika mauaji ya Mmarekani Mweusi George Floyd, Derek Chauvin ameomba kesi yake kusikilizwa upya.
Mwanasheria wa Chauvin, Eric Nelson, amesema...
Visa vipya 414,188 na vifo 3,915 vimerekodiwa Nchini humo na idadi ya maambukizi imefikia Milioni 21.49 huku waliopoteza maisha wakifikia 234,083.
India imerekodi jumla ya visa Milioni 1.57 na...
Hakuna kitu chenye thamani duniani kama mtu kuwa na afya bora. Afya bora ndio inampa mtu nguvu ya kuweza kufanya shughuli zake mbalimbali ikiwemo kujitafutia riziki kwa ajili ya kujikimu kimaisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.