A senior member of staff at the Swiss embassy in Tehran has died after falling from the high-rise building where she lived, Iranian media report.
An emergency services spokesman told Mehr news...
Takriban watu 23 wamefariki dunia baada ya sehemu ya barabara ya juu kuporomoka na kupelekea treni ya abiria kuanguka katika barabara ya chini iliyokuwa na watu wengi wakati wa jioni siku ya...
Kamati ya rais ya kupambana na janga la Covid-19 nchini Nigeria, imesema taifa hilo litapiga marufuku wasafiri wanaokuja kutoka India, Brazil na Uturuki, kutokana na kuenea pakubwa kwa virusi vya...
INTERNATIONALCHINA
Is China’s population growing or shrinking? It’s a touchy topic for Beijing
BY
GRADY MCGREGOR
April 30, 2021 7:09 AM EDT
Our mission to make business better is fueled by...
Nazanin Zaghari-Ratcliffe: UK to pay Tehran £400m to free British-Iranian national, state TV reports (msn.com)
The UK will pay £400m to Tehran to free Iranian-British woman Nazanin...
Meli ya kubeba ndege ya China yapitia mpaka wa Japan
Meli ya kubeba ndege ya Wachina ya Liaoning ilipita kati ya mkoa wa kusini mwa Japan wa Okinawa na kisiwa cha Miyakojima.
Meli ya kubeba...
A Puerto Rican boxer who fought in London's 2012 Olympics has been charged with abducting and killing his pregnant lover.
Félix Verdejo is accused of attacking Keishla Rodríguez and then throwing...
Habari Wana jamiforums poleni na Corona
Leo UFARANSA imetangaza kua Mabaaria wake 94O walio kua kwenye meli ya kubebea ndege za kivita wamekutwa na Corona kitu ambacho kina wafanya mpaka Sasa...
Umoja wa nchi za Afrika AU imesitisha mpango wa uagizaji wa dawa ya chanjo Astra Zeneca ambao ni kinga ya ugonjwa wa homa ya mafua wa COVID -19.
Mpango huo wa AU ilikuwa ni kwa kiwanda cha Serum...
Utawala wa Kijeshi Nchini Chad umetangaza Serikali moya ya Mpito ambapo idadi kubwa ya Mawaziri walikuwa madarakani katika utawala wa Rais Idriss Deby aliyefariki dunia mwezi Aprili.
Wapinzani...
Rais Iván Duque ameondoa Muswada tata wa mageuzi ya Kodi kufuatia maandamano makubwa yaliyodumu Nchini humo kwa siku nne
Awali alisisitiza ongezeko la Kodi lilihitajika ili kukabiliana na mdororo...
Imarati yaunga mkono msimamo mpya wa Saudia kuhusu Iran.
Mrithi wa kiti cha ufalme wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ameelezea kufurahishwa kwake na msimamo mpya wa Mohammad bin Salman...
Habari!
Kampuni kubwa ya teknolojia ya Kichina Huawei (Huawei Technologies Co., Ltd.) imezindua mradi wa ufugaji wa nguruwe kupitia teknolojia ya Akili Bandia (Artificial Intelligence) Jumatatu...
Afisa wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani anayeshughulikia mambo ya Afrika Robert Godec amesema, Marekani itawaonesha watu wa Afrika kuwa, tofauti na mtindo wa maendeleo ya uchumi unaohimizwa na...
Shehena ya kwanza ya msaada wa Taiwan kwa India kusaidia nchi hiyo kukabilina na wimbi la maambukizi ya virusi vya corona imeondoka leo kwenda mjini New Delhi ikiwa na mashine 150 za kupumua na...
Hasira zaenea baada ya polisi Marekani kumuua mwanamichezo wa Afrika Kusini.
Kifo cha mchezaji wa mpira wa rugby wa Afrika Kusini, Lindani Myeni akiwa mikononi mwa polisi huko Honolulu, Marekani...
WHO yaidhinisha chanjo ya Moderna kwa matumizi ya dharura
Shirika la Afya Ulimwenguni, WHO, limeidhinisha kwa matumizi ya dharura chanjo dhidi ya COVID-19 ya Moderna. Chanjo hiyo ya mRNA ya...
Wabunge Nchini humo wamepiga kura kufuta nyongeza ya miaka miwili madarakani kwa Rais Mohamed Abdullahi Mohamed iliyoidhinishwa mwezi uliopita baada ya jambo hilo kuibua mvutano mkubwa.
Mgogoro...
Kubadilika kikamilifu misimamo ya Saudia kuhusiana na Iran; sababu zake na jinsi kulivyopokelewa.
Mohammad bin Salman, mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, amebadilisha kikamilifu na waziwazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.