International Forum

News and Stories from rest of the World
At least two firefighters said injured in fire at chemical plant near Qom, south of Tehran A massive blaze hit an industrial complex near Iran's holy city of Qom, south of Tehran, the country's...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
The Seychelles, which has fully vaccinated over 60% of its population against Covid-19, is bringing back restrictions amid a rise in cases. The archipelago of nearly 100,000 people recorded close...
2 Reactions
7 Replies
809 Views
Shirika la hisani la 'Save the Children’ limesema zaidi ya watoto 5000 watenganishwa na wazazi wao kutokana na mapigano yanayoendeleo jimboni Tigray. Shirika limeeleza watoto hao wako katika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiongozi mkubwa wa Kiislamu mashariki mwa DRC ameuawa kwa kupigwa risasi wakati akisali kwenye msikiti mkuu mjini Beni. Mtu mwenye silaha alimfyatulia risasi Sheikh Ali Amini wakati wa suala ya...
4 Reactions
52 Replies
5K Views
Mzee Joe Ligon alikamatwa mwaka 1953 na kufungwa kifungo cha maisha bila uwezekano wa kupata msamaha. Bwana Joe alikamatwa huko Pennsylvania kwa kukosa la mauaji ambalo mwenzake alifanya mauaji...
5 Reactions
22 Replies
4K Views
Mwanamke mmoja nchini Mali amejifungua watoto tisa katika hali ambayo sio ya kawaida. Halima Cisse, 25, alijifungua watoto wa kike watano na wavulana wanne katika hospitali ya Morocco siku ya...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Supastaa wa zamani wa Inter Milan na Chelsea, Samuel Eto'o amewatolea uvivu maprofesa nchini Ufaransa kufuatia matamshi yao yasiyofaa juu ya Afrika kipindi hiki ambacho ulimwengu unatafuta...
14 Reactions
132 Replies
15K Views
Facebook imeamua kutofungulia akaunti ya aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump baada ya kufungiwa kwa kudaiwa kuchochea vurugu katika Jengo la Bunge la Marekani Januari 6 mwaka huu. Uamuzi huo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Canada imeidhinisha matumizi cha Chanjo ya Pfizer katika kupambana na Virusi vya Corona kwa Watoto wenye umri kati ya miaka 12 na 15. Inakuwa Nchi ya kwanza kutoa idhini kwa walio na umri huo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump ameanzisha tovuti yake ya mawasiliano kwa lengo la kuchapisha taarifa “moja kwa moja kutoka mezani kwake.” Trump, ambaye alifungiwa katika mitandao ya...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Hebu tujikumbushe kidogo historia Shujaa wetu wa ukombozi wa Bara hili la Afrika ndiye aliyefungwa miaka mingi jela kuliko mwafrika mwingine yeyote kwa sababu za kisiasa Mnamo mwaka 1964...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Shirika la Afya (WHO) limesema takriban nusu ya maambukizi ya Virusi vya Corona yaliyorekodiwa duniani wiki iliyopita ni kutokea Nchini India WHO imesema India imerekodi 46% ya maambukizi...
1 Reactions
0 Replies
717 Views
Waziri wa afya wa Venezuela Carlos Alvarado amesema nchi yake itaanza majaribio ya hatua za mwisho ya mojawapo ya chanjo za corona zilizotengenezwa na mshirika wake Cuba na ambayo imeonesha...
6 Reactions
28 Replies
3K Views
Mabibi na mabwana kutokea Afrika Kusini, kuna habari za meli kuwasili huko ikiwa na mzigo wa hatari na wa kutosha kutokea India...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Takwimu rasmi kuhusu uhalifu unaotokana na siasa nchini Ujerumani zinaonesha kuwa ghasia na uhalifu wa kibaguzi vimeongezeka nchini humu. Waziri wa Mambo ya ndani wa Ujerumani. Horst Seehofer leo...
1 Reactions
0 Replies
950 Views
Familia ya kifalme ya Zulu nchini Afrika Kusini imemteua mke wa tatu wa Mfalme Goodwill Zwelithini kushikilia nafasi yake hadi pale mfalme mpya atakapotawazwa. Malkia Mantfombi MaDlamini Zulu...
3 Reactions
39 Replies
5K Views
Ukilinganisha na mataifa ya Magharibi, China na Ulaya ambazo zinapigana vikumbo kwenye bara hili? Kuna mwenye ufahamu atudadavulie wanajukwaa. N'yadikwa
2 Reactions
58 Replies
9K Views
Wanamgambo wanaosadikika wa kundi la Jihad wamevamia kijiji mashariki mwa Burkinafaso na kuua wanakijiji wanaokadiriwa 30. ‘Kundi kubwa la watu wenye silaha lilivamia kijiji cha Kodyel jimbo la...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Mwaka huu Chama cha Kikomunisti cha China, CPC, kinatimiza miaka 100 tangu kuanzishwa. Mtaalamu wa masuala ya China ambaye pia ni Mhadhiri wa Siasa ya Jamii. katika Chuo Kikuu cha Kenyatta...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Hospitali zinaendelea kuomba misaada ya dharura ya Oxygen huku Mamlaka za Mji Mkuu wa Delhi zikitoa rai kwa Jeshi kuwasaidia kukabiliana na mlipuko. Taifa hilo lina maambukizi zaidi ya Milioni 20...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom