Yaani mpaka wanafika kukubali lazima wamepigwa balaa
=====
Cases of coronavirus have now been confirmed within the secretive North Korea
Authorities told citizens in public lectures that cases...
JERUSALEM, Israel – An Israeli coronavirus drug that claims to have a 100% success rate among severely ill patients is being tested in the United States for the first time.
The trial comes after...
Mstahiki meya wa mji wa Moscow ametoa tahadhari ya kulemewa kama hali haitabadilika ndani ya wiki mbili zijazo.
======
There were 4,785 cases over past 24 hours, bringing the total number to...
Malkia Elizabeth II anatarajiwa kuadhimisha kumbukizi la kuzaliwa Aprili 21, ambapo atakuwa anatimiza miaka 94, mwaka huu hatofanya sherehe ya kumbukizi la kuzaliwa kwake kama ilivyozelewa
Malkia...
In Chad, 44 suspected members of the jihadi group Boko Haram have been found dead following a recent arrest. Coroners have said they suspect the prisoners ingested a substance to cause heart and...
Dr Tedros alianza kuonekana kwenye televisheni duniani akitoa maelezo mbalimbali kuhusiana na ugonjwa wa COVID-19.
Pia aliweza kuonekana akijibu masuali mbalimbali ya waandishi wa habari juu ya...
Munster ni mji ulioko Magharibi mwa Ujerumani, ni mji unaofahamika kwa kubeba majengo ya kihistoria una idadi kubwa ya baiskeli ambayo ni mara mbili zaidi ya ile ya wakazi
Kutokana na wingi wa...
Kwanza Ikumbukwe USA inaundwa na Nchi zaidi ya 50
Naam
USA inalipa dhambi za kuonea Nchi mbalimbali ambozo zipo kwenye hatua ya kuendelea
Ameionea Cuba kwa miaka mingi anawanyanyasa.
Venezuela...
Msikiti wa Al-Aqsa wa Jerusalem utafungwa kwa waumini wa dini ya kiisalmu katika mwezi mzima wa Ramadhani kwa sababu ya janga la coronavirus, viongozi wa Kiislamu walisema jambo hili siku ya...
Viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani kutoka nchi 5 za Afrika wamemuandikia barua Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika wa sasa ambaye ni Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, wakiutaka Umoja huo...
Katika hili isiyokuwa ya kawaida, Bwana Bill Gates a.k.a Mfalme wa vaccines, ameshambuliwa huko Belgium alipokuwa anaingia kwenye jumba la mkutano, mahali ambapo alipaswa kukutana na community...
Habari njema kutoka Italia zinaarifu kuwa nchi hiyo kwa mara ya kwanza imerekodi idadi kubwa ya watu waliopona virusi vya corona katika kipindi cha masaa ishirini na nne.
Kulingana na mkuu wa...
The Nigerian president’s chief of staff, Abba Kyari, died on Friday after contracting the new coronavirus, two presidency spokesmen said on Twitter.
Kyari, who was in his 70s and had underlying...
Usingizi umenipaa kwa taarifa hii, nimeandika nimefuta, nikaandika tena nikafuta binafsi maneno yameniishia. Kilichobakia kwetu ni sala na maombi tu kwa Mungu aliye hai
Baada ya Marekani kuwa na Mashaka na china juu ya takwimu alizotoa na kusema atafanya uchunguzi mwenyewe ili kuthibitisha hiyo idadi, china imetoa ripoti mpya inayoonesha vifo 1,290 na kujitetea...
December mwaka Jana 2019 ulilipuka ugonjwa wa Corona jijini Wuhan nchini China. Hapo hapo Wuhan ikawa Locked. Taharuki ikaanza duniani kote. Idadi ya wanaokufa ikaanza kutolewa ikiongozwa na...
Wadukuzi wa mtandaoni huwa wanatuma barua pepe milioni 18 kila siku zenye ujumbe wa uongo kuhusu ugonjwa wa Covid-19, kwa mujibu wa Google.
Mataalamu wa teknolojia anasema mlipuko wa ugonjwa huo...
Kichwa cha habari kinajieleza, kwa hapa kwetu mpaka sasa sijamsikia Kabudi akiongea lolote juu ya kadhia hii as if jambo hili halina athari yeyote ya ndani ya nchi kwa mahusiano ya nje.
Japo...
Korea Kusini imefunga shule zote sababu ya corona ila imeamua kutumia njia mbadala itakayohakikisha wanafunzi wote wanaendelea na masomo wakiwa nyumbani.
Wizara ya elimu ya korea kusini imeamua...
WASHINGTON, April 15, 2020— The World Bank approved today $7 million in immediate funding to support Malawi’s response to the global COVID-19 (coronavirus) pandemic under a new Malawi COVID-19...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.