Shirika la Afya Duniani linasema kilele cha hali ngumu zaidi kuhusiana na Ugonjwa wa Covid-19, bado hatujakifikia; na hivyo kuyataka mataifa kuwa makini katika kuondosha lockdowns.
Watesi wa Kim wamejibiwa na South Korea (sio North Korea) kuwa komredi Kim Jong-Un sio mgonjwa kama walivyozusha na kuanza kufurahika.
Uzushi huo ulianzishwa na vyombo vya habari vya CNN na Daily...
Katika juhudi za kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 Rwanda imezindua mashine ya kwanza iliyotengenezwa nchini ambayo inawasaidia wagonjwa kupumua maarufu kama ventilator.
Ni mashine...
Rais Donald Trump ametangaza kusaini amri ya kusimamisha kwa muda shughuli zote za uhamiaji nchini Marekani ili kukabiliana na mlipuko wa Virusi vya Corona na vilevile kulinda ajira za Wamarekani...
Hii ni baada ya unyanyasaji wa watu weusi unaoendelea huko China. Hivyo serikali hii imeamua kuwakamata wachina wote waliopo nchini humo. Na wamedai ni mpaka RAIA wa Guinea watakaporudi salama...
Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametangaza mpango wa uokozi wa dola bilioni 26 kuupiga jeki uchumi na kusaidia jamii masikini zilizoathirika na janga la virusi vya corona.
Akilihutubia...
Papa Francis leo ameutolea mwito Umoja wa Ulaya kubaki na mshikamano katika kukabiliana na athari za janga la virusi vya Corona. Kiongozi huyo wa kanisa Katoliki duniani ametowa mwito huo siku...
Huwa nashangaa sana mtu akibisha kwamba watu hawauzwi au wanaosafirishwa kufanya kazi hawaendi kuteswa na kunyanyaswa mkabala na kunyang'anywa passport Uarabuni.
Hii hapa ni mojawapo ya nchi...
The Israeli NGO Shurat HaDin plans to file a class action lawsuit against China in the coming days over its alleged negligence in treating and containing the coronavirus, N12 reported on Sunday...
His administration reportedly funded the lab in 2015.
For once a reporter asked a pertinent question at a White House daily virus briefing. On Friday one reporter asked President Trump if he...
The COVID-19 pandemic will likely kill at least 300,000 Africans and risks pushing 29 million into extreme poverty, the U.N. Economic Commission for Africa (UNECA) said on Friday, calling for a...
Hali bado Ni mbaya Tarafa ya Uvira, huko Congo baada ya miili kutapakaa mitaani.Maji ya mafuriko kuanza kupungua miili zaidi ya 30 imeopolewa, wakiwemo watoto wachanga.
Wakazi wa Tarafa Uvira...
Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo ameondosha marufuku ya watu kutoka nje ama 'lockdown' katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo ambayo yalikuwa yamefungwa ili kudhibiti kusambaa kwa virusi vya corona...
Mlinzi wa Rais wa Sierra Leone Julius Maada Bio ameambukizwa virusi vya corona.
Rais wa nchi hiyo alitangaza siku ya Jumatatu usiku kuwa ana afya njema ingawa mfanya kazi wake ana maambukizi...
Dear Fellow South African,
Many countries around the world have imposed coronavirus lockdowns with a view to saving the lives of their citizens. We have done the same in our country, but our...
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amefikia makubaliano ya kihistoria ya kuunda serikali ya pamoja ya dharura na hasimu wake mkuu Benny Gantz, hatua inayomaliza mkwamo mbaya kabisa wa...
Uingereza inaanza majaribio ya kutumia damu ya waliopona virusi vya corona kuwatibu wagonjwa walio na maambukizi hayo ambao wapo hospitali.
Taasisi ya damu na upandikizaji ya Uingereza inawataka...
Waandamanaji nchini Marekani wameingia mitaani katika majimbo kadhaa wakishinikiza magavana kufungua uchumi wa majimbo yao kwa kuondosha amri ya kutokutoka nje ama 'lockdown'.
Marufuku hiyo ya...
Rais Joko Widodo amesema utamaduni wa kusafiri nje ya miji mwisho wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan umepigwa marufuku ili kudhibiti maambukizi ya COVID19
Wataalamu wa Afya nchini humo wameonya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.