Hapo Jana raisi wa wa Brazili bwana Jair Bolsonaro aliungana na waandamaji takiribani Mia sita walioandamana Hadi makao makuu ya jeshi kupinga zuio la kutoka nje kwenye baadhi miji Kama...
Maandiko yanasema, hakuna lililo jipya chini ya jua. Nimegundua moja ya jambo linalofanya tushindwe kung'amua, kuyaelewa na hatimaye kuyapatia ufumbuzi matatizo yetu mengi ni kuwa tunadhani...
Imetimia miaka 40 leo (18.04.2020) tangu bendera ya Uingereza iliposhushwa nchini Zimbabwe, na ya taifa jipya huru ikapandishwa kuashiria uhuru wa nchi hiyo, miongoni mwa chache zilizokuwa...
On the 18th of April, Saturday evening, A lot happened on twitter between Chinese and south Africans after a screenshot emerged of a secret social media group of racist Chinese People. A...
World Health Organization (WHO)
✔ @WHO
Preliminary investigations conducted by the Chinese authorities have found no clear evidence of human-to-human...
Hata obama huyuhuyu ambae kaanza kusingizia uongo kwamba trump anatembelea trend ya uchumi aliouacha ni muongo sana, kiukweli obama alisema "haiwezekani" uchumi wa marekani kurudi upya uwe imara...
Video: Chadian Fighter Jet Mistakenly Fires Missile While On The Ground Killing 5
In a bizarre and tragic accident, a Chadian Air Force Su-25 parked at the Adji Kossei airbase fired a missile...
Jumanne ya wiki hii (April 14) ilikuwa ni siku ya majonzi zaidi nchini Marekani baada ya Corona kuua watu 6185 ndani ya masaa 24 huko Marekani.
Jamani tuchukue hatua za kujikinga na gonjwa hili...
Shirika la UNHCR ambalo linashughulika na wakimbizi limesema kutokana na janga la COVID19, Wanawake na Wasichana wapo katika hatari kubwa ya kunyanyaswa kijinsia
UNHCR imesema kufuatia nchi...
Ni Ukweli usiopingika kuwa Ethiopia chini ya uongozi wa Waziri mkuu abiy Ahmed Ali imekuwa ikifanya juhudi za dhati na za hali ya juu katika kupambana na Virusi vya corona
Juhudi hizi zinaonekana...
Rais wa Marekani Donald Trump amesitisha mchango wa kifedha ambao Marekani imekuwa ikiutoa kwa Shirika la Afya Duniani WHO kufuatia namna walivyolichukulia suala la COVID-19.
Pia WHO...
Huko Saudia polisi imewakamata jumla ya watu 34 waliovunja sheria ya kutozagaa nje ili kuepusha maambukizi ya corona. Miongoni mwa watu hao wapo walioamua kuendesha magari ktk viunga vya mji huku...
Mambo yamebadilika kwa Kapteni Brett Crozier aliyetumbuliwa baada ya kuomba msaada wa kupambana na corona aliyohisi inawashambulia timu yake kwenye meli ya USS Theodore Roosvelt (CVN 71).
Sasa...
Juzi kati Trump alipokuwa akihutubia kuhusu mwenendo wa Corona nchini Marekani, alisema kuwa amepokea hivi karibuni barua nzuuuri toka kwa Kim Jong-Un, na kwamba tunaendelea vizuri ktk mahusiano...
Afrika yetu hii japo tunaomba sana lakini mengine yakujitakia tu, inafahamika kirusi cha Ebola kinavyoambukiza, ile tu kumkaribia muathirika hapo unacho, na chenyewe kinaua kwa masaa, sasa huyu...
Kumamoto has had: (M1.5 or greater)
7 earthquakes today
22 earthquakes in the past 7 days
22 earthquakes in the past month
40 earthquakes in the past year
The largest earthquake in Kumamoto...
Watu 16 wameuawa kwa shambulio la risasi lilifanyika mjini Nova Scotia nchini Canada. Mmoja kati ya watu walioawa ni konstebo mstaafu Heidi Stevenson
Gabriel Wortman(51) amedaiwa kuwa ndiye...
Katika hali isiyo ya kawaida,
Majanga yameendelea kulivamia taifa la Uchina. Katika hali ya kawaida kule Uchina sasa hivi ni kipindi cha Spring ni muda ambao kikawaida kunakuwa na hali nzuri...
Afrika huenda ikawa kitovu kipya cha mlipuko wa virusi vya corona, Shirika la Afya duniani WHO limeonya.
Kumekuwa na ongezeko kubwa la visa vya ugonjwa huo wiki iliopita.
Kumekuwa na zaidi ya...
“Niliwaambia China wanapika takwimu sasa kiko wapi!?, tumetangaza kuanza uchunguzi tu na wao wameongeza idadi ya zaidi ya vifo 1000 vya corona, na nawaambia idadi ni kubwa zaidi ya waliyoongeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.