Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Mimi ni kijana wa kiume nina girlfriend ambaye tunatarajia kuishi pamoja Mungu akipenda,,Huwa tunakawaida ya kufanya mapenzi mara moja kwa mwezi,mwezi huu tumekutana lakini maajabu jogoo wangu...
0 Reactions
52 Replies
9K Views
Juzi lafiki yangu alitumia tiba mbadala ili kutibu matatizo ya tumbo, baadaye kilichompata ilibidi tumkimbizie hospitalini. Rafiki yangu huyo alitumia juice ya ukwaju ambapo alichanganya kiasi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Heshma wakuu Naombeni kuuliza katika pitapita yangu nmekutana na hii kwamba mkojo unatibu vidonda vya tumbo na kwamba mtu anywe asubuhi baada ya kuamka na baada ya siku 10 anapona kabisa je ni kweli?
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Hii ni aina ya saratani inayokumba tezi ya thyroid. Ikumbukwe kuwa tezi ya thyroid ipo sehemu ya mbele ya shingo ya mwanadamu ikiwa na sehemu mbili (lobes) moja kila upande wa shingo. Visababishi...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Tatizo hili la kujikojolea bila sababu yoyote ya msingi ni tatizo linaloathiri watu wengi sana na ambalo huleta usumbufu na aibu kubwa kama litampata mtu. Tatizo hili huwakumba sana wanawake...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kemikali za sumu zilizoko katika tumbaku ya sigara huharibu DNA za mwili wa binadamu dakika chache tu baada ya mtu kuanza kuvuta sigara. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi karibuni, kemikali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naombeni msaada wa haraka, chakula nakula kama kawaida ila choo sipati, nikipata nikidogo sana halafu kinatoa harufu na upatikanaji wenyewe ni washida tena baada ya siku mbili. Nilikwenda...
0 Reactions
15 Replies
10K Views
Mi ni kijana wa miaka 22,lakini nasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume kwa muda mrefu sasa(kama miaka 4).Uume wangu hausimami ukakaza maana misuli yake imelegea,nakomea bao moja tu tena nawahi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leukemia ni saratani inayoshambulia tishu za mwili zinazohusika na utengenezaji wa damu zikiwemo supu ya mifupa (bone marrow) na mfumo wa lymph (lyphatic system). Kwa maneno rahisi, leukemia...
0 Reactions
0 Replies
9K Views
Leukaemia Treatment 'Cures' Man of HIV A bone marrow transplant has successfully treated both fatal diseases An HIV positive man who received a bone marrow transplant after developing leukaemia...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
JF Doctor niliumia nikata kovu ambalo limetengeneza nyama iliyovimba kwenye ngozi, nina mpango wa kwenda kufanyiwa oparesheni ili ile nyama iliyovimba juu ngozi ikwanguliwe. Je, ile nyama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hello JF doctors, This is just to let you know that ''We shall never surrender till the END''.
0 Reactions
0 Replies
690 Views
habari jf doctor...nilianza kubleed tarehe 24/11/2012 na nikamaliza tarehe 28/11/2012...je ni siku gani ambayo ningeweza kupata mimba..msaada
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Revivo is the leading Natural ImmuneSupplement and is helping people just like yourself live a more rewarding life Revivo customers get so much relief and benefit from using itthat we receive...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Human Papilloma Virus (HPV) ni maambukizo yanayotokea sana wanawake na huambukizwa kwa kufanya ngono, unapata maambukizo haya hata ukitumia kinga (Condom). Baadhi ya maambukizo haya huweza...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mtoto aliyeambukizwa VVU mara nyingi huugua mara kwa mara ikilinganishwa na wengine. Hii huambatana na mtoto kutoongezeka uzito. Inashauriwa zaidi mama kwenda katika kituo chochote cha afya...
1 Reactions
0 Replies
18K Views
Global report: Obesity bigger health crisis than hunger By Danielle Dellorto, CNN updated 7:49 PM EST, Thu December 13, 2012 Nearly 500 researchers from 50 countries looked at 20 years of...
2 Reactions
0 Replies
917 Views
I have started wondering whether i have a problem. I sweat alot at night even when it is cold. I have consulted the doctors and they have not been able to find the problem. People any idea of what...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Hello JF members! Today I have decided to post the thread on dead bodies as a useful resources in medical field. A dead human body is a valuable resource.Many...
0 Reactions
3 Replies
828 Views
Heshima mbele wakuu. Nina rafiki yangu (ke) kila akila asali tumbo anadai linakwangua au linamuuma. Hii mambo inasababishwa na nini? Ushauri wa kitaalamu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…