Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

doctors napenda kuelimishwa, inakuwaje mama anayenyonyesha haingii kwenye siku zake(bleed) lakini akifanya mapenzi anapata ujauzito? sayansi ya ujauzito inasemaje doctors?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa miaka 23 nimevutiwa na kufanya mazoezi ya viungo almaarufu KUPIGA CHUMA na sana sana nimejikita katika kutanua kifua(chest exercises), na arm exercises kutengeneza bisect na...
0 Reactions
6 Replies
11K Views
ALUMINIUM SALTS Ni madini yanayoongezwa katika deodorant za kawaida 95%. Check on yours on ingredients on your deodorant. Kazi yake ni kuziba matundu ya jasho hivyo husababisha jasho na sumu...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wanajamvi. Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa mlaji mzuri wa mayai mabichi kiasi kwamba ninakula mayai si chini ya manne [4] kwa siku. Naomba kufahamishwa iwapo kuna madhara yoyote.
0 Reactions
5 Replies
44K Views
Kuna tabia imezuka sehemu mbalimbali hasa uswahilini .......watu,wananchi wenye kipato kidogo, hasa wale wanaoshindwa kununua mafuta ya taa kwa matumizi ya kawaida, wameamua kuchoma mifuko ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tafadhari wana jf na Doctors naombeni msaada wenu..nina shida tumboni mwangu nahic chakula kutosagwa ipasavyo kwa sbb mara zote nikila tumbo hubaki hivyo hivyo kwa muda mrefu sana..na mara nying...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Recently i was diagnosed with prostate infection, and i went into eight weeks treatment with cyprox, its ten weeks now i still feel some of the symptoms, like lack of sex drive, prolonged...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau. Nimeshangazwa sana hi hatua ya TFDA kutoza gharama katika kuhakiki dawa. Nimekuwa nikitafuta vidonge nilivyoandikiwa na vinavyonisaidia bila kufanikiwa. Nikapata mwana JF 1 akanitumia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je kuna madhara yoyote yanayoweza kunipata?
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Jee kuna madhara gani juu ya kutumia maji ya machupa? Yaani KILIMANJAR NK!!!
0 Reactions
0 Replies
915 Views
March 16, 2003 The Weaker Sex By MAGGIE JONES New York Times Men start out ahead: 115 males are conceived for every 100 females. But it's downhill from there. • The male fetus is at...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani nafahamu kwamba kongosho ni organ mahsusi katika kutengeneza 'insulin' ambayo hutumika ku'regulate sukari mwilini.Je mambo yepi hufanya hiki kiungo muhimu kuishi muda mrefu huku kikifanya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
jamani naomba msaada napoteza hela ndani tena hata nikifunga mlango ndani sizikuti nisaidieni jaman
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baadhi ya dawa za kukabiliana na makali ya Ukimwi Huenda wagonjwa wa Ukimwi wakanufaika na dawa mpya ambayo itawawezesha kutumia tembe moja kwa siku. Hii ni kwa mujibu wa utafiti mpya nchini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Forever Argi Plus Forever ARGI Plus ™ (Item# 320) includes L-Arginine, an amazing amino acid that is known for supporting many vital functions in our body: blood pressure, cardiovascular, immune...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
KISUKARI NI NINI Kisukari ni ugonjwa utokanao na ongezeko la chembechembe za sukari (glucose) katika damu. Ongezeko hili husababishwa na; - Mwili kushindwa kutengeneza homoni ya insulin -...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapi ntapata hii dawa kwa hapa dar..na gharama yake inaweza kua sh ngapi?nimeona niulize kuliko kupalamia hawa waganga wa jadi ambao wamejaa kila kona ya dar,na cdhani kama ni wa kweli.
0 Reactions
19 Replies
22K Views
msaada wakuu mwenye dawa au anaefaham ambapo dawa inauzwa ya kufanya miguu iwe ya bia kwani nashindwa kuvaa kimini cha msingi isiwe na madhara kwa badae
0 Reactions
38 Replies
35K Views
habari zenu wana jf,naomba mnisaidie haya mambo 1.ni zipi faida na hasara za kufanya mapenzi na mwanamke aliye na ujauzito.? 2.ni matatizo gani waweza pata ukifanya mapenzi na mwanamke aliye...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
...Kuna ndugu yangu anaumwa, ugonjwa wenyewe ndo umenifanya niombe msaada huku, kila akifanya mapenzi na mumewe anapata maumivu makali sana mpaka anashindwa na tumbo linavimba mpaka baada ya muda...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom