Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI duniani kila Mwaka huikumbusha Jamii juu ya mapambano ya kumaliza unyanyapaa kwa Waathirika, mi fursa ya kuwaheshimu wale tuliowapoteza, na wito wa kujitolea kufanya...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye...
9 Reactions
83 Replies
4K Views
Habari JF, Mwezi huu nmekutana na changamoto kuhusu mke wangu maana mpaka sasa sijajua ana shida gani
2 Reactions
14 Replies
624 Views
Habari wakuu, Tupo tunalea mimba ina week 8 now, but tangu week ya 4 mwenza amekuwa akipata shida ya kutokwa vitone vya damu ukeni. Inaweza chukua siku mbili isitoke lakini siku ya 3 ikatoka...
0 Reactions
3 Replies
746 Views
Wakuu nawasalimu Kwa jina la Jamuhuri. Nini kinasababisha kuwa na wasiwasi ya kupita kiasi na je huu ni ugonjwa gani na tiba yake ikoje? Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
3 Reactions
37 Replies
4K Views
Kwa kipindi sasa jambo hili la utoaji mimba kiholela limeshamiri na limeanza kuzoeleka na kuonekana la kawaida kabisa mtaani. Utaskia tu mtaani wakiongea, aah pisi fulani kafinya bana, si unaona...
1 Reactions
3 Replies
563 Views
Habari za mda huu wakuu,naomba kuuliza kama mwanaume anaweza kupata PID,na kama ndyo,inakuwa katika mfumo upi,na namna gani,maana wanawake wanapata PID kupitia njia ya tendo la ndoa!
1 Reactions
8 Replies
2K Views
CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES Maelezo ya picha, Maharage huwa na rangi na aina mbali mbali Binadamu wanakabiliwa na vitisho vingi, kuanzia mabadiliko ya hali ya hewa, utapiamlo hadi kupanda kwa...
1 Reactions
5 Replies
798 Views
CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES Miili yetu ina matrilioni ya bakteria ambayo hatuwezi kuishi bila kuwa nayo idadi kubwa ya bakteria hao wakiishi zaidi katika matumbo yetu. Lakini je, tunaharibu...
0 Reactions
0 Replies
708 Views
CHANZO CHA PICHA,NATASHA KERR Maelezo ya picha, NATASHA KERR Serikali ya Uingereza imesema itakutana na maafisa nchini Uturuki kujadili kanuni kuhusu utalii wa kimatibabu na urembo, kufuatia vifo...
1 Reactions
0 Replies
510 Views
Kwa muda wa miezi 3 sasa, jicho langu la upande wa kushoto limepoteza uwezo wake wa kuona kwa 50%. Lilianza kama ukungu, kila nilipofikicha niliendelea kuona kama kuna ukungu. Baada ya kama wiki...
2 Reactions
13 Replies
790 Views
Wakuu Naomba kuuliza dawa za mzizi mkavu zile za kumrefusha bwana mkubwa zinafanya kazi kweli au ndo wajanja wa town. kuna yeyote aliwahi kutumia akapata matokeo chanya? Kama kweli zinatibu...
5 Reactions
66 Replies
30K Views
Nawasalimu wana JF wote, Nielekee moja kwa moja kwenye mada mimi nimekuwa nikisumbuliwa kwa muda mrefu na, "social anxiety disorder" na " loss of appetite" niwaombe msaada wenu Kwa hilo...
1 Reactions
45 Replies
6K Views
Pengine mada ilishawahi kujadiliwa siku zilizopita ila naomba Docs. mnifahamishe in simple language madhara ya kitabibu/kiafya ya kula na kuliwa Tigo. Napoangalia 'X' naona kama wanafaidi sana...
0 Reactions
50 Replies
76K Views
Wakuu habari, Nilipata ushauri kufanya hiko kipimo(EEG TEST) kulingana na kadhia ya mwanangu, naomba kupatiwa jina la hospitali nitakayompeleka kwaajili ya hiko kipimo maana Anayo bima ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni mfanyakazi mwenzangu imemtokea,ni rijali wa uhakika ila baada ya kukutana na msichana uume umeshindwa kusimama. Ni mara ya kwanza kumtokea hali hiyo,ushauri wenu ni muhimu.
1 Reactions
40 Replies
9K Views
Swali: Kwa Daktari, eti mkopo wa HESLB unaweza kukuzuia kusomq specialization nje ya nchi?
0 Reactions
0 Replies
263 Views
Habari zenu wana JF, Mimi ninasumbuliwa na maumivu ya jino kwa muda mrefu sasa,nimevulia kwa muda mrefu tatizo hili japo wengi wananishauri niende kwa doctor nikang'oe jino! Je, kuna...
1 Reactions
144 Replies
156K Views
Wanajf; naomba mnisaidie kwa wale wanaofahamu nini madhara ya kula/kutumia sana karanga na korosho? Kwani nimekuwa natumia karanga au korosho zilizokaangwa kila siku. Sasa naomba kwa wale wenye...
0 Reactions
22 Replies
42K Views
Wana JF. Kuna rafiki yangu ana mtoto mchanga, amekuja nimpatie ushauri na maelezo juu ya swala zima la kubemenda (Sina hakika kama ni neno rasmi). Hasa ningependa kujua 'mechanism' na njia...
0 Reactions
10 Replies
17K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…