Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Ndugu wanajamii humu ni wiki moja imepita nimeshuhudia mtoto akitapika damu kwa wingi hadi niliogopa kwani sija wahi kuona tatizo kama hilo. Hivi tatizo hili linatokana na nini? Na matibabu yake...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Heshima kwenu waungwana. Naomba kujuzwa hospitali inayotoa huduma bora zaidi kwa kinamama wakati wa ujauzito na kujifungua. Zilizo mkoa wa Dar es Salaam - Tanzania.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
rafik yangu kanitumia email hii,nikaona sio vibaya nikaiweka jamvin; If I take a trip down memory lane, just a few years ago, the Aga Khan Hospital-Dsm (AKH) was one of, if not the best...
0 Reactions
20 Replies
15K Views
Mwanamke akitaka kupata mototo baada ya kuacha kutumia dawa za uzazi wa mpango, anatakiwa akae muda gani ndipo apate mimba? na wakati huo wa kusubiri afanye nini? nauliza hivyo kwavile nimesikia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1 FAIDA YA MATUMIZI YA TENDE KATIKA KUONGEZA KINGA YA MWILI NA TENDE ni chakula chenye hali ya juu ya sukari na huliwa zikiwa mbichi au mbivu. Katika kila gramu 100 (100gm) ndani yake mna lishe...
1 Reactions
6 Replies
12K Views
Utafiti uliofanywa nchini Marekani hivi karibuni umetoa matokeo ya kushangaza kwa kusema ya kwamba matumizi ya dawa za usingizi huongeza hatari ya kupata saratani pamoja na mtu kufa mapema...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
We have all heard of the BP oil spill, and know that this crude oil is very harmful. But do we really know the harms? Crude oil is filled with toxic properties, and when these toxins become...
0 Reactions
0 Replies
979 Views
Sampuli ya damu ya binadamu smear: a- chembe chembe nyekundu za damu; b - nutrofili; c - ozinofili; d - limfosaiti. Picha ya darubini ya elektroni ya ukaguzi (SEM) ya seli nyekundu ya kawaida...
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Nilijifungua mwezi wa kumi na mbili na nilipata period mwezi wa kwanza normally! Ingawa nasikia unatakiwa ukae for sometime up to six months bila kuona! Nanyonyesha vizuri na mtoto anaongezeka...
0 Reactions
18 Replies
32K Views
JF Doctor,inapofika kipindi cha kuingi katika kipindi cha hedhi huninyima raha kabisa kwani hupatwa na maumivu ktk sehemu ya haja Kubwa(Anus)na pia vivimbe,maumivu makali,misuli kuvuta sehemu za...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
nimechunguza kwangu na mwanangu wa mdogo miaka mi 4 nikaona korodani(vile vigoroli cha kushoto na kulia naona vinatofautiana size) hii ni kwa sababu gani??
0 Reactions
24 Replies
16K Views
Muhimbili yapunguza gharama za vipimo Tuesday, May 17, 2011, 8:50 Habari, Mtanzania Na Otilia Paulinus HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH), imepunguza gharama za vipimo vya matibabu kwa...
4 Reactions
37 Replies
16K Views
naombeni msaada mwili wangu unaniwasha sana pale ninapopita kwenye jua kali na nikipata joto na pia wakati na fanya mazoezi mwili unakua unaniwasha.Nikiazwa kuwashwa nakua najisikiakama vitu vina...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The second annual Google Science Fair, a science talent competition for kids ages 13 to 18, was held this month in Palo Alto, California. This year’s winner, 17-year-old Brittany Wenger, wrote...
0 Reactions
1 Replies
920 Views
Wataalam na wenye uzoefu wa malezi ya watoto wadogo kuanzia siku sifuri na kuendelea. Mwanangu wa kwanza ana siku nne kwa sasa, Imenilazimu kutumia lactogen (1) ili kuongeza kiwango cha maziwa...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Jamani bila shaka mmeamka salama,na wale ambao wameamka wanasumbuliwa na magonjwa mbali mbali nawaombea kwa mungu awaponye haraka.ndugu zangu naombeni msaada wa dawa ya kuacha pombe maana nahis...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi: Mimi nimekuwa muathirika mara mbili. Hii hapa stori yangu: Niliugua ugonjwa wa madonda ya tumbo tokea mwaka 1999 - 2007. Wakati ule...
0 Reactions
0 Replies
17K Views
naomba mnisaidie,hivi mwanamke kuwa na maji kwenye milija ya uzazi inasababishwa na nini?doctors wamemuambia mke wangu kuwa mirija ya uzazi imejaa maji na tatizo hili lina mazara gani?je...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sarah Boseley, Health Editor guardian.co.uk, Thursday 26 July 2012 21.23 BS...
1 Reactions
0 Replies
965 Views
Nachukua muda mrefu sana kukojoa tatizo nn mnapotumia mpira. Tatizo linaweza kuwa nn? Tiba? Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
0 Reactions
2 Replies
973 Views
Back
Top Bottom