Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

wana jf naomba mnijuze sabab zinazopelekea msongo wa mawazo! na tiba yake ili kuondokana na hilo tatizo!
0 Reactions
0 Replies
3K Views
wana jf naomba msaada juu ya hili ivi nguvu za kiume zinaweza kuzidi? au huwa hazizidi,kama zikidi nin mazara yake?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina mwezi wa pili sasa unaenda, kila nikienda haja ndogo mkojo unatoka wa njano, nikisema ninywe maji mengi, mkojo unatoka mweupe kama kawaida, siku nisipokunywa maji au nikinywa maji kidogo...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu wanaJF. Jamani naombeni msaada, kwa hapo Dar es salaam, ni sehemu gani wanatoa huduma ya Physiotherapy? Natanguliza shukurani wandugu.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi ni miongoni mwa watu wanaokusumbuliwa na changamoto ya kigugumizi. Kutokana na kigugumizi nimekosa fursa nyingi, hususani zile zinazonibidi nijielezee kwa jamii jambo fulani; kwani baadhi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Researchers on hiv/AIDS have found there is an increase in resistant HIV strains in africa. Reporting in the 19th international AIDS conference in washington,there is 1-7.3percent rise in...
0 Reactions
0 Replies
913 Views
hello jf doctors, natumai mu wazima. Nimesikia kuwa kufanya mapenzi mara kwa mara husaidia ngozi ya mwanamke kuwa nyororo na yakuvutia and virseversa, je ni kweli wadau? Na mwanamke asipofanya...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Three decades into the AIDS pandemic an end to new infections is in sight, according to Anthony Fauci, director of the US National Institute of Allergy and Infectious Diseases. "We don't even know...
0 Reactions
1 Replies
949 Views
Baadhi ya watu hukumbwa na tatizo la kuwa na vijiwe katika figo na mfumo wa mkojo kwa ujumla. Mawe haya hutokana na ama madini chumvi au tindikali mbalimbali zinazotolewa mwilini. Aina za mawe...
1 Reactions
2 Replies
7K Views
Utafiti wasema unywaji wa angalau soda mbili kwa wiki huongeza hatari ya kupata kansa ya tezi kongosho; viwanda vyadai utafiti una walakini. Mapema mwaka huu iliripotiwa na majarida kadhaa sehemu...
1 Reactions
9 Replies
10K Views
Ana umri wa miaka 30 na haoni kabi siku zake . Ila kiuno kinamuuma sana afanye nini maana anahitaji watoto
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari wana jf, naombeni msaada wenu katika hili... Nilikuwa naomba kuuliza ni zipi dalili za awali za mtu alie pata mimba?? Lakin pia ningependa kujuzwa maumivu ya tumbo one day after having...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani mimi niliwahi kuumwa ugonjwa wa kifua kikuu miaka 7 iliyopita na nilipata matibabu nikawa nimepona kabisa lakini cha kushangaza nashindwa kucheka!! na nikicheka kwa kujilazimisha basi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naomba mawazo yenu wakuu, mwenzenu kila ninapo kuwa namtupia madin(sound/tongoza) girl uume wangu huwa unasimama, imekaa vp nna tatizo au ndo vp! psychologist nifungukieni .....natanguliza shukran.
1 Reactions
43 Replies
5K Views
MIAKA mitano iliyopita wanasayansi walivumbua njia ya kutengeneza chembe nyingi za msingi za mwili wa mwanadamu (human stem cells). Chembe hizo zinaweza kuendelea kukua vizuri na kuwa kama chembe...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
jamani memberz naomba kuuliza eti ni kweli wanawake waliofanyiwa female genital multilation yani waliokeketw?,huwa hawapati hamu yakuwa na mwanaume?,kuna rafki yangu anamschana lakn kafanyiwa,
0 Reactions
3 Replies
1K Views
jamani ma dr,naomba msaada,kuna rafiki yangu anampdnzi anataka kumchumbia,lakni mpenzi wake alimwamaia kuwa kafanyiwa fgm.female genital multilation yaan amekeketw,na huwa nasikia huwa hawapati...
0 Reactions
1 Replies
883 Views
Nimeona wanaharakati wakihimiza watu kutahiriwa ili kujikinga na maambukizi ya ukimwi. Wengi wanaminishwa kuwa tohara ni kama chanjo, matokeo yake wengi hasa vijijini watafanya ngono zembe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Moja ya magonjwa hatari sana ambayo yanaweza kumpata mtu yoyote ni ugonjwa wa shambulizi la moyo. Huu ni miongoni mwa magonjwa yanayoongoza kwa kusababisha vifo vya wanaume na wanawake. Kwa...
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Ma Dr na wana JF wenzangu-natanguliza heshima, Nina mtoto ambaye sasa ana umri wa miaka 18,msichana na amemaliza kidato cha 4 kwa kushindwa mtihani -div.0. Tatizo lake nimeligundua baada ya wazazi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom