Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

HABARI ZENU NDUGU ZANGU NAWASALIMU WOTE! Mimi nina mtoto wa miaka sita sasa,anatabia ya kula vitu vifuatavyo alianza toka alipopata tu akili nikajua ataacha ila kadri anavyokuwa tatizo linazidi na...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Beloved Doctors, Kindly advice me on how to increase my Haemoglobin levels. During the initial stages of my pregnancy my HG was normal... It went to 10.9 and having tested last week it was 9...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi nina matatizo yameanza kama miezi sita hivi sasa na nimekuwa nashindwa kuelewa nini tatizo hasa. Kila ninapokula chakula huwa nasikia hali ya kutapika kama kichefuchefu hasa ninapo kutana na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna a frnd of mine alilala na mwanaume wakat yupo ktk cku zake za hatar, lakn aliwah kumzuia yule mwanaume so hakupiz(hakumwaga).. Kinachomtia hofu alitakiwa ableed tar 13 na mpka leo bdo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
tafadhali mnisaidie,tatizo litakuwa nini? Nimetambua hili kwa siku mbili mfululizo hasa wakati wa chakula cha usiku.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
heshima kwenu wadau.nimepatwa na vinundu vigumu kifuani kwangu kwa muda wa miaka mi3 sasa.huwa haviumi ila vinawasha kwa mida fulani kisha vinaacha.vimetengeneza kama mafungu matatu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Watoto wenye meno nzuri hukua kuwa watu wazima wenye meno nzuri. Ukiwafunza watoto wako jinsi ya kusugua meno na kutoa uchafu katikati ya meno kwa kutumia uzi spesheli, isitoshe pia kuwapeleka kwa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina mwezi wa pili sasa unaenda, kila nikienda haja ndogo mkojo unatoka wa njano, nikisema ninywe maji mengi, mkojo unatoka mweupe kama kawaida, siku nisipokunywa maji au nikinywa maji kidogo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa naomba kuuliza ungonjwa wa utindio wa ubongo unaweza kuzuiriwausitokee au kama kuna matibabu ya kumwezesha mtoto wa aina hiyo kukuwa na kupata angalau skills za kumwezesha...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Ndugu wanajamvi, mimi ni mpenzi wa juisi ya kutengeneza mwenyewe. Katika kutafuta mseto wa juisi, naona mara nyingi parsley ikitumika kama moja ya mix za kutengeneza juice. Sijajua bado hili ni...
0 Reactions
8 Replies
46K Views
Wanajamvi, nmeskia kuwa unaeza kufanya uzazi wa mpango kwa kuruka kufanya mapenz siku za hatari; Hii ni kawaida ila njia yenyewe ya kuitambua siku halisi ya hatari ndio sina utaalamu nayo maana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
My cousin anasumbuliwa na tatizo la kusweat kupita kiasi kwapani iwe joto au baridi ..sasa nimesikia kuna deodorant ya driclor but cjui kwa hapa tz zinapatikana wapi....??? I nid ur help guyz...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
US health regulators have for the first time approved a drug to prevent HIV infection. Truvada can be used by those at high risk of infection and anyone who may engage in sexual activity...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The reason why you choose to smoke if from your mental retardation- from one of my paper on critical path of behavioral reasoning
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hello jf doctors, natumai mu wazima. Nimesikia kuwa kufanya mapenzi mara kwa mara husaidia ngozi ya mwanamke kuwa nyororo na yakuvutia and virseversa, je ni kweli wadau?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
ulishawahi kula kitu kchachu halafu meno yanavyokua basi mwenzenu nina shida hiyo ingawa sijala kitu kichachu mwenye kujua dawa ya hii jamani anisaidie nateseka cwezi kula jamani
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Anaejua dawa ya kurudisha hedhi, ni takribani miaka miwili dada yangu hajapata hedhi.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
......[withheld]
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Anaejua dawa ya tatzo hli,kukoma kwa hedhi. Dada yangu ana mwaka wa pili sasa haijui hedhi,ilikata tu yenyewe, hajazaa wala hajawah kutumia uzaz wa mpango.
0 Reactions
2 Replies
990 Views
Hello GREAT THINKERS mi ni mvulana mwenye umri wa miaka 27 na sijao ,nina tatizo moja kwani kila msichana au mpenzi nilie naye anifikishi kileleni,kwani nikimpiga moja tu yuko hoi,nifanyeje kwani...
0 Reactions
34 Replies
18K Views
Back
Top Bottom