Wadau nilienda Hydary plaza kupima macho,nikapewa miwani ya kusomea, Baada ya wiki miwani ilianguka na kioo
kikachomoka....nikaja kugundua kumbe ni plastic wameweka na sio kioo???
Hivi miwani ya...
Habari zenu wapendwa,
Jaman nina wifi yangu hapa amepatwa nna hali ya ajabu amenishirikisha ila na mie mshamba kwa hili hata siielewi kitu nimeamua kuliwahisha humu ili mtuusaidie!
Ameolewa...
Jamani naomba ufafanuzi juu ya hili jambo ambalo nimelisikia
hivi karibuni, eti wanaume wenye maumbile makubwa wana
uwezekano mkubwa zaidi wa kuambukizwa au kuambukiza
magonjwa ya zinaa hususani...
idara ya afya mkoa wa tabora imetangaza kutoa huduma ya Tohara kwa wanaume..Na itafanyika wilaya ya nzega..wahi huduma hii ni Bure...
Wanaume miaka 23 watapewa kipaumbele..
Chini ya hapo waje na...
najua inaweza kuonekana kama nia ajabu lakini ninapata hii hali mara kwa mara ninapokuwa nakula nyama ya aina yoyote mpaka nashindwa kuelewa. ni mzima wa afya kabisa but ninapokuwa nakula nyama...
Jaman ninatatizo la uvimbe kwenye pubic sehemu ya kulia na mda mwingine uvimbe huu ushuka hadi kwenye korodan moja ya upande wa kulia,lakini ajabu ni kwamba uvimbe huu mda mwingine uleta kitu kama...
Habari wana JF?
Ni mara yangu ya kwanza kuanzisha uzi humu, ila ni mfuatiliaji mzuri wa JF .:wave::wave::wave:
Naomba msaada wa kujua ni hospitali ipi / zipi kwa hapa Tanzania wanatoa matibabu...
Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la watu ambo siyo aidha tabibu meno, au daktari wa meno kutoa huduma ya kung'oa meno watanzania katika maeneo mbalimbali hapa Tanzania. Madhara yake ni mengi sana...
Ndugu kuna mtu anauza mafuta ya mbegu za ubuyu, kati ya Tsh 40,000 na 60,000. Swali je nini kimeyapa mafuta haya thamani kubwa kiasi hicho kwa muda mfupi?
Pia naambiwa matumizi ni kuyala mabichi...
KUMEKUA NA ONGEZEKO KUBWA LA KUZALIWA KWA WATOTO WENGI WA KIKE KULIKO WAKIUME. MOJA SABABU AMBAZO HAZIJATHITISHWA NA WATAALAMU NI KWAMBA, WANAUME WAVUTAO SIGARA KWA WINGI NI VIGUMU KWAO KUPATA...
nina tatizo la mba kichwani ambalo ni la mda mrefu.ni hivi nikiziacha nywele zangu kwa mda wa mwezi nywele zinakuwa na mba aina ya ungaunga na kuniwasha sana tena nikizichana bila kutia maji...
Ugonjwa wa Ebola waripotiwa kuingia kijiji cha Bulongo, Karagwe- Kagera. Mtoto 1 wa miaka 6 amegundulika kuwa na dalili zote za ugonjwa huo. Source Radio 1 Stereo.
J.D.M Health Consultanttunahusika na utoaji wa ushauri wa afya hasa kwa magonjwa yanayotokana namaisha tunayoishi hivi leo (life style diseases) kama kisukari, shinikizo ladamu, saratani, vidonda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.