Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Source tv iliyokanisha mara ya kwanza TBC ccm Ni mgonjwa wa ebora ambaye jeahatengwa kwenye dalili za ugonjwa wa ebora na sampuli zake zapelekwa Uganda kwa uchunguzi zaidi
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sexually transmitted diseases (STDs) in men facts Sexually transmitted diseases (STDs) can be spread (transmitted) by intercourse, kissing, oral-genital contact, and sharing sexual devices...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
mwanaume kufikia climax b4 mwanamke ni nini sababu zake na madhara yake ni nn????
0 Reactions
1 Replies
2K Views
New Study Finds Less Risk Reduction Than Previous Research. Aug. 12, 2012 -- Daily aspirin use, long recommended for people at high risk of heart attack, may also reduce the risk of dying from...
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Kwa kawaida wanaume wengi katika kipindi cha balehe katika chuchu zao kwa ndani huota vimatiti vyenye kama viringi au ugumu flani!! Sasa ugumu ule unapodumu muda mrefu husababisha mwanaume kuwa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Madaktari nilitokwa na kidonda cha homa kwenye lip ya chini ya mdomo ila balaa zaid kila nikinywa maji au kula chakula hiki kidonda kinalowa na kuwa kibichi na uwezekano wa kupona unakimbia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa, niling'oa jino siku ya ramadhani 3, hadi leo ramadhani 23 kidonda kinanisumbua. nilitumia dozi ya cloxaciline na flagile kwa siku 5 nikarudia siku 5 nyingine baada ya siku 4. Kidonda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hello wakuu. msaada kwa anaejua ofisi hiyo ilipo. Asanteni sn
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF? Poleni kwa majukumu mbalimbali. Tafadhali nisaidieni; Mama yangu mdogo ana tatizo la kunyonyoka nywele ambalo ameligundua miezi michache iliyopita. Zinanyonyoka zaidi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Collapsing of dick when it reaches the door
0 Reactions
1 Replies
1K Views
UTAFITI wa hivi karibuni uliofanywa katika Chuo Kikuu cha Tiba cha Johns Hopkins nchini Marekani, umegundua kuwa matumizi ya dawa za kurefusha maisha (ARV) yanaweza kuwafanya waathirika wa...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Yusra Rajabu Na Florence Majani JUZI, Agosti 8, mtoto Yusra Rajabu, ametimiza mwaka mmoja tangu kuzaliwa kwake. Kwa hakika, huu ni umri mdogo mno kimaisha.Lakini, kwa masikitiko makubwa ni kuwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
ndugu yangu anamatatizo ya kuanguka/kuzimia pale tu anapoona maiti na akilia kwa sauti ghafla anajikuta analegea na kuanguka, kwa madai yake anasema wakati anaanguka huwa anajijua lakin anashidwa...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
habarini wapendwa marafiki. napenda kujuzwa ni vitu VP vinavyoweza kufanya mimba ya chini ya miezi mitatu kuharibika. vilevile napenda kujuzwa kama kuna vipimo vinavyo detect mwanamke kuwa na...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Naombeni msaada.kifua kinapata moto/kinauma kwa muda fulani.pia nakuwa na banja sana labda kila baada saa2 Au3.naomba kujua tatizo nini? Au ndio TB?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nawakilisha
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Naomba ushauri,mimi nimevunjika mfupa wa clavicle.je matibabu mazuri ya kitaalamu ni yapi.naomba ushauri kutoka kwa ma madaktari wa mifupa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani habari zenu. kama kuna daktari ataweza kunisaidia tatizo langu hili nitafurahi sana. mimi nina miaka 34 na tangu nikiwa na umri wa miaka 24 nilianza kusikia kama maralia muda wote mara...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
wasalaam aleikum wana jf. napenda kuuliza km kuna dawa za kuongeza nguvu za kike km walivyo wanaume. au je wao hawapati matatizo wayapatayo wanaume?
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Back
Top Bottom