Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

jaman jaman hili tatizo la kuwa na alama nyeusi naamanisha kwapani, huku mikanda ya chupi inapopita mapajan na magotin na mikonon kuna mtu mwenye idea na dawa ya jambo hilinijuzen coz my frend ana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
You may have heard a family member or friend say that they'll die from a "broken heart," or that heartache from the loss of a loved one is too much for them to bear. The truth is, severe stress...
0 Reactions
0 Replies
858 Views
Jamani wana ukumbi nina tatizo la kuwashwa mwili na ninajikuna sana hasa kwenye mapaja na sehemu za siri kwa juu. Tatizo hili ninalipata hasa saa za usiku. Nimepima damu, choo na mkojo na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
[*=center] Madhara ya ugonjwa wa kaswende katika mfumo wa mishipa ya fahamu hutokea miaka 10-20 baada ya mtu kuugua ugonjwa wa kaswende na ambaye hakupata tiba yoyote hapo awali. Madhara haya...
1 Reactions
1 Replies
9K Views
Wana JF, Nimeona kwenye Yahoo kuwa rangi za kucha zina sumu. Angalieni hapa:- SAN FRANCISCO (AP) — Some nail polishes commonly found in California salons and advertised as free of a so-called...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
PERTH, Australia UTAFITI uliofanywa hivi karibuni na timu ya wataalamu wa Chuo Kikuu cha Murdoch mjini hapa, umebaini kuwa dawa kadhaa za asili za China zina sumu hatari kwa wanyama na binadamu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jf, naamini kuwa binadamu huwa tunapenda kujiuliza maswali kulingana na mazingira na matukio. Leo nilikutana mtu ambaya anaonekana kuwa na "ungojwa wa akili" basi nikajikuta najiuliza, ni kwa...
0 Reactions
8 Replies
12K Views
Leo tukiwa katika mazungumzo ya hapa na pale katika kituo changu cha kazi nimestuka kusikia kuwa lile ganda la Soya linaweza kusababisha kansa! Kwa kweli nimestuka sana manake watoto wangu...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Jamani nimempeleka hospital lakini wamesema hana kitu ila anachemka sana halafu anakuwa kama anaweweseka au kusisimka joto likipanda.kwa sasa anamalizia ant malaria (mseto)madokta nisaidieni ni...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Sodium is an element that is found in many foods as well as water. The body requires a small amount of sodium in the diet to control blood pressure and blood volume. However, most people consume...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Duh....kumbe unywaji wa soda hasa coca cola unaweza kurestisha in peace ????...soma kilichomtokea huyu mama HAPA
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, ni ipi inaweza kuwa dawa nzuri ya kutuliza maumivu makali ya jino kabla ya kuling'oa? Waswahili wanasema dawa ya jino ni kulitoa. Ikiwa unatafuta nafasi nzuri ya kulitoa, dawa ipi inafaa...
0 Reactions
1 Replies
9K Views
JF wapi Dr. Riwa? tatizo nini tusaidine? come back we need your profesinal here
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jamani naombeni msaada kwa wanao jua. Hv kuna baadhi ya dawa za makaria zaweza sabaisha miscariage, na kama zipo naomba mniweke wazi, alafu naomba suggestation ya dawa zinazofaa.
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Mimi nina tatizo na uso wangu jamani,.yaani una mafuta kiasi kwamba napata chunusi na m nt looking gud 4 real,.hamna ht lotion inayonikubali cz nyingi zina mafuta,mpaka inafikia na2mia lotion za...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kuna mtoto amezaliwa huko wilayani korogwe akiwa na uvimbe sehemu ya makalio.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
From a friend: This is interesting!! I knew you need your minimum water to Flush the toxins out of your body, but this was news to me. Correct Time to Drink Water....Very Important From A...
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Hutokea pale vimelea (bakteria) wanapovamia kuta za ndani za moyo (endocardium), zikiwepo valve na kusababisha maambukizi. Hakuna mishipa ya damu ambayo ni mahususi kwa ajili ya kupeleka damu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ni hali ambayo inakutokea ukiwa umelala,macho yanaweza yakawa yanaona ila ukijarib kuvuta mkono,mguu ama kujigeuza unashindwa hata ukipiga kelele haitoki,nilitaka kujua ki-sayansi point of view na...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nimekua na tatizo la kupatwa na fungas eneo la mabega na mpaka maeneo ya kiuno,mgongoni inachukua sehemu kubwa ila mbele ni kidogo,sometimes zinaweka mabaka meusi bt nimetumia dawa sana bila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom