Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Beauty Treatment During Pregnancy It is a well-known fact that a pregnant woman's body undergoes many alterations, owing to hormonal changes. Are you pregnant, and have started noticing...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi mtoto kutokujua kusoma mpaka anarudishwa darasa zaidi ya mara nne, tatizo ni nini? Ni mental retardation? Msaada wenu madoctor wa jf.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Urine therapy (also known as UT) is the use of urine for curative properties and it's something that has been used by many holistic practitioners to fight many health problems including candida...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Jamani nina swala lina nitatiza jidogo na sipati jibu,kama wengi tunavyojua kwamba mdudu mmbu haambukizi virusi vyiletavyo ukimwi(VVU) lakini ukiangalia mmbu anatunia the same principle kama ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jukwaa!! Mama yangu mwenye umri wa miaka 58 anasumbuliwa na miguu. Inamuuma kuanzia ktk magoti hadi katika nyayo. Anaumwa nyama pamoja na mifupa ya miguu. Tatizo hili linaweza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naombeni kujua, nitajuaje ovulation ya mke wangu ili niweze kuamua tuzae mtoto wa jinsia gani.!
0 Reactions
19 Replies
6K Views
To your body, food is nothing more than potential energy. But to realize that potential, there are a number of complex processes that take place without you even noticing. Learn what happens to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Feeling queasy in the stomach for some reason and you can't quite figure out the culprit? The reasons could be several, of course, and one of them could be the undercooked chicken in your plate...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilikuwa naomba kuuliza kwamba mtu akipata huu ugonjwa (RED EYES) kisha akatumia dawa na kupona kuna uwezekano akaupata tena endapo atakaa karibu na mgonjwa mwenye nao? Plz mwenye kufahamu naomba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habari zenyu wataalam! naomba kujua muda muafaka wa tendo la ndoa kwa mzazi aliyejifungua! i mean, ni miezi mingapi ikipita tangu ajifungue anaruhusiwa...........?
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wan JF,miaka ya nyuma niliwahi kulala na binti mmoja ,na tulitumia kondom,ukitazam akwa muda ambao tulikutana nae kimwili ulikuwa mwezi wa pili,hapo hatukuonana tena,nikishangaa mwezi wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
United States have found new cancer in human beings caused by Silver Nitron Oxide. Whenever you buy recharge cards, don't scratch with nails as it contains Silver Nitro Oxide coating and cause...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
yaaap habari pipoz ebana me na ishu moko hivi inanizingua knoma ni huyu mpenzi wangu kila ninapo duuu naye huwa hata hapigi zile kelele lyk aaaa eeee iii oooo uuuu so afta gemu kuisha nikimuuliza...
0 Reactions
16 Replies
12K Views
Kwanini uume huwa mdogo na makorodini kuuma yaani kukiwa na baridi au ukiwa hali ya kawaida huwa mdogo kama cm 2 au 3 je tiba yake ni nini? Naomba ushauri wenu fj
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Huwa ninapata maumivu makal sana wakat wa tendo la ndoa pale ninapotoa shahawa au hata ninapopata ndoto pevu(wet dreams) pia ninapata maumivu makal sana chini ya kitovu na wakat mwngne 2mbo hujaa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani naumwa mafua ila na viungo vya mwili vyote nahisi maumivu na baridi,hivi yaweza kuwa mafua tu ndo sababu kila kiungo najisikia vibaya?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa kipare, nina miaka 24. Tatizo nililonalo nikua sijatairiwa n naona aibu kwenda hospital kutahiri kwani ntachekwa na vijana wenzangu mtaani. Hii hali inanipa wakati mgumu kwani...
0 Reactions
11 Replies
12K Views
Katika kuangalia hasa jamii forum sijaona kipengele cha afya! Lakini kutokana na tatizo langu nikaona ni vyema kupost tatizo langu hapa ili npate msaada hata kwa muktasar tu. Tatizo langu ni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa uelewa wangu mdogo ugonjwa wa mmr hasa mumps dalili zake ni kuvimba kwenye mashavu. Je, kuna chanjo Tz?
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Kama kuna vitu nahisi vigumu sana kuwaeleza rafiki zako au wafanyakazi wenzio ni:- 1-Kunuka mdomo 2-Kunuka miguu Kuna baadhi ya watu wananuka sana midomo yaani akija ofisini akikuinamia...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom