Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Hi wana JF, nina shida nikikaa kwa muda kidogo nikianza kutembea napata maumivu sehemu ya visigino, tatizo hili limeanza like 3 months ago, hii inaweza ikwa imesababishwa na nini? na nini tiba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Je wajua kwamba sigara ina zaidi ya kemikali 400 zinazoweza sababisha saratani? Je wajua kuwa mvuta sigara ana uwezekano wa mara 15 zaidi ya kupata satani ya mapafu kuliko asiyevuta? Lakini Je...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heri ya pasaka! naombeni ushauri kama ikitokea wakati unafanya mapenzi, condomu ikabaki ndani ya uke baada ya kuchelewa kuitoa!!
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Heloo wanajamvi. mm ninamatatizo yakuwashwa sana masikio na koo.yaan najitahidi kuyasafisha ila yanawasha kupita kiasi mwenye kujua hili naomba anisaidie
0 Reactions
4 Replies
34K Views
habari wadau wa jf ebana me tatizo langu nikujisaidia mkojo wenye rangi ya njano yaani mpaka some tym inaniboa embu fanyeni kuni help bhasi kwa hili plzz ladies en gentlemen
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu? Ana miaka 26 lakini toka azaliwe hajawahi kupata zile ndoto pevu(wet dreams).. Hii ndio case niliyoombwa ushauri. Imeniwia vigumu kumjibu haraka. Je ni tatizo la kawaida...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Ninasumbuliwa na KISUKARI cha juu nina mwaka sasa. Nimekuwa nashindwa kutengeneza hasa chakula ninachotakiwa kula lakini ninajitahidi sasa maana nimekuwa nachoma insulin mara kwa mara. Je ni kweli...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Can Concussions Cause Early Death?This is a question that probably isn’t thought a lot about. It wasn’t until a short while ago that the NFL (National Football League) actually started doing...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari ya ss wapendwa napenda kuomba msaada juu ya hili kwa yyte anaye fahamu ni miezi mnne ss tangu wafi ajifungue but tangu kajifungu tumejaribu kufunga tumbo nimenunua mkanda lakini naona bado...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa la Doctor, naombeni mnijuze mlio na ufahamu zaidi juu ya ugonjwa wa mkanda wa jeshi, dalili zake ni zipi, unsababishwa na nini na dawa yake ni nini?
0 Reactions
0 Replies
995 Views
Dr ni kweli kuwa mwanamke asiyetoka ule ute unaovutika kama gundi hawezi kubeba mimba?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf. Nina tatizo la maumivu ya kiuno hasa nnapokua nafanya kazi inayonlazimu kuinama kwa zaidi ya dakika 15 baada ya hapo naskia maumivu ambayo yamaweza kuendelea kuuma mpaka...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
jamani naomba nisaidiwe mie mke wangu anatoka madude meupe kama mayonaiz huko ukeni kiasi kwamba ukichomoa dude linatoka na hayo madude na yana kiharufu fulani hivi unpleasant. Je itakuwa ni...
0 Reactions
33 Replies
26K Views
naomba kuuliza,zamani nilikua naenda hadi bao sita ndani ya masaa manne lakini toka juzi nikifanya mapenzi naishia bao mbili,jana moja na tena nakua nimechoka sana.naoommbeni ushauri wenu tatizo...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Heshima mbele Wana JF pasaka ilikuwa mbaya kwangu baada ya tarehe 6/4/12 kununua dawa ya kienyeji ya kutoa sumu mwilini iliyokuwa inauzwa na Wasabato na tarehe 8/4/12 kuinywa baada ya kunywa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
wanajamii. nina sensitiv teeth cku ya 4 sasa! pls naombeni kujua dawa ni nini?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
msaada wenu madaktari naomba mnisaidie sababu zinayoweza kumfanya mtu akatoka povu na damu refer kanumba dearth cause sifikiri kama m2 akianguka tu inaweza kuwa sababu
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Refer above topic. nimekutana na izicase sana, so nawaomba wadau tujadili pamoja. bases on sexual intercourse
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarini za mihangaiko ya hapa na pale, Naombeni uchambuzi wa kina juu ya hili swala nitakalosema. mchumba wangu hupata siku zake( period/ MP) kila tarehe 16 au 17, na huchukua siku tatu...
0 Reactions
1 Replies
943 Views
nini husababisha maumivu sehemu za uume? ameshatembea hospitali nyingi na kupewa dawa ambazo mpaka sasa hazijamsaidia chochote na maumivu bado yapo! any specialist unayemjua atakayeweza...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Back
Top Bottom