Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

.....someone die suddently by for example following a blow to the chest by a ball....(a table tennis ball).......or a following a fight.....Two days later, you receive the pathology report from...
0 Reactions
1 Replies
788 Views
Habar wana JF me nasumbuliwa na miwasho sehem za sr na nna vpele kama vchunus pemben ya uume.Tatzo la pl nna miaka 19 sasa lakn hata cku1 cjawah kutoa bao
0 Reactions
1 Replies
1K Views
There are great differeces,not only in the nature of man and woman, but also in their reproductive functions. In this sense,the man is simpler than a woman. He has only one thing to do to make a...
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Habari wana jf doctor. Mdogo wangu wa kike mwenye miaka 19 ana tatizo la matiti kusinyaa na kulegea kana kwamba alishawahi kunyonyesa. Nimejaribu kumuuliza amesema tangu akiwa primary waliwahi...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Heri ya pasaka! naombeni ushauri kama ikitokea wakati unafanya mapenzi, condomu ikabaki ndani ya uke baada ya kuchelewa kuitoa!!
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Wanabodi hemima kwenu,mwanangu ana umri wa miaka mitatu.yaani dogo akilala anakoroma sana,wasi wasi wangu ni kwamba anaweza akaendele na ka habit haka mpaka ukubwani.napenda kuuliza je kuna namna...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kujisaidia sana kutumia mkono au vibrators una madhara.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu sehemu ya kushoto kifuani na ubavuni...nimekwenda hospitalini mara kadhaa,nimepigwa x-ray kama mara tatu tatizo halijaonekana..badala yake nimekuwa nikipewa dawa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Karibuni kwa mchango wa mawazo khs swala hilo la unywaji wa dawa jambo lipi ni sahihi!
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Naombeni ushauri wa kitabibu wanajamvi.ndg yangu ni mjamzito ana wiki 34 sasa kwa mahesabu yake.lkn kipimo cha ultra sound kinaonesha ana wiki 37.sasa anashindwa aamini kipimo au hayo mahesabu...
0 Reactions
1 Replies
996 Views
Huwa inatokea na kuacha na kurudia tena unakuta kwamfano mkononi au mguuni kunakuwa na sehemu inadunda ka mapigo ya moyo na mara nyingine kwa force iliyozidi kwa muda flani inaweza kuwa mara moja...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Hivi karibuni, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imeangaza vigezo na masharti mapya ya kujiunga na kozi mbalimbali za afya gazi ya cheti na stashahada. Kwa mujibu wa taarifa ya katibu mkuu wa...
0 Reactions
0 Replies
10K Views
Twashauliwa kunywa maji kwa kiasi kingi ila kwangu naona ni tatizo kwani kila ninywapo maji hata glass moja ni baada ya nusu saa au dk kadhaa natakiwa kwenda toilet na mara nyingine naenda toilet...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Msichana mmoja amekutwa Tumboni mwake na vijiko 2 vya chai,misumar ya bati na vyuma kadhaa vyenye uzito wa gram 6,amesema alikua anasikia maumivu sana tumboni,daktari alomfanyia upasuaji...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu! Ninatafuta aina ya lotion ambayo itanisaidia kuondoa mikunjo usoni kwa mtu mwenye uso mkavu.
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Wana JF. Nimekuwa na matatizo ya ngozi hasa wakt wa baridi na hasa wakt huu wa mvua. Nukioga naweza nisilale kabisa usiku kucha. Nimejaribu dawa nyingi sana sipati nafuu. Naomba wanajamvi msaada...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ndugu zangu ninatatizo la kiuno kuuma huu mwaka wa 5 sasa,nimepima kila kitu lkn ugonjwa hauonekani naombeni msaada jamani nateseka sn.
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Babu Ambikile Mwaisapile akitayarisha vikombe IDADI kubwa ya wagonjwa waliokwenda kutafuta tiba kwa Mchungaji mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Mwaisapile...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari wanajf wenzangu Mwenzenu ninasinzia sana kazini najitahidi kujzui siwez ...naomba mnisaidie dawa yake ni nn?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa yeyote anaeweza kunisaidia jamani...... Nasumbuliwa na tumbo kwa muda mrefu sasa nimetumia madawa sana na nimefanya mpaka endo scope pale Agakhan Hospital kujua tatizo ni nini lakini bado...
0 Reactions
8 Replies
15K Views
Back
Top Bottom