Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wana JF wapendwa wangu nina tatizo la kuwa na mafua na makoozi, kwa muda mrefu sasa tangu hali hiyo initokee tatizo ni nini,
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hili ni tatizo gani jamani wana JF?kupata maumivu makali wakati wa kwenda haja ndogo na baada ya kumaliza,wakati mwingine najisikia kwenda haja ndogo lakini naambulia maumivu makali tu.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Hasira ni sehemu ya hisia za mwanadamu, lakini hazitakiwi kuzidi kupita kiasi Hisia zipo za aina tofauti tofauti, mojawapo ya hisia hizo ni hasira. Lakini ni vema kujitambua na kuitawala hasira...
2 Reactions
4 Replies
9K Views
Dawa Aina ya Misoprostol Yaweza Kuwa Mkombozi wa Wanawake Wajawazito Susan Anyangu-Amu Precious Nabwire alikaribia kufariki dunia kutokana na kujifungua mtoto wake wa nne. Kama wataalam wa...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Nanuku...hymen(utando) yaani membrane nyembamba sana hufunika vagina,kwa mwanamke bikra ambaye hajui mwanamume uonekana tundu dogo tu,lakini akilala na mwanaume hymen hiyo hupasuka na akizaa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Hello wadau? mimi ni kijana wa kiume miaka 34 na ni mpenzi wa vinywaji vikali ,,sasa tatizo langu napenda sana kulala kifudifudi. Naomba ushauri je sijiweki hatarini kwa afya yangu kwa kulala...
0 Reactions
4 Replies
8K Views
.
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Wataalam mtusaidie khs hilo!
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habar wadau?mwenzenu nilikutana na binti mmoja tukapendana baadae tukaanza kusex kwa kutumia kinga. baada ya siku mbili baada ya kusex vipele vikaniota kwenye mavuzi kama vipele vya kunyoa ila...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
IMANI POTOFU KUHUSU AFYA YA KINYWA NA MENO Imeandikwa Na: Dr. Augustine Rukoma Tunashukuru kwa mtandao kwani habari zinasambaa haraka kama mwanga. Hata hivyo, uvumi, imani potofu vinasambaa kwa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Siku moja jamaa mmoja alienda kununua viagra( dawa za kuongeza nguvu za kiumea) kwenye duka fulani la madawa, bac kulikuwa na docta pale akampa dawa flani na akamwambia ile dawa angeweza hata...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Dawa mbadala ya presha ya jicho na mtoto wa jicho ukiacha operation
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Za leo wa ndungu; Nimekuwa nikikojoa mkojo naunapo karibia kuishia naumwa sana ukeni? Then baada ya ya kupangusa naona vijidamu kidogo kwenye tissue. Najisikia vibaridi jioni nakukosa hamu ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
wana JF tangu ni duu na mpenzi wangu analalamika anasikia muwasho ukeni, hata jana nimeduu nae lakini bado analalamika muwasho na anadai sometimes unaongezeka na sometimes unapungua. huu waweza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wana JF tangu ni duu na mpenzi wangu analalamika nasikia muwasho ukeni, hata jana nimeduu nae lakini bado analalamika muwasho na anadai sometimes unaongezeka na sometimes unapungua. huu ni yaweza...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kuna kauli huwa naisikia mtaani eti mtoto wa fulan kabemendwa.ETI HII HALI IPO AU NA INAKUAJE kama ipo? Sana sana husema pale mtoto anakuwa na hali ya kudhoofika wakimanisha mama na baba yake...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jicho linawasha toka j5 kwa sasa limevimba na linauma. Nimejaribu ku2mia eye drops lkn hamna nafuu. Ni2mie dawa gani?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naomba kupatiwa tiba ya ugonjwa wa henia kama unatibika bila ya kfanyiwa upasuaji?
0 Reactions
1 Replies
5K Views
na unahesabu vipi maana hata wanaotumia hizo tarehe bado wanazitatiza.....tushirikiane kwa hilo tafadhali kwa manufaa.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
aisee wadau naomba ushaur nimekula mayai nais ya kichina mdomo lips ya juu unazid kuvimba mda had mda mwenye kujua dawa ya hili tatizo naomba anijuze maana hali inakuwa mbya nisaidien
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom