Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Coconut Oil Touted as Alzheimer's Remedy Researchers say the ketones found in coconut oil have slowed the progression of Alzheimer's disease in some people and may actually prevent it. Health...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Inasikitisha kuona Makao makuu ya Wizara inakuwa na Madaktari zaidi ya 80 ambao wanafanya kazi za kisiasa wakati sisi katika wilaya yetu hatuna Daktari( MD) hata mmoja kwani hata DMO aliepo ni AMO...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mabrodaaaaaz na masistaaz karibuni kwenye mazoezi kweli nilisoma hapa kwa blog ni jinsi gani nitakata wait sasa tupo kama dadaz wanne hivi sasa tunatembea muda wa 1hr na pia nakula kidogo ni kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam wana jf. Naomba kuwasilisha kwenu mada hyo iliyoko kwenye mfumo wa ushauri. Utawala wa mkolon ulitumia mbinu ya " wagawe kisha uwatawale" kwa mazungumzo ya mtoto wa mkulima na serikal...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
machoni kwangu nikiagalia vitu kama karatasi nyeupe,angani au kwenye maji,naonakunavidoti vyeusi.alafu macho yangu naona mazito sana nifanyeje sasa.shule ya boarding niliyosoma ilikua maharage only
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hallow Doctors Chapeni kazi ili kuisaidia Nchi yetu jamani
0 Reactions
21 Replies
2K Views
mwnamke aliyejifungua kwa operation *akipata mimba ndani ya mwaka,hususani miezi kumi inamadhara gani?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
doctor wetu poleni sana. mimi nawaombeni kama watawalazimisha kwenda kazini nanyi mkakubali, basi nawaombeni mtuonee huruma. Muogopeni Mungu jamani, msitupasuwe vichwa badala ya miguu sababu kosa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi kweli unaweza kununua tairi mpya za gari ikiwa gari lenyewe halina mafuta viongozi wakuu serikali ya tanzania mnaakili timamu au mnakurupuka tu hivi kwanini hizo posho msiziamishie kwenye...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Kwanini uhalalishaji wa utoaji wa mimba si mzuri kwa afya ya Mwanamke? Uthibitisho Unaonyesha ya kwamba utoaji mimba upunguzi vifo vya wanawake wajawazito.waasisi wa ualalishaji wa utoaji mimba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu , assalam aleikhum. Napenda kuchukua nafasi kuulizia mtu mwenye sukari anaweza kutumia asali au kuna asali ya aina nyingine ambayo siijui, naomba msaada wenu .
0 Reactions
8 Replies
11K Views
Sijafanya search yeyote kuona kama hiki ninachokitaka kipo tayari kwenye JF kwa hiyo msinizodoe. Mimi ni mgonjwa wa kisukari (IDDM -- Insulin Dependent Diabetes Mellitus or Type I), na kulingana...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
naomba msada tangu sasa ni siku ya tatu kila nikienda kukojoa nahis maumivu sana kwenye kichwa cha uume.naomba msada je ni ugonjwa
0 Reactions
5 Replies
4K Views
please naitaji kujua madhara ya kujichua pia naitaji kuelwanjia za kuacha kujichua kwani ni nimekua very addicted na hii tabia please need a help pia naitaji kuonana na docta wa magonjwa ya...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Madokta wetu wanafanya makosa mengi ambayo yanagharimu maisha ya watu lakini hawakubali makosa! Brian Goldman: Doctors make mistakes. Can we talk about that? - YouTube
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mtoto anaanza kun'goa meno akiwa na umri gani?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu Doctor Mwisho Sijapata Kuona. Kumbe kujichua Nayo Ni Tiba? Funguka nacho kisa hiki: Kuna brother wangu ametoka kijijini kama miezi miwili nipo nae Town, Kabla ya hapo hajawahi kuwa mbali na...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
http://maajabuyamaji.com/ KUNYWA MAJI BAADA YA KUSIKIA KIU NI KUJIANDALIA KIFO CHA MAPEMA NA CHENYE MAUMIVU SANA: Muda gani unamwagilia maji bustani yako? Kwa hakika ni asubuhi au jioni na si...
1 Reactions
42 Replies
11K Views
Wandugu habari zenu binafsi! Hebu nisaidieni tafadhali. Nishawahi kusikia mara nyingi tu katika mazungumzo ya hapa na pale kuwa mwanamke akishajifungua mara ya kwanza maumivu ya tumbo la siku...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
wandugu mwenye ufahamu wa tiba ya kudumu ya tatizo hili BILATERAL ADENOIDS tafadhali unifahamishe mwanangu anateseka Natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…