Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari wakuu,matabibu,madakta na wenye uelewa wa hii kitu. Mwanangu alikuwa natatizo linalotambulika adenoids tonsilits.amekwisha fanyiwa upasuaji mara 5 toka mwaka 2005 -2011 ktk hospitali ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu mgomo wa madaktari unaendelea kushika kasi,ni mgomo unaweka historia kwa kuhusisha sehemu kubwa ya tanzania.ninavyoona wizara ya afya imeshindwa kutatua mgogoro huu kwani wao ndio sehemu ya...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
wamesema kamwe hawatatoroka kwenda nchi nyingine kisa mazingira mabaya ya kazi hapa nchini.kamwe hawatakimbilia botswana,malawi,lesotho au rwanda.wamesema watapigania maslahi yao hapa hapa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Jaman nisaidieni dawa au technique ya kuepuka kutoa udenda pale tu nikamatwapo na usingizi.Hali hii sikuwa nayo ila imeanza tangu wiki iliyopita namwaga udenda kitandani hadi...
0 Reactions
40 Replies
8K Views
Babu wa Samunge amewaasa waliokunywa dawa na bado hawajapona basi warudi Samunge wanywe tena kikombe.Ameelezea kuwa yeye sio mganga wa kienyeji hivyo imani ni muhimu sana. Source ; EA-Radio...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
Habari wana JF!! Hii serikali changanya na hawa madaktari wote wametuweka pabaya wale ambao afya zetu zimeyumba kidogo. Kwa pamoja tushirikiane tuanzishe chama cha kutetea wagonjwa maana kati...
0 Reactions
1 Replies
930 Views
Swali,inawezekana kwa mwanamke ukaona bleed wkt wa kujisafisha ukahic ndo unataka kuingia kwenye period lkn ikawa haitoki tena? Cjui nimeeleweka
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hv tiba ya jino bila kungoa ni zipi???
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, Mimi nimewahi kwenda kutibiwa pale kwa mama ngoma hospital, yani dokta ngoma he is money oriented yeye ndio specialist wa magonjwa yote katika hospitali yake na yeye ndio bosi,kama hayupo...
0 Reactions
45 Replies
18K Views
Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii inatakiwa kuchukua hatua za haraka kumaliza mgogoro baina yao na madaktari ili kuepusha madhara makubwa katika upatikanaji wa huduma za afya nchini. Ijulikane...
0 Reactions
1 Replies
988 Views
Naamin hapa nitapata jibu na ufafanuzi wa shida yangu. Mim nimekuwa siri chakula cha mchana na badala yake mda huo nimekuwa nikira matunda kama machungwa,ndizi,embe,tikiti,tango na kutafuna...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Constipation General Info about Constipation Constipation refers to the infrequent or difficult passing of stool. It is the most common digestive complaint yet, is treated as a symptom...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu Naomba msaada. Nikienda kukojoa nakuta kuna ute mweupe Kwenye kichwa cha uume. Ila nikikojoa natoa mkojo wa kawaida na sina maumivu yoyote. Ni kitu gani hiki?
0 Reactions
26 Replies
26K Views
Habari, Jamani huu ugonjwa wa kansa mbona unaongezeka kwa bongo? Miaka miwili nyuma rafiki yangu alipoteza wazazi wake 2 kwa ugonjwa huu baadae jirani akafariki. Na sasa kuna jirani yangu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu naomba kuuliza kama kuna dawa yoyote ya hasira. Kwani sasa hivi nimekuwa na hasira ambazo nashindwa hata kujua chanzo chake ni nin? Kwani nimekuwa sitaki au kusikia mtu yeyote akiongea...
0 Reactions
39 Replies
7K Views
Leo katika gazeti la Mwananchi , kuna taarifa ya Makamu wa Rais wa Chama cha madaktari Tanzania (MAT), Primus Saidia kwamba Majibu toka kwa mwakilishi wa ofisi ya Waziri Mkuu yamewakatisha tamaa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Nimefanya mapenzi na watu tofauti tofauti,kuna wengine nilikuwa nawapa uume wangu wananyonya na wengine hadi wanakunywa mbegu zangu za kiume.uwezekano wa maambukizi ya ukimwi hapo yako kwa kiasi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
David ana umri miaka 29 sasa anategemea kufunga ndoa siku za karibuni na mpenzi wake,toka alipobalehe alikuwa akipiga punyeto kukidhi tamaa zake za mwili pale anapokosa mpenzi mpaka kufikia umri...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mpenzi wangu nampenda tabia na hata muonekano wake kwangu naupenda sana ila viganja vyake vya mkono ni vikavu kiasi cha kusababisha kuniumisa wakati wa kutomasana.NASISITIZA NAMPENDA ILA TATIZO...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
CONCERNS are mounting among anti-AIDS activists and groups of people living with HIV and AID that, Babu Ambikile Mwasapile, a senior citizen who last year dominated media headlines for his...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…