Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakuu habari zenu. Kuna vyuo(vya afya) vina utaratibu wa kuanza kutoa mafunzo maalumu kwa wanafunzi wake katika speciality husika mfano GINECOLOGY,NEUROSURGERY n.k wakati wakisoma first...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
jamani wadau nimeoa sasa ni wiki ya pili, mke wangu toka juzi analalamika kuwa anahisi maumivu makali chini ya kinena wakati wa kukojoa, mwanzo nilimwamwambia maumivu yataisha kwani pengine...
0 Reactions
16 Replies
34K Views
Shocking! PLEASE SHARE THIS NOTE TO ALL YOUR FRIENDS!!!!! I have always wondered where those guys who sell the tu-small bananas on wheelbarrows as seen at road roundabouts source them in such...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Wadau naomba mnijuze hospital nzuri ambayo naweza pata matibabu ya uhakika. Ni zaidi ya mwaka sasa nasumbulia na malaria na sijawahi pata nafuu hata siku moja. Kwa sasa nimepata offer ya kutafuta...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ukienda hospital kutibiwa kama Daktari atakupa Flaggily huwa anasisitiza sana usinywe pombe hapa kunamadhala gani kibaologia na je ni hatari na kama umekunywa dawa hizo halafu ukajisahau ukanywa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mwezi uliopita tulienda hospitali ya mimi na mke wng kutokana na tatizo la kutopata mtoto mana sasa takilibani miaka 3.baada ya vipimo ndipo yeye alipo kundulika kuwa anamatatizo ya milija ya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Mambo vp?salama wakubwa mimi nikijana nina tatizo lakupga nyeto kila siku,yni nikiwaza Ngono lazima nitpga 2 nyeto,cpgi kwa sabuni apana napiga kwa maji,kila nkjribu kuacha nashindwa nifanyaje?ebu...
0 Reactions
53 Replies
7K Views
NILIKUWA NA TATIZO LA KUCHOMOKA MKONA . Nimefenyiwa oppr ya shoulder legaments bado sijatoa nyuzi hadi tarehe 14/11/11 DR, alisema legaments zilikuwa zimelegea NAOMBA KUFAHAMU JE SITAPATA TENE...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu nisaidieni my wife anamaziwa machache hivyo chari hashibi ipasavyo je afanye nini ili maziwa yaongezeke mtoto ndo kwanza anamwezi na wk tatu na maziwa ya kopo siyataki.
0 Reactions
11 Replies
15K Views
One mosquito coil equals 100 cigarettes One mosquito coil equals 100 cigarettes (Thinkstock photos/Getty Images)Smoke emitted from one mosquito repellant coil is equivalent to those of 100...
0 Reactions
1 Replies
900 Views
Nimekutana na link hii hapa........ What's In a Cigarette, 599 Ingredients in a Cigarette Nikaona wana JF niwatahadhalishe wote wanaojinyoga bila kujua na serikali yetu bado inaendelea kuchukua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Inawezekana katika maisha yako hujawahi kula mboga iliyowekwa kiungo kinachoitwa bizari, kama umewahi, inawezekana pia hujawahi kujua faida zake mwilini. Bizari (Turmeric) ni kiungo cha mboga...
1 Reactions
6 Replies
11K Views
Waungwana naomba msaada wenu ili niweze kupata mawasiliano na taasisi inayofanya tafiti juu ya "BRAIN & HUMAN MIND". Niko interest sana na hayo mambo husika. Binafsi nimesoma Electronics &...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
​CHAMOS, H.J KULA vyakula mchanganyiko ni moja kati ya kanuni muhimu za lishe bora. Vyakula vya nyuzinyuzi ni mchanganyiko wa vyakula mbalimbali vya wanga ambavyo haviyeyushi kama vyakula...
2 Reactions
2 Replies
11K Views
sijawahi kuwa na matatizo ya moyo kabla, lakin sa hv nina kama wiki kuna muda moyo wangu unakwenda mbio, nakuwa kama napumua kwa kasi hvi yaana kama nataka kufaint kabisa. Inatokana na nini?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nilishawahi sikia kuwa kama mtoto wako atakuwa anasuasua kuongezeka urefu katika umri wa kubalehe unaweza ukamchoma sindano ya kustimulate pituitary gland ili izalishe hormne kwa ajili ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
napenda kujua hivi ukimlamba mwamke mwenye ukimwi ukeni kama hajachubuka unaweza kupata maambukizo?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina wiki jamani sijakata GOGO!! Asubuhi: Chai na mihogo/chapati etc home. Mchana: Chips Kitimoto Survey migombani/Chips Makange Rozi garden/Ugali nyama choma pale Hongera. Usiku:Ugali/wali...
1 Reactions
37 Replies
5K Views
Wana JF namtafuta Dr wa mambo ya uzazi kwa ajiri dada yangu anayetegemea kujifungua kama unamfahamu nijulishe shukrani kwenu
0 Reactions
4 Replies
3K Views
nasikia maumivu sana moyoni mwangu na ni makali sana cwez kujizuia nahisi kama moyo unavuja damu ndani kwa maumivu niliyonayo...........hali hii hunitokea kila nikipata kitu chochote cha kunishtua...
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Back
Top Bottom