Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

20 Pain Cures You Can Find in Your Kitchen Make muscle pain a memory with ginger When Danish researchers asked achy people to jazz up their diets with ginger, it eased muscle and joint pain...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna mtu ameniambia kwamba unaweza kuzuia mimba kwa njia hii badala condom kwamba siku mbili kabla ya ku do mwanaume anaweza akazitoa mbegu (kama atapiga puny*to sawa) halafu ndo aje ku do na...
0 Reactions
12 Replies
16K Views
Nasikia hili tunda lina faida na hasara katika mwili wa binadamu, kuna mwenye taarifa zake kwa kina mtujuze !!
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wandugu, Nahitaji Masada wenu on this, Anyone who can help? NiTashukuru sana kama nitasaidiwa.
0 Reactions
17 Replies
8K Views
ni kipindi kirefu toka nione hili tatizo sisikii maumivu wala usumbufu wowote ila naomba niulize ni hali ya kawaida ua? na kama pana tiba naomba wataalamu mnijuze
0 Reactions
3 Replies
3K Views
hello jf.. nina ndugu yangu aged 26 hivi amekua na tatizo la kuwashwa miguu kwa muda wa wiki 1 sasa.. ninaishi nae ivyo imekua rahisi kumgundua anavyojikuna mara nyingi hasa inapofika jioni...
0 Reactions
0 Replies
12K Views
Jamani mimi nina tatizo la primary goat,please naomba ushauri wa kumaliza tatizo hili,yani sasa hivi sina amani kabisa,kwani nasikia ugonjwa huu husaBABISHA matatizo kwenye kibofu pia!:shock::shock:
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tafadhali wanaJF kama kuna mtu ana-experience tatizo kama la kwangu na amelitatuaje. Binti yangu ana miaka 13 sasa na anakojoa kitandani almost everyday. Hili tatizo sasa linamuathiri kisaikolojia...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wakuu naomba msaada kwa mtu anayefahamu dawa ya meno yanayouma napata tabu sana,nimekwisha ng'oa kama matatu hv sasa sitamani kutoa mengine...naomba msaada hasa dawa za asili....
0 Reactions
4 Replies
15K Views
Grape Seed Extract Kills Cancer Cells In Lab Retweet Featured Article Main Category: Lymphoma / Leukemia / Myeloma Also Included In: Nutrition / Diet; Blood / Hematology; Cancer / Oncology...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau wa JF Doctor naomba mnielimishe kuhusu hili. Siku ambazo nimekunywa pombe nyingi, kesho yake nikiamka mwili unakuwa hauna amani mpk nitapike nyongo, ndiyo kidogo mwili nauskia unaanza kuwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
KUNA DOCTOR BINGWA AMEAMUA KUTIBIA NYUMBANI KWAKE ANATIBU BUSHA NA LINAONDOKA KABISA BILA YA KUCHANA .KUNA SINDANO NA DAWA MAALUM SIKU TANO UNARUDI NYUMBANI KWAKO UMEVAA TAITI AMA BUKTA UKIJIDAI...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
wana JF naombeni msaada mimi ni mwanaume umri 22 huwa kila ninapo kutana kimwili na GF wangu huwa nawahi sana kufika mshindo jamani nina tatizo gani?? mwenye ufahamu jamani elimisha mimi plz au...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kwa mujibu wa madaktari wengi , uwezo wa kujamiiana kwa wanaume ni kipimo cha afya yake pia. Kuna uhusiano wa karibu sana kati ya afya ya mwanaume na uwezo wake wa kujamiiana. Hii ni taarifa rasmi...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
wana jf nisaidieni imekaaje hiii?? Nime do.. na mwanamke ila hakukutokea joto katika friction yaani nshu yakeilikuwa ni ya baridi kabisa.............je anatatizo na ni tatizo gani hilo?
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Hivi madaktari hawa wa hospitali za binafsi kwa ushauri wao wa vipimo vingi licha ya kuonyesha dalili zisizoendana ni sahihi kweli mfano una dalili za malaria unashauriwa kucheki malaria, kisukari...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
What You Need To Know SADD refers to Sexual Attention Deficit Disorder. Men used to the instant gratification of internet porn can struggle to maintain an erection. Suffer from SADD? Take a...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sina uhakika kama wote au baadhi huwatokea haya matatizo hususani kwa wajawazito. kuvimba miguu kwa kinamama wajawazito ni dalili ya nini! chanzo chake na tiba yake ni nini hasa? Pia baadhi...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Jambo hili limenishangaza . Je ni jambo la kawaida kwa mwanaume kutoa mbegu ambazo zimechanganyika na damu?. Ama kuna hitilafu katika system ya uzazi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi kwa Kiswahili ndio Appendix!!.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom