Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Suala la nguvu za kiume kwa sasa limeshakuwa ishu kubwa kwa vijana wengi wa sasa,kwa utafiti uliofanywa mwaka 2013 na shirika la Afya duniani unaonesha kuwa zaidi ya asilimia themanini ya wanawake...
0 Reactions
28 Replies
15K Views
Katika hali ya kuuzunisha wabunge wetu wapendwa wamekuwa wakiugua hivi karibuni na katika k uonyesha mfano wa kujali hospitali yetu teule ya muhimbili wote wamepita kwa private wakaishia kuja...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wanaJF hasa upande huu wa JF Daktari? Dada yangu mwenye umri wa miaka 36 anaumwa ugonjwa ambao unamdhoofisha kila kukicha na ugonjwa huo una dalili kuu ya kutoa sauti kubwa...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Utafiti uliofanywa huko UK umegundua kuwa watu wengi tunazingatia kunawa mikono baada ya kutoka chooni na kusahau kuwa hata simu zetu za mkononi ni chafu na zina bakteria. Soma hapa POPOTE TZ
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wana JF Rafiki yangu mpenzi amekwama, ana huzuni kubwa sana ya yaliyompata. Naomba ushauri wenu. Sitaweza kueleza kila kitu. lakini ni long story. Kifupi. Ana jamaa ambaye ni mume wa mtu...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Nashukuru sana kwa ushauri wenu juu ya tatizo la macho. Leo swali langu ni hili: Je ni kweli kwamba Hbp inaweza kusababisha mtu akapoteza uwezo wa kuona(vission)? Je, kama jibu ni ndiyo, nini cha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Matukio ya wanafunzi kupatwa na magonjwa yasiyofahamika ikiwemo kuchekacheka, kushindwa kutembea vizuri na kuanguka hovyo yanaonekana kushamili hapa nchini. Leo vyombo vya habari vimeripoti kizuka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau naomba mnisaidie nina tatizo moja. Tatizo lenyewe ni kutokwa na damu puani. Jana nilitembea sana juani katika kutafuta riziki na niliporudi nyumbani nikafikia kufua na kusafisha nyumba na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau habari zenu? Naomba ushauri wenu. Mimi nafanya kazi katika kampuni fulani kama Medical Officer. Nimekuta health facility haijasajiliwa, nimefuatilia ili isajiliwe na mchakato ulipofika ni...
0 Reactions
1 Replies
967 Views
Nimesikia eti mizizi ya mzabibu ni sumu kali sana kwa binadam endapo ataila,je nikweli wadau?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Iran Produces Anti-Cancer Drug from Reptile Venoms TEHRAN (FNA)- Iranian scientists managed to produce a new type of anti-cancer drug using the venoms of reptiles like snakes and scorpions...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu heshima mbele, Nimekuwa nasumbuliwa kwa takriban muda wa wiki 2 hivi sasa na tatizo la maumivu kwene hip muscle. Mwanzoni ilianza kama maumivu ya hip muscle na baadaye yameshuka mpaka kwene...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Study Produces Good Results for Patients with Alzheimer Disease TEHRAN (FNA)- Although it is a small study and more clinical trials are needed, treatment with the medication gantenerumab appeared...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kuuliza kama kuna hospitali ambayo huwa wanafanya AI Tanzania... Najua kuna hospitali zinaaminika kwa shughuli hizo Nairobi, lakini kwa mtu kutokea Tanzania ni gharama kubwa sana. Naomba...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Kwa yeyote anayeelewa. Mwezi uliopita nimeingia kwenye siku zangu tarehe 29, na mwezi huu nimeingia tarehe 24. Je ni tarehe gani ambayo nitaweza kupata mtoto?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ndugu wana jf nina tatizo la visigino, nikisimama kwa mda mrefu vinaniuma sana. Lakini nikiwa natembea hata km ni safari ndefu haviumi shida ni pale tu ninaposimama mda mrefu. Naombeni ushauri...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Katika pilika za maisha mjini nillikutana na stori ambayo ni mpya masikioni mwangu kutoka kwa watu wazima zaidi yangu na kuniacha na maswali mengi sana. Naomba ufafanuzi wa kitaalamu kutoka kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Laugh is a strong and powerfull forces that has the most positive effect on the body. 1. It improves breathing. 2. Lower blood pressure. 3. Strengtherns the immune system. 4. Relaxes muscles...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu wapendwa katika ukumbi huu. Niliambukizwa ugonjwa unaoitwa gono miezi minne iliyopita. Nikaenda kupata matibabu na kupewa dawa zinazoitwa Cipro pamoja na sindano ambayo...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Jukumu la kwanza kabisa la serikali ni kulinda raia na kuhakikisha maisha ya wake yanakuwa bora kwa case ya Tanzania tazama ibara ya 8(1)(b) ya katiba ya Tanzania. Nimeuliza swali, usingizi gani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom