Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

ni nini kinatakiwa kiafya kwa mwanamke anayejiandaa kubeba ujauzito ili kuepuka matatizo kipindi cha ujauzito?
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Boniface Meena WANASAYANSI nchini wako katika hatua za mwisho kukamilisha kinga ya ugonjwa wa malaria baada ya utafiti kuonyesha kuwa chanjo mpya iitwayo RTS,S ambayo inaweza kukinga ugonjwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana JF. Mimi natatizo la kufa ganzi mguu wa kushoto nikikaa chini muda mrefu.. Kama kuna mtu anajua ni nini kinachosabisha tatizo hilo au tiba yoyote naomba anijuze
0 Reactions
3 Replies
4K Views
binadamu wa kawaida asiyekuwa na tatizo lolote anatakiwa awe na hormons kiasi gani? nini kinasababisha kupungua au kuongezeka kwa hormons? Na kwa watu wenye hormons nyingi kupita kiasi cha...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari zenu wapendwa. Nina tatizo la kutokwa na machozi mara tu nikiingia chooni, iwe naenda kwa ajili ya haja ndogo au kubwa na hata kama haja kubwa ni ya kawaida tu,ni mwaka wa 22 sasa naona...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
MFUMO WA USAGAJI CHAKULA (DIGESTIVE SYSTEM) Tunakula aina mbali mbali za vyakula ambavyo ndani yake vina kabohaiedreti (wanga), protini, mafuta (fats). Chakula tunachokula huvunjwa vunjwa na kuwa...
1 Reactions
4 Replies
19K Views
Wakuu wana JF, Naomba kufahamishwa kwa yeyote yule anayefahamu au kushare uzoefu alio-nao: 1. Mama mja mzito wa miezi saba anaweza kuendelea kula mua/ kudinywa au hairuhusiwi? 2. kuna swala la...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakaka wadada naomba kuuliza,kunauwezekana wa mwanamke kujichua??
0 Reactions
14 Replies
2K Views
mimi ni kijana nileyeoa mwaka mmoja uliopita mkewangu sasa anaujauzito wa miezi7 tofauti na zamani sikuizi kila nikimuomba unyumba anadai nyonga zinauma hivi wanawake wajawazito huwa wanakuwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Busha Lenye Kilo 45 Lamtesa.. Aomba Msaada Wesley Warren Jr Wednesday, October 19, 2011 4:22 AM Mwanaume mmoja wa nchini Marekani ana busha lenye uzito wa kilo 45, busha hilo linamtesa sana...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
jamani mi nikiwa nafanya mapenzi huwa sifiki kilele haraka naweza nikafanya hata kwa saa ZIMA bila kufika kileleni lakini uume wangu una kuwa stil sijui tatizo ni nini pleas naombeni msaada
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Wana JF nawaombeni msaada wenu, kuna rafiki yangu kaja kuomba ushauri kwangu, kiasi sijampa ushauri unaotakiwa mana nimechanganyikiwa na mimi pia. Huyu jamaa yangu anadai kuwa anapotaka kufanya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani nisaidieni hili, kuna dada mmoja mrembo sana naye alikua hayuko tayari kuupoteza urembo wake pamoja na afya baada ya kusikia maji ni dawa ya mambo mengi, kama kutengeneza ngozi iwe nyororo...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Poleni na majukumu ya kila siku wadau. Naomba mnisaide wadau.Mke wangu ana mimba ya mwezi mmoja na nusu.Lakini tatizo kubwa ni kwamba anaumwa sana kiuno na tumbo na damu kidogo kidogo hutoka.Hali...
0 Reactions
12 Replies
12K Views
MIONGONI mwa miti yenye faida kubwa kiuchumi na kimazingira, ni mti wa mlonge. Mti wa mlonge, umekuwepo nchini miaka mingi ya nyuma na kutokana na maajabu yake katika kuhifadhi, kutunza...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wakuu jicho langu la kushoto nashindwa kulielewa kama tujuavyo machoni particle nyingi kama wadudu na vumbi/mchanga huingia acidentally na kutolewa ila jicho langu la kushoto kuna kipindi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nINGEPENDA MFAHAMU YAKUA binadamu anabakreria wengi sana mdomoni kwake kulikoni hata idadi yote ya watu wa Marekani na Kanmada.Ongezeko la bakteria hawa ni kubwa sana kwa wale wanaopendelea...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Binaadam ameumbwa akiwa mwenye uwezo wa kumudu kufanya mambo mbali mbali kwa kutumia mwili wake. Mwili wa binaadam umegawika katika viungo tofauti: Kuna viungo vya kutoa sauti (Vocal), kuna viungo...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
hivi bunduki(pen...c) inatakiwa iwe na urefu na upana wa nchi au cm ngapi ili kmrizisha mwanamke? na zinapimwaje?...na nikweli kunauwezekano wa kutoweza kumpa mimba binti kutokana na udogo wa...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Jamani wakuu,ni muda mrefu nimeumizwa na jambo hili,leo naomba mnipe ushauri..nilipokuwa kidato cha tatu nilijiunga na CHAPUKA(Chama cha wafanya masturbation"puli" Kibaha)..kiasi kwamba matamanio...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom