Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na upele mwilini.Je dawa ni ipi?Upele wenyewe una hali ya ukavu ukavu na kuwasha kwa mbali.Umetapakaa sehemu kubwa ya mwili wangu kasoro usoni.Naoga kwa siku...
0 Reactions
22 Replies
36K Views
wanandugu, nimefurahi sana na JF doctor forum jinsi watu wanavyotoa maelezo mbalimbali ya afya. ninaomba mwenye maelezo yakinifu kama ya MziziMkavukuhusu kuzuia ugonjwa wa kansa ya kibofu cha...
1 Reactions
7 Replies
14K Views
Hello wanajamvi. Salamu za upendo kwenu... Ningependa kufahamu madhara yatokanayo na matumizi ya "Magic Powder" kwa wale wasiofahamu jina hlo! Namaanisha ule unga unaotumika kunyolea hasa...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kwa ujumla wake, karoti ni mboga yenye kiasi kingi cha Vitamini A. Mbali ya vitamini hiyo, karoti ina virutubisho vingine muhimu vyenye uwezo wa kuzuia magonjwa hatari, kama vile saratani, moyo na...
1 Reactions
8 Replies
8K Views
Hivi ni dawa gani ukinywa mara mbili unakufa? Ni nini kinacho sababisha ufe? Ufanyeje kama umekunywa na hukupona magonjwa yako?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
nianze na salam kwenu wana jf ! Jamani hivi kunakuaga na uhusiano gani pale m2 anapovuta sigara at the same time anakuwa anahisi kupata choo na anapokwenda toilet inakuwa nothng chochote ! Je hii...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana jamii...jamani natumaini kila mtu ana professional yake, kwetu sisi swali kama hili ilibidi nijing'ateng'ate saaaana kumsaidia huyu dada. In short kuna dada ofisini kwetu ana ujauzito...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
-Serikali inaomba kuajiri jumla ya wataalamu/wahudumu wa afya 9,391. Kati ya hao wote madaktari, bingwa na wale wa kawaida wanaohitajika ni kama 300 (3.2%) tu. -Wilaya na manispaa nyingi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Source: MNH Interview to Dr. Devi Shetty, Narayana Hrudayalaya (Heart Specialist) Bangalore A chat with Dr.Devi Shetty, Narayana Hrudayalaya (Heart Specialist) Bangalore was arranged by WIPRO for...
0 Reactions
0 Replies
887 Views
Nimeweka kwa ajili ya kuelimishana na sio kwa matumizi ya mambo mengine Embarrassing Bodies | Health Guides | Videos | STI Checker | Channel4.com/bodies
0 Reactions
0 Replies
1K Views
How Drinking, Smoking, And Eating Junk Food Can Affect Your Appearance. A before-and-after image of 42-year-old writer Anna Magee: now (left), and what she is projected to look like after...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimekuwa nikisikia habari kuwa mti (wengine wanauita mlonga)huu umekuwa ukitumika kama zindiko katika mahospitali na umekuwa ukipandwa ktk entrance za hospitali. Kwa anaejua zaidi kuhusu habari ya...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
huyu jamaa wa marekani ana BALLS POUNDS 100 CAN U IMANGENE? WATCH HIS VIDEO HERE UNAEZA LIA ©MPANGO: A Man With 100-Pound Balls Need 1 Million For Surgery
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni bint wa miaka 28 nina shahada ya kwanza, huwa siwez kabisa kuconcentrate mtu anapoongea na kumwelewa kwa haraka, akiwa katikati mie nimeshahamia kwingine kabisa Mfano kwenye Mikutano eg...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
mdogo wangu wakike anatatizo kabla hajafika kwenye cku zake huwa anaona bleed kidogo inakatika kwa muda wa kama siku 4 hivi inakua inatoka kitone inakatika baada ya hapo eti anakua mkavu kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nina rafiki anatatizo huwa akiwa na mpnz wake faragha wakiwa wanafanya ile mbuzi kagoma kwenda huwa kuna sauti inatoka
0 Reactions
1 Replies
947 Views
Habari wandugu, hivi hang-over/mning'inio una dawa? maana hapa nina hang over ya hatari baada ya jana kunywa sana pombe. jamani mwenye kujua dawa naomba anijulishe ili nijitibu. natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Huyu mzee bado yupo. Dentists wanamwita Father of Dentistry. At times nahisi ni vema wataalamu kama hawa wakafuatwa na media na kupata kufahamu experience zao na maoni katika nyanja mbalimbali za...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salam wakuu, nianze kwa kuwashukuru wataalamu wote wanaochangia humu jamvini, tatizo langu ni hili, kpnd cha kma miezi 2 niltumia mashne mja hv yenye mwnga mkali ss hv macho yangu yanauma nikiona...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kuweni na tabia ya kujikagua matiti kuepukana na matatizo ya advanced breast cancer. Pia toeni elimu kwa mwanamke yeyote unayefahamiana naye kwa wale wanaojua. Coz u may find a breast lump when...
0 Reactions
2 Replies
999 Views
Back
Top Bottom