Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Ni vitu gani vitakusaidia kumtambua mwanamke ambaye hajawahi kufanya tendo la ndoa?
0 Reactions
23 Replies
71K Views
Aloo wakubwa Matumaini yangu mko vizuri na ambao Afya zao haziko sawa Basi na Mwenyezimungu awasaidie wakae vizuri, Leo nataka tushee kitu kuhusiana na Afya ya macho. Wengi wamekuwa wakisumbuliwa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
KUNYONYA SEHEMU NYETI ZA MWANAMKE KUNA MADHARA MAKUBWA KIAFYA. Wanaume wengi wana maswali mengi sana hapa, kunyonya au kulambalamba sehemu za siri za mwanamke ni njia mojawapo ya kumuamushia...
18 Reactions
374 Replies
158K Views
Habarini wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu ni tatizo ambalo linanikuta Mara kwa Mara kabla sijaenda nakuwa na hu lakn nikifika tu basi hamu yote inaisha na maumbile husimama kwa...
1 Reactions
46 Replies
7K Views
Habari wakuu poleni na majukumu,naomba niende kwenye maada moja kwa moja. Kwa muda mrefu nimekua nikisumbuliwa na mwili kuchomachoma hasa kuanzia kwenye ngozi ya kichwa mpaka kifuani na...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari zenu wanajamii, Nakumbuka miaka ya nyumanyuma nkiwa mdogo nimewahi kutolewa funza mara kadhaa miguuni na nikawa nikigombeshwa sana kuhusu kuchezea mavumbi, mazingira machafu na...
1 Reactions
14 Replies
16K Views
Machungwa yamejaa vitamini na madini, lakini je, yanaweza kuzuia homa? Tunaangazia kwa undani jinsi matunda haya yanaweza kuchangia ustawi wa afya yako. Machungwa ni nini? Chungwa ni tunda la...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya kuonana na dakitari na kufanya vipimo nimekutwa sina tatizo la magonjwa ya zinaa ialkini nikakutwa na UTI nikapewa dozi ya sindano ya kuchoma kwnye mshipa kwa siku tano. Kinacho...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Waswahili husema, ‘nyumba ni choo’, wakiwa na maana kuwa nyumba haiwezi kuwa kamili bila kuwa na huduma hiyo ya choo. Hata hivyo, pamoja na umuhimu wa choo, lakini si kila nyumba iliyo na choo...
4 Reactions
73 Replies
17K Views
Habar wakuu baba yangu anataka kwenda kufanyiwa operation ya kuzibua mishipa ya moyo JKCI..vip wakuu kwa uzoefu wenu kwa yoyote amabae amefanyiwa hii operation
0 Reactions
2 Replies
336 Views
Chakula ni kirutubisho muhimu sana kwa wanadamu na maisha hayangewezekana bila lishe bora. Hata hivyo licha ya umuhimu wa lishe kwa mwili wa mwanadamu, wataalamu mara nyingi huwa wanazingatia...
1 Reactions
1 Replies
981 Views
Kulingana na wataalamu, zabibu ina vitamini C mara nne zaidi kuliko vinjwaji vingi vya juisi wakati oksidi pia hupatikana ndani yake. Zabibu pia inaweza kutumika kwa madhumuni ya matibabu katika...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Baadhi ya watu wengi, wanapotayarisha matunda na mboga mboga wana mazoea ya huzimenya. Hata hivyo, mara nyingi sio lazima. Kuna virutubisho muhimu kwenye maganda. Kando na hilo, maganda ya matunda...
2 Reactions
1 Replies
931 Views
Maelezo ya picha, Mwanamke akila burger na vibanzi Mwanamke ambaye ana mazoea ya kula vyakula vyenye mafuta mengi na sukari bila ya kutumia matunda kwa wingi, yumo kwenye hatari ya kutopata uja...
0 Reactions
0 Replies
442 Views
Kamasi ni sababu ya magonjwa yote. RIP DR.SEBI Hili ndilo swali nililoulizwa mahakamani, kwamba kwa nini tunatoa madai haya na kwa nini tulifanikiwa sana na kinachoendelea ni kwamba ugonjwa huo...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Jibu la haraka ni mtu yoyote. Tiba ya chiropractic inasimama zaidi kwenye kinga kuliko tiba, unapata kinga kwaajili ya kuzuia magonjwa ya uti wa mgongo na magonjwa mengi ambatanishi. Ijapokua tiba...
0 Reactions
0 Replies
349 Views
Wakuu kwema.? Hope mko salama. Leo nimetimiza mwaka tangu nimeoa, Mungu ametubariki mtoto mmoja na anaendelea vizuri Nikiwa mwanaJF nimekutana na nyuzi nyingi zikiongelea suala la kuzama...
40 Reactions
429 Replies
76K Views
Wadau nawaombeni msaada, kisigino changu cha mguu wa kushoto kinaniuma sana utafikiri labda kuna msumari umeingia, nimewaona wataalamu wengine wakasema huenda ni uzito nipunguze uzito. Nimefanya...
1 Reactions
36 Replies
26K Views
Siku hizi mwili wangu umekuwa dhofrihali! Siko active kama nilivyokuwa kipindi cha nyuma. Nimejawa na uzembe sio uzembe, mchoko sio mchoko, yaani nipo nipo tu. Nikijiegesha tu, hata dakika haiishi...
2 Reactions
25 Replies
972 Views
Wakuu, Kunuka harufu mbaya (kikwapa) ni ugonjwa au uchafu? kama ni ugonjwa kuna dawa? Kuna hii hali ambayo mtu ananuka kikwapa wakati wa kula tunda (wakati mwingine aaaah yuko safiii tu). Je...
0 Reactions
581 Replies
192K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…