Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Ni sehemu kibao kwa watu tusiojuana hudhania mimi ni kijana mdogo wa miaka 25 kumbe ni mtu mzima nina 33 mwakani mapema tu naingia 34. Mwili, Ngozi na sura bado vinawachanganya wengi kuhitimisha...
23 Reactions
49 Replies
3K Views
Kwa mfutiliaji na mtu anayejua kiasi sayansi atagundua kuwa hii mimea yote ni jamii ya legumes! Jamii hii ya mimea ina sifa ya kuweza kugeuza hewa ya Nitrogen kupitia mizizi yake. Nitrogen...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Hii shida ninayo sana ya usingizi ulioptiliza. Kila nikipanda gari, daladala hata safari fupi lazima nilale fofofoo. Shida hii imepelekea kupitilizwa vituo sometimes. Je, hili tatizo dawa yake nini?
22 Reactions
57 Replies
3K Views
A serious liver infection caused by the hepatitis B virus that's easily preventable by a vaccine. This disease is most commonly spread by exposure to infected bodily fluids. Symptoms are variable...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Naomba kujua faida na hasara, kiwango sahihi kiafya kwa siku, unywaji salama na kiwango hatarishi kwa siku nk
0 Reactions
7 Replies
1K Views
𝐌𝐤𝐚𝐚 𝐰𝐚 𝐤𝐢𝐟𝐮𝐮 𝐜𝐡𝐚 𝐧𝐚𝐳𝐢 𝐮𝐤𝐢𝐮𝐬𝐚𝐠𝐚 𝐡𝐮𝐭𝐮𝐦𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐝𝐚𝐰𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐯𝐢𝐭𝐮 𝐯𝐢𝐟𝐮𝐚𝐭𝐚𝐯𝐲𝐨; 1.𝐇𝐮𝐨𝐧𝐝𝐨𝐚 𝐬𝐮𝐦𝐮 𝐦𝐰𝐢𝐥𝐢 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐦𝐭𝐮 𝐚𝐥𝐢𝐲𝐞𝐤𝐮𝐧𝐲𝐰𝐚 𝐬𝐮𝐦𝐮 𝐡𝐚𝐬𝐚 𝐛𝐚𝐚𝐝𝐚 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐭𝐚𝐩𝐢𝐬𝐡𝐰𝐚. 2.𝐇𝐮𝐭𝐮𝐦𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐚𝐚𝐥𝐚𝐦𝐮 𝐰𝐚 𝐝𝐚𝐰𝐚 𝐳𝐚 𝐚𝐬𝐢𝐥𝐢 𝐤𝐮𝐮𝐧𝐝𝐨𝐚...
4 Reactions
0 Replies
2K Views
SWALI langu ni moja tu: Je, kufanya ngono mara kwa mara kunadhoofisha mwili? najua humu JF kuna wataalamu wa afya wa viwango mbalimbali. Naombeni mnisaidie hapo kwa kunijibu kisayansi maana naskia...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Habarini za asubuhi wakuu, Mimi nasumbuliwa na Macho. Nilianza kuvaa miwani tangu 2008. Na huwa kila mwaka au miaka 2, napima na kupewa miwani mingine. Sasa mwaka huu, macho yakanisumbua...
0 Reactions
2 Replies
604 Views
Natumaini mnaendelea salama ndugu zangu. Rejea somo tajwa hapo juu Kumekua na tabia ya kunyonyana ndimi na kunyonya nyonya maeneo mbali mbali ya wapenzi wetu pamoja na kumpa mic mwanamke arapu...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Siku hii inalenga kuongeza uelewa kuhusu umuhimu wa ganzi katika matibabu. Pia kuwawezesha watoa huduma za ganzi Duniani kusherehekea taaluma yao. Kaulimbiu ya siku hii pia inalenga kuongeza...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nawasalimu nyote kwa nguvu za huyo atiaye uhai. Kwa mtanzania wa kawaida asiye na bima ndan ya dar wapi pa uhakika kupima vipimo tajwa hapo juu kwa wakat mmoja? Bajet yake ni sh ngap? Mwenye mzaha...
1 Reactions
2 Replies
399 Views
Lishe bora kwa mama anayenyonyesha ni muhimu ili: Kuwa na afya bora kwani humpatia virutubishi vya kutosha kutokana na ongezeko la mahitaji ya virutubishi wakati wa unyonyeshaji Kuhuwezesha mwili...
0 Reactions
0 Replies
706 Views
Niende kwenye hoja. Sijui ni ugonjwa gani huu, mapele na yakipasuka yanageuka madonda. Watoto wanawashwa na akijikuna anazidisha maambukizi na madonda huwa makubwa na kwa dalili ilivo inaonekana...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi!! Moja kwa moja kama mada inavyojieleza, kuna mtoto wa miaka miwili hivi sasa ila bado chakula kwake ni kama anapigana vita hadi akabwe na mama yake ndo anyweshwe uji ila...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za majukumu wana Jf. Moja kwa moja niende kwenye dhumuni. Rafiki yangu amepatwa na hali ambayo kwangu Mimi ni ya kushangaza lakini pia inaogofya kidogo. Amekuwa akitokwa na aina fulani ya...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Habarini wapendwa Doctors na wakemia, Napenda kujua je inawezekana kumfanyia DNA mtoto ambae babaake ameshafariki ili kujua ni kweli aliekufa ni baba halisi pindi mtoto anapoletwa na mama ambae...
4 Reactions
54 Replies
5K Views
Ndugu zangu mimi na sumbuliwa na matatizo ya tumbo langu alihumi apana Bali kuna kipindi na sikia maumivu kama nachanwa na kitu tumboni Napia na jamba saana na migurumo tumboni na nina sikia miguu...
0 Reactions
51 Replies
6K Views
Kujamiana (ama tendo la ndoa) ni moja ya mambo muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. 1. Hulinda mwili dhidi ya magonjwa ya moyo. 2. Huongeza ukakamavu wa mifupa. 3. Hupunguza msongo wa...
2 Reactions
1 Replies
976 Views
Back
Top Bottom