Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Najitahidi kula na ninashiba but baada ya mda mchache kama lisaa tu njaa inaniuma vibaya nimeenda hospitali nikapewa dawa za minyoo na nikashauriwa niwe natumia kila baada ya miezi miwili but...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Nina binti mwenye miaka 18 mwezi huu kapata tatizo la kuingia kwenye siku zake mara 3 ndani ya mwezi mmoja je tatizo hili laweza kutokana na nini? haijawahi kumtokea hapo kabla
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ni tiba gani inaweza kutumika kwa jipu lililochimbika kutokana na maumivu makali halikuweza kukamuliwa likaisha, kuna tiba yoyote ya kukausha bila kukamua?
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ndugu JF doctors hebu msaada wenu hapa njia panda.... Watu wengi husema ukinywa kahawa hupati usingizi na ukitaka kupata usingizi unywe sijui ndio piriton au valium... Sasa mimi niko kinyume...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu wana jF.Bila kuchelewa ngoja niwasilishe tatizo langu.Nina mpenz wangu nampenda sana pia kutokana na usafi wake wa hali juu huwa ananifanya nijisikie hamu ya kushea nae mwili(kufanya)...
0 Reactions
57 Replies
7K Views
Two brothers, both alike in heritage, but as different as black and white. Ebony and ivory. Night and day. You get it. If one thing's clear about 18-year-old British twins James and Daniel Kelly...
0 Reactions
0 Replies
942 Views
Katika hali ya Kushangaza Hospitali inayotajwa kuwa ni ya Wilaya ya Chato ( kwa Magufuli) kuna utata mkubwa kuhusu wahudumu walioko Hospitali hapo kuwapatia huduma wagonjwa. Wagonjwa wengi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hivi viagra inapatikana hapa Bongo? Ni kweli kuwa ina side-effects?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mwanaume miaka 30 anatatizo la kukojoa mkojo wanjano kama wiki sasa japo hali hii inatokea na kupotea. Tatizo lake ni nini na matibabu yake ni nini?
0 Reactions
20 Replies
18K Views
Jamani nina hamu sana ya kupata watoto mapacha, ni jinsi gani na wakati gani "nikifanya" naweza kupata watoto mapacha? Naomba sana wadau/wataalamu mtujuze juu ya hili.
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Nina tatizo kubwa sana la meno toka nikiwa mdogo nimekuwa nasumbuliwa nayo. Almost yote yameoza ila nimekuwa nikiyaziba sina raha nimeshauriwa kuwa kuna teknolojia mpya imekuja tz ukiacha ile ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Asalaaam aleykum wana Jf wa jukwaa hili lenye msaada mkubwa kwa jamii! Kwa mnaofaham naombeni mnisaidie katika jambo hili... Ki ukweli sijaoa na naamini hakuna madhara zaidi ya yale yakisaikolojia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nnarafiki yangu amekua na tatizo lakusahau kupita maelezo yaani muda mwingine mmeongea hapo haichukui hata muda hakumbuki anasoma sana na vitu anaelewa lkn anasahau kuna watu walimwambia chanzo ni...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Gene explains why treatments fail some with asthma.Poor response to inhaled steroids likely inherited* Understanding could lead to personalized asthma drugs.Genetic differences could explain why...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
I GOT THIS MAIL AND THOUGHT OF SHARING IT WITH YOU. What is the correct way of eating fruits? We all think eating fruits means just buying fruits, cutting it and just popping it into our...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu mama yangu anaumwa sana,tatizo lake anasumbuliwa na hedhi,kwani tangu mwezi wa saba alikuwa hajaona siku zake za hedhi,kwa sasa tatizo imeanza kama wiki mbili zilizopita anatokwa na...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Wakuu salaam! Kuna uncle wangu anateseka sana kwa ugonjwa ambao kimsingi haujafahamika kwa familia. Hata hivyo, baada ya mimi mwenyewe kufuatilia kwa karibu nikagundua kuna ugonjwa unaoitwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Arjen M. Dondorp, M.D., Ph.D., Rick M. Fairhurst, M.D., Ph.D., Laurence Slutsker, M.D., John R. MacArthur, M.D., Joel G. Breman M.D., Philippe J. Guerin, M.D., Ph.D., Thomas E. Wellems, M.D...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Uric acid is a chemical created when the body breaks down substances called purines. Purines are found in some foods and drinks, such as liver, anchovies, mackerel, dried beans and peas, beer, and...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
HILI TATIZO NI LANGU MIMI MWENYEWE. Yapata mwezi mmoja hivi nimekuwa nikiexperience kitu cha ajabu sana mwilini mwangu nacho ni uwezo mdogo wa kufanya ngono. Lakini cha kushangaza, hili halitokei...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom