Naombeni ushauri jamani, mimi niko wiki ya 37 ya ujauzito sasa , nilikuwa nawaza je kuna uwezekano wa kujifungua salama iwapo mtoto wa kwanza nilipomzaa alisumbua sana na kupasua njia kipindi na...
Mkono haujateguka wala haujavunjika, ila ukiunyanyua kuna kama nyama zinachanika, na mara moja moja huwa unafyatuka kabisa. maumivu ni makali sana. msaada jameni!
Kinga ya mwili ndiyo kila kitu katika afya ya binadamu. Kinga ya mwili ni ile hali ya mwili kuwa na uwezo wa kujikinga wenyewe dhidi ya maradhi mbalimbali. Ukiwa na kinga imara ya mwili, huwezi...
Mouth and throat cancer, called oropharynx cancer, used to be a disease seen most commonly in elderly persons. Tobacco smoking and alcohol use were known to be the leading causes of oropharyngeal...
Nna dem wangu yapata mwaka sasa. Bt nimeshangaa tangu juzi nikisex nae baada ya bao la kwanza nguvu zinaisha kabisaa wkt ye anakuwa bado anaitaji. Analalamika eti either na mtu mwingine wkt sina...
Ni muda kidogo nimepata kuombwa msaada wa dada anayehisi wmili wake kuwasha kwa ndani na anahisi ni katika mfumo wa damu hususani mikononi na mgongoni.
Kwli nilishindwa kumsaidia walau hadi nipate...
Wana jf, hbr ya asbh. Aisee mchumba wangu kuna kipindi anaumwa chuchu zake, na hii imeanza tangu mwaka jana. Naomba msaada wenu ili nijue nn kisababishi na kama inaweza kutibika.
The most popular contraceptive for women in eastern and southern Africa, a hormone shot given every three months, appears to double the risk the women will become infected with H.I.V., according...
Kwa kadri ya reporter wangu, kadai hizi pamba za masikio sio nzuri, kwa kadri unavyozidi kutumia, unaousukumiza kiasi flani cha uchafu katika interior part of the ear. Sasa huu uchafu ukigusa part...
Habari wanaJF?,nitangulize shukran zangu kwa wanajamvi wote kwa michango yenu yenye kuelimisha sana.
Kwangu mimi JF ni zaidi ya darasa tena la bure kbs...
Ok mi naomba kusaidia kujua...
Ndugu wana JF.
Nimebahatika kuongea na wafugaji watatu wa kuku wa nyama wa kisasa (broilers) hivi karibuni. Nimegundua kuwa siku hizi kuku wa nyama wanakuzwa kwa wiki tatu (3) hadi (4) tu. Madai...
Tafadhali nisaidienimwenzenu boyfriend wangu ambaye ndiye mchumba ameniacha bila sababu za msingi, nilimpenda sana na kibaya zaidi nimepata ajali ndo akaanza visa mpaka kuniacha. siwezi hata kula...
Jamani msaidiz wetu wa kazi kameza vidonge 14 vile vya uzazi wa mpango.je kuna madhara?mpaka sasa namuona ana nguvu kama kawaida.kuna madhara kiafya.anadai hajaöa siku zake.
Jf doctor, naomba msaada wako kuhusu matumizi sahihi ya mu aloe vera, mana kuna sites fulani nimezisoma, baadhi zinadai kuwa ni vyema kuitumia aloe vera kwa matumizi ya nje (external use) kwa...
Sina lengo la kuwatisha wanywa bia, lakini naamini inabidi tuwe makini.
Bia hutengenezwa kwa nafaka ambazo 'kwa kawaida' hushambuliwa sana na fungus na kupelekea kuwa na fungal toxins...
Namba msaada wa mawazo,nasumbuliwa na tatizo la kuwashwa masikio kwa muda mrefu{miaka 5} hospitali nilipewa vidonge na eardrops havikusaidia,yanawasha kavukavu hayatoi maji. naomba mawazo yenu.
Wadau naomba kujua ni ipi njia itayosaidia kwa mtu ambaye ukinywa maji ya kutosha kama inavyoshauliwa haipiti muda mrefu unaanza safari za kwenda kukojoa mara kwa mara?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.