Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

jamani nsaidieni ninasumbuliwa na kichefuchefu mate yanajaa mdomoni nahisi kutapka ila sitapiki,nlenda hospital nkaambiwa nna minyoo nkapewa dawa kweli nkaona nafuu ila baada ya wiki 2 tu hali...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
naombeni msaada nina wiki 15 ya ujauzito but mtoto hachezi kama mwanzo, nilipokuwa na wiki 7, na 8 ..yaani sasa huwa anajigusa mara moja kwa siku au 2, but nikisikiliza mapigo ya moyo huwa...
0 Reactions
20 Replies
20K Views
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakuu Heshima mbele Nimeona Tu share Ideas kuhusu Maziwa ya ngamia na Mkojo wake bonya hapa TUWE PAMOJA
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kupata vidonda kwenye mdomo hasa sehemu ile (kamshipa kanakoshika fizi) ambayo mdomo uwe wa juu au wa chini unashikwa na fizi. Kunatokana na nini?
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Asante sana wana JF.Naomba msaada,mwenzenu kila siku lazima nifanye mapenz ndio najisikia vizuri,hii inatokana na nini?Na zipi athar zake kiafya?Mama watoto wangu ni mvumilivu lakini nahisi ipo...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Wanajf naombeni msaada kwa tatizo linalonisibu, kila ninapotoka kuoga ndani ya dakika chache ngozi yangu huwa inawasha sana. Nimejaribu kutumia medicated soap lakini bado tatizo liko palepale...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
My youngest son is 10 m.o,miezi miwili sasa anasumbuliwa na vipele sehem za makalio, vidogovidogo sana - kama ukurutu vile! Vinamuwasha sana, hasa wakati wa usiku-anajiuna mpaka usingizi...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Aids virus vaccine 'could remove ALL traces of disease from sufferers for the rest of their lives' Last updated at 8:32 PM on 11th May 2011 Vaccine enables immune system to be...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habaree wanathinker ninaomba mmusaidie rafiki yangu huyu mana nimeshndwa kumpa ushaur mana cjui nimwambie nini? Ninajamaa yangu yeye ni mfanyabiashara wa kusafiri safir ameoa na anamke na watoto...
0 Reactions
71 Replies
6K Views
Read more: Stiff Competition: Could a New 'Viagra Condom' Encourage Safer Sex? - - TIME Healthland The problem with condoms is that they don't get used as often as they should. But an...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Natumaini wazima wana JF, Mimi nina tatizo la kutojisikia kula chakula, sipati hamu ya kula kabisa. Sasa yapata miezi 6 nina hili tatizo. Nimetumia vidonge vya vitamini B lakini bado hilo tatizo...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Why sugar is the new health worry Photo | Joseph Kanyi (posed by model) | NATION That sweetened tea, juice, chocolate or cake you are reaching out for may have...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu hivi inashauriwa kiafya mara ngapi kwa wiki kupiga punyeto? Maana kulikuwa kuna kamjadala maeneo flani, so nikaona nije niibe nondo hapa probably naweza ambulia chochote. NOTE: seriousness plz
0 Reactions
13 Replies
3K Views
naombeni msaada jamani,asubuhi kabla hata sijaamka nimejisikia kizunguzungu,hii inaweza kuwa imesababishwa na nn jamani?naomba jibu kwa wajuz
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu wana JF, nitumain langu mu wazima wa afya, mimi nina tatizo la jicho la kulia,ambapo huwa ngoz ya jicho hucheza cheza kwa ndan, yaan km mishipa huvuta vuta nahisi km jino linafumba fumba...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nipo Tumaini Hosp. Ndugu yangu amelazwa, Alianza kutumia ARV AUGUST 2010, akiwa na CD4- 219. April 6. 2010 akapima CD4 ikapanda mpaka 1000. Akaenda Kwa BABU LOLIONDO tar 11 april 2011. Baada ya...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Albinos in Tanzania murdered or raped as AIDS "cure" Thu May 5, 2011 8:53am GMT * Albino body parts thought to bring luck in love, business * Shame deters rape victims from reporting abuse...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani naugua kiuno,kiuno changu kinauma sana,haja kubwa ni kavu mno,kuna wakati hata miguu na makalio yanashika ganzi.na siku ninayofanikiwa kupata haja kubwa korodani zangu huwa zinauma baada ya...
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Salam wana JF, Naomba msaada wa wenu. Nina mzee wangu(75yrs) ana tatizo la mate kukauka,kwa hiyo anakunywa maji mengi ili mdomo usikauke. Je huu ni ugonjwa?Au kuna mwenye kujua tiba yake...
0 Reactions
1 Replies
13K Views
Back
Top Bottom