Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wana JF mimi ni baba wa mtoto mmoja ambae anamiezi minne sasa na jirani yangu pia anamtoto ambae umri wake unapishana na wangu kwa siku tatu lakini jirani yangu alianza kumnywesha mtoto uji...
0 Reactions
3 Replies
14K Views
Jana nilikuwa kwenye lift za jengo la PPF Tower. Mara nyingi nina tabia ya kupenda kuimba au kupiga mruzi hata ninapokuwa mwenyewe au hata niapotembea. Lakini ninapkuwa kwenue public basi hata...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi ni men nina tatzo kubwa sana mdudu wangu akisimama kwa muda mrefu sana inaweza nikawa na mwanamke hiyo siku basi natokea na matatizo ya sehemu ya juu kuuma kama nina ngiri sijui ni tatzo gani...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Salaam wana jf,mtoto wa miaka 8 meno yameotea kwa ndani wakati ya mbele yahatikisiki wala kuonyesha dalili ya kung'oka.nisaidieni uzoefu wenu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wale wenye satelite dish, kuna tv station inaitwa hope channel ambayo kwa kweli inavipindi vizuri na ushauri wa madoctor kuhusu matatizo ya afya ambayo mengi yanaepukika.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
hey guys,i need ur advice on this..i hav a problem where semen leaks out of my dick as soon as i get aroused..i thought it resulted from masterbation and i stopped masterbating,bt it has been...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wadau naomba kuuliza ikiwa dawa ya babu wa Loliondo ni sumu na ina madhara Tanzania itakuwa na viongozi wangapi salama?idadi ya raia itabaki million 40 na zaidi kama ilivyo sasa?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naitafuta popote ilipo hii dawa nina mgonjwa anahitajika kutumia hii dawa....wapi naweza ipata?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nnajamaa yangu anatatizo la kushindwa kufanyakazi kwa figo.hali inayompelekea kuishiwa damu mara kwa mara ,je kwanini damu huisha mara kwa mara na je suluhisho ni nini ukiondoa kubadilisha figo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Doctors, naomba msaada. Nina miezi kama minne nimekuwa nikisumbuliwa koo linalowasha kama mtu anayekaribia kupata mafua au kikoozi. mwanzoni hizi zilikuwa dalili za mafua au kikoozi kwangua...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Asalam alykum ndugu zangu kwa wale wenzangu amani ya bwana iwe juu yenu... Have u ever seen some 1 allergic to lights..??? Ugonjwa kwa kitaalamu unajulikana Acute intermittent porphyria or...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapendwa wana JF naomba kupata ufafanuzi juu ya swali langu hili,"Katika kufanya mapenzi kuna wanaume wengine huwa wakishafika kileleni mara moja hawawezi kurudia tena mara ya pili mpaka labda...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni ushauri wenu wana Jf. Mimi nilipata ajali barabari hivyo kuna mfupa umevunjika sehemu ya nyongo ktk mguu. Hivyo naomba mnishauri sehemu ambapo kuna mtaalamu/watalaamu freshi wa...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
hivi kufanya mustubation kwa wanaume kuna madhara yeyote? msaada wenu tafadhali
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Make sure you read the report attached and provide your insights in relation to the implementation of the research study, results and recommendations. I am inviting wanazuoni wote wa fani ya afya...
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Ndugu zangu wanaJF hii imekuwa siri yangu ya muda mrefu bt leo naiweka wazi, ikiwezekana mnipe ushauri. Mwenzenu kwa muda sasa nimekua nikipatwa na yale matatizo ya kiume wakati wa mambo fulani...
0 Reactions
78 Replies
19K Views
JF member kama kawaida naomba kupata ushauri kuhusiana na tetesi ambazo nimewahi kuzisikia; eti chuchu zile ambazo zipo kama chupa au kikombe zinazo tumika kumnyoshea mtoto maziwa zina mazara kwa...
0 Reactions
12 Replies
11K Views
Habarin wanajamii wote humu ndani,natumain mu wazima wa afya! Wagonjwa polen na natumain MUNGU atawaponya! Sasa JF doc mi ninataka kufaham jambo moja! Kwamb haya maziwa ya Nido yanamadhara yoyote...
0 Reactions
2 Replies
8K Views
MCHUNGAJI Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Mwasapila, amewatoa hofu wagonjwa wa Ukimwi ambao wamepata tiba yake na baada ya kupimwa wameendelee kukutwa na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom