Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

This news is very goodas its local scients getting advanced. Source :: IPPMEDIA
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habar zenu wana JF. kumekuwa kuna tatizo linalomkabili rafik yangu.kwamba kila anapokutana kimwili na mpenz wake amekuwa akiwashwa sana sehem za mgongo na kifuan. hivyo amekuwa akipata michubuko...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
wandugu Habari zenu, Kuna Mdogo wangu anamiaka 15 anatatizo la Ini, Naomba Ushauri wenu wa Chakula Anachopaswa Kula
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Heshima kwenu wanajamvi, nimekuwa na tatizo la kusinzia muda wa masomo hasa yale ambayo si ya Practical, naombeni msaada kama kuna dawa ya kufukuza usingizi maana nimejaribu kahawa lakini kama...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Jaman madaktar naomba niulize.Mke wangu alikuwa hedhi tarehe 12-16.Tareh 16 hiyo hiyo nimefanya nae mapenzi.JE ANAWEZA KUPATA MIMBA?Natanguliza shukrani kwa madaktar wa JF
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tafadhali kama kuna mtu yeyote anayeijua au anafanya kazi Hospitali ya IMTU, Mbezi. Jamani Hospitali yenu vyoo vichafu, mtoto anatapika mama anaambiwa azoe matapishi mwenyewe, tena kwa ndoo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jamani nauliza tuu! Kuna madhara ya kufanya mapenzi kila siku na je katika wiki inataka lifanyike mara ngapi?
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Karibu wana JF, namba kujuzwa mambo yafuatayo kuhusiana na mtoto mchanga. Ni muda gani tangia kuzaliwa anaweza kutoka nje? Ni muda gani tangia kuzaliwa anaweza kuanza kula chakula kingine zaidi...
0 Reactions
20 Replies
33K Views
Habari wapendwa, naomba msaada wa kupatiwa taarifa za clinic na massage centre nzurikwa ajili ya akina mama wajawazito iliyopo Dar es salaam. Nimewahi kusikia juu Primier clinic naomba wanaofahamu...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nina mpenzi wangu na kweli nampenda sana! Ila huwa nakosa raha na hata hamu wakati wa kujamiiana! Yaani anakuw anatoa harufu kali sana uken wakati wa lile tendo! Kiukwel huyu mpenzi wangu ni msafi...
0 Reactions
49 Replies
19K Views
Another little tidbit that's news to me. Always knew to drink a lot of water, but who knew the timing effected things. Drinking water at the correct time maximizes its effectiveness on...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
As the old proverb goes, health is equivalent to wealth. In the modern world, often individuals are not able to take out time from their busy schedules and take care of their health...
0 Reactions
0 Replies
916 Views
Jamaani ndugu zangu nimejaribu kutumia dawa mbalimbali kama amoxilakini haijanisaidia,nasumbuliwa na kubanja kwani hata kucheka mbele za watu siwezi kwani nikicheka tu kidogo ninabanja hadi aibu...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Audio Njia Panda "Uponjaji" wa Loliondo pt. II Audio iliyopachikwa hapo ni ya kipindi cha pili cha Njia Panda ambacho ni mwendelezo wa "Uponyaji wa Loliondo" kilichorushwa na redio Clouds FM...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Audio: Njia Panda - "Uponyaji" wa Loliondo Audio iliyopachikwa hapo ni ya kipindi cha Njia Panda kilichorushwa na redio Clouds FM kila siku za Jumapili. Kipindi kilichorushwa hewani tarehe 27...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani wana jamvini naombeni nasaha zenu nina rafiki yangu ambae alinieleza kuwa bunduki yake imepinda kidogo kuelekea kushoto sasa alikua anauliza je kunatatizo? Coz ana tarajia kuvuta jiko na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba msaada, kila ninapopanda katika basi au kukaa pamoja na watu zaidi ya watatu nahisi kubanwa na haja kubwa(stool). Nikienda chooni kakitoki kitu na nikiwa katika usafiri baada ya kushuka...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari Wana JF Naombeni mnisaidie wenye kujua aina ya vyakula vya kuupa mwili Joto ambavyo havinenepeshi! kama vipo
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Kwanza napenda kuwashukuru wanaJF kwa jinsi mnavyosaidia kuijenga jamii yetu. Mimi ni mwanaume nimekuwa nikisumbuliwa tatizo la kuwahi kumaliza kila ninapofanya mapenzi na GF wangu tatizo...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom