Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

  • Closed
Habari zenu, natumaini wote ni wazima. Ninaomba mawazo yenu juu ya swala langu. Mwishoni mwa mwezi wa name nilianza kupata vipele mfano wa malengelenge katikati ya vidole vya miguuni, upele...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari zenu ndugu zangu wanaJF! Hapa nina tiba maridhawa na suruhisho kwa wale wanaosumbuliwa na maumivu ya kiuno. Dawa hii ni mchanganyiko wa mimea miwili tu ambayo ni dhahiri ukiitumia...
1 Reactions
3 Replies
12K Views
Nimekutana na jamaa anadai kuwa mtu akilala kwenye floor au tiles basi atapungua kilo moja, je Kuna ukweli gani kuhusu hili?
0 Reactions
12 Replies
799 Views
Dawa ya kiungulia ni nini maana nahisi roho inaruka??
0 Reactions
12 Replies
26K Views
Nina imani kuna tiba mbadala ya kansa ambazo mgonjwa anaweza kupata nafuu au kupona kabisa, naomba mwana jamii yeyote anayejua au mwenye ushuhuda anielekeze, pamoja na hizo bado tunaendelea...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Habari wakuu,naomba nisiwachoshe. Hivi maziwa ya mama nanaweza kuathiri ufanisi/utendaji kazi wa dawa kwa mtoto? Yaani kama tunavoshauriwa kuwa hutakiwi kunywa maziwa pale tu punde umalizapo...
0 Reactions
0 Replies
606 Views
Wakati mzuri wa kusafiri kwa mjamzito ni vizuri kusafiri katikati ya ujauzito (kuanzia wiki 14 ya ujauzito hadi wiki 28). Kwasababu katika wiki hizi, nguvu zilizopotea wakati mimba ikiwa changa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Natumai nyote mko poa. Mke wangu kawa mjamzito yapata wiki 3 mimi na yeye tunavutana akidai ujauzito umekimbilia kifuani na ipo dawa ma mkwe anataka alete ivaliwe kuzunguka kifua km ilizi vile et...
7 Reactions
42 Replies
2K Views
Nimekuwa nataabika na tatizo hili kwa muda Sasa... Kila nikitoka kuoga basi dakika kumi nitakuwa nawashwa sehemu mbali mbali za mwili tena katika hali ya kukera kabisa.. hii husababishwa na nini
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Limao inaweza kusaidia katika juhudi za kupunguza uzito, lakini sio kama suluhisho la pekee. Hapa kuna jinsi limao inavyoweza kusaidia: 1. Kuongeza Ushawishi wa Kuchukua Maji: Kunywa glasi ya...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Babu yangu is now 90+, alipataga stroke lakini aliwahiwa ikapona kabisa sahiv anakata majani analisha ng'ombe zake mzima kabisa. Kwasababu ya umri tu, masikio yana shida lakn ukiongea kwa sauti...
2 Reactions
3 Replies
473 Views
Wakuu natumai mko salama, poleni na heka heka za umeme. Nimekuwa na tatizo la kutenguka kwa bega kwa zaid ya miaka 15, yan dislocation ya kwanza nlipata around 2005 baada ya hapo nimekuwa...
2 Reactions
5 Replies
581 Views
Msaada dawa ya kutibu minyoo kwa mtoto wa miaka 15. Maana tumbo lake lina unguruma sana wakati wa usiku.
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi vidonge vya viagra,ukimeza na ukataka kuviua nguvu mwilini unatumia nini, nilikuwa na mechi ya ugenini leo,sindio nikameza vya gram50, aisee ni headache na kizunguzungu,nyuchi zitatuua wallah
21 Reactions
210 Replies
15K Views
Habarini wana JamiiForums? Nahitaji msaada wa kimawazo nilikuwa natembea siku moja usiku ghafla kifua kikabana na nikahisi kuchoka. Kesho yake hali iliendelea uchovu sana, mabega kuuma na...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Hizi ni dalili za ugonjwa wa uti wa mgongo: 1 Maumivu mkali ya mgongo 2 Maumivu makali sehemu ya kiuno (Nyongo) 3 Maumivu ya kichwa yasiyoacha 4 Maumivu ya shingo na mabega 5 Vichomi sehemu ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari, wakati tunaendelea kuchambua mkataba DP tuendelee na haya. Mimi kipara kilianza nitokea mdogo, nikiwa na miaka 20 hivi nilianza ona dalili hizo. Niseme tu ni kitu ambacho kimenichukua...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
#Naombeni kujua gharama ya ada ya chuo Cha bugando kwa kozi ya radiology ngazi ya diploma..?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Pemphigus Vulgaris Nina ndugu yangu ana tatizo la ngozi kutoka malengelenge,tumetumia dawa nyingi lakini mafanikio ni madogo. Nomba kama kuna mtu alishakutana na mgonjwa wa hii hali na kutibiwa...
1 Reactions
53 Replies
3K Views
Habari za masiku tele wakuu Kwanza nashukuru kukutana na wadau tele humu JF kwa kuwa nilitoka kitambo sana na sasa nimerudi. Mada husika Ukwaju na kitambi ni vitu haviendani kabisa,nimeanza...
16 Reactions
163 Replies
68K Views
Back
Top Bottom